Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,083
Wamekaa kuhakikisha wanaidhohofisha Chadema na kuiua kwa kutumia njia Mbali Mbali lakini wamechemka ndiyo wanazidi kuipa Kiki.Kumbe siasa zenu ni kwa ajili ya ChaDeMa na si kwa ajili ya raia?
Kuelekea Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaotarajia kufanyika tarehe 23th July 2016 mjini Dodoma, tayari zipo taarifa za kuaminika juu ya Viongozi wakubwa wa Vyama vya Upinzani kuazimia kujiunga na CCM katika siku hiyo.
Taarifa iliyotufikia inamtaja Mbunge mmoja maarufu wa CHADEMA ambae mpaka jana alikuwa anamaliza mazungumzo ya mwisho na viongozi waandamizi wa CCM juu ya utaratibu wa mapokezi yake na hatma yake kisiasa.
Wengine ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Pia yupo Mgombea Uenyekiti wa BAVICHA na mgombea Ubunge wa Moja ya Majimbo ya Kaskazini. Pamoja nao yupo aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, pamoja na Makatibu kadhaa wa Mikoa wa Chama cha ACT.
Ukiachilia mbali Viongozi hao wa wapinzani ambao idadi yao kwa ujumla inakaribia 18, wapo waliokuwa wa CCM na wakahama na kumfuata LOWASSA upinzani, Viongozi hao nao wameendelea kubembeleza ili waweze kupokelewa tena ndani ya CCM. Watatu kati yao tayari wako Dodoma wakiongozwa na aliyekuwa "Mtoto na Msiri" wa Lowassa ambae pia alikuwa ni KATIBU wa CCM Wilaya ya Monduli.
Wakati Viongozi hao wakijiandaa kujiunga na CCM, maandalizi ya Mkutano Mkuu yameendelea kukamilika na kufikia hatua nzuri, ambapo jana Katibu Mkuu wa CCM alikagua hatua ya maandalizi na kujiridhisha kuwa Mkutano Mkuu utakuwa wa mafanikio makubwa kutokana na kukamilika kwa maandalizi ya Mkutano huo kwa sehemu kubwa.
Unanikumbusha mtu ambaye alibeba zigo la mavi akadhani ni sukari. Kwenda kufungua mbele Tobaaaaaaa! Ndivyo walivyo CHADEMA sasa.CDM inapumulia machine
Na Jizi lao
CCM Tia maji tia maji mashine zishazimwa, tujikumbushe kale ka wimboCDM inapumulia machine
Na Jizi lao
Hahahaha mkuu Lizaboni sio yule aliyekuwa anachezea kijiti, anatupa kijiti kwenye maji kisha mbwa wake anaokota anamrudishia baadaye akajichanganya katupia simu ikala kwake mazima?Unanikumbusha mtu ambaye alibeba zigo la mavi akadhani ni sukari. Kwenda kufungua mbele Tobaaaaaaa! Ndivyo walivyo CHADEMA sasa.
Umekua mpole sana ghafla.Mbaya zaidi Ayatollah aliyesema kuwa hatakubali matokeo mpaka anaingia kaburini kakubali kuwa alishindwa kwa halali
Umaskini wa akili ni kitu kibaya sana. Kuna nini kipyw Dodoma zaidi ya Magufuli kukabidhiwa uenyekiti ambao watu wasiokuwa na akili timamu wanadai anagombea? How does come in here? Naona hiyo job description ya kwamba ni lazima uposti anyyhing kuhusu chadema ndo upewe bk7 ni ngumu sana. Imewaondolea watu kufikiri. Vichwa vimebaki vya kufugia nywele tu. Njaa ya akili ni mbaya sana. Na huyo Magufuli akishapewa rungu huo mradi unakwisha. Mtaumbuka.Kesho ni kesho asemaye keshokutwa mwongo.Kesho ni siku itakayowaliza CHADEMA wengi kwa kutoamini wanachokiona na kukisikia.Ni siku ambayo Siasa za nchi hii zitabadilika kabisa.CHADEMA kitajikuta kama wakiwa katika siasa za Tanzania.Ni siku maalumu ya kuanza mitafaruku ndani ya CHADEMA itakayokisambaratisha CHADEMA na kuiweka CHADEMA kwenye Dustbin la siasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha mkuu Lizaboni sio yule aliyekuwa anachezea kijiti, anatupa kijiti kwenye maji kisha mbwa wake anaokota anamrudishia baadaye akajichanganya katupia simu ikala kwake mazima?