Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma kauli ya Ole Sendeka msemaji wa CCM?Ila kumbuka "ukweli" huanza na "tetesi".Kumbe ni tetesi
Kesho ni kesho asemaye keshokutwa mwongo.Kesho ni siku itakayowaliza CHADEMA wengi kwa kutoamini wanachokiona na kukisikia.Ni siku ambayo Siasa za nchi hii zitabadilika kabisa.CHADEMA kitajikuta kama wakiwa katika siasa za Tanzania.Ni siku maalumu ya kuanza mitafaruku ndani ya CHADEMA itakayokisambaratisha CHADEMA na kuiweka CHADEMA kwenye Dustbin la siasa
Mbona utabiri wa aina hiyo ya kukitabiria kifo Chadema, alichautoa 'baba' yako Wassira miaka 5 iliyopita, tena huyo mzee alituhakikishia watanzania kuwa Chadema haitafika mwaka 2015 tutakuwa tumeshakizika hiko chama?Kesho ni kesho asemaye keshokutwa mwongo.Kesho ni siku itakayowaliza CHADEMA wengi kwa kutoamini wanachokiona na kukisikia.Ni siku ambayo Siasa za nchi hii zitabadilika kabisa.CHADEMA kitajikuta kama wakiwa katika siasa za Tanzania.Ni siku maalumu ya kuanza mitafaruku ndani ya CHADEMA itakayokisambaratisha CHADEMA na kuiweka CHADEMA kwenye Dustbin la siasa
Kesho ni kesho asemaye keshokutwa mwongo.Kesho ni siku itakayowaliza CHADEMA wengi kwa kutoamini wanachokiona na kukisikia.Ni siku ambayo Siasa za nchi hii zitabadilika kabisa.CHADEMA kitajikuta kama wakiwa katika siasa za Tanzania.Ni siku maalumu ya kuanza mitafaruku ndani ya CHADEMA itakayokisambaratisha CHADEMA na kuiweka CHADEMA kwenye Dustbin la siasa
Kumbe siasa zenu ni kwa ajili ya ChaDeMa na si kwa ajili ya raia?Kesho ni kesho asemaye keshokutwa mwongo.Kesho ni siku itakayowaliza CHADEMA wengi kwa kutoamini wanachokiona na kukisikia.Ni siku ambayo Siasa za nchi hii zitabadilika kabisa.CHADEMA kitajikuta kama wakiwa katika siasa za Tanzania.Ni siku maalumu ya kuanza mitafaruku ndani ya CHADEMA itakayokisambaratisha CHADEMA na kuiweka CHADEMA kwenye Dustbin la siasa
Mtaishi kwa uzushi hadi lini? Aliondoka Slaa mkasema hivyo hivyo, Chadema haijengwi na mtu mmoja..... it is too late now!! Yule mwenzio alienzisha uzi hapa jukwaani kwamba before tarehe 23 July kiuna wabunge na viongozi wazito wataondoka Chadema naona kakimbia uzi wake mwenyewe hahahahahhaaaKesho ni kesho asemaye keshokutwa mwongo.Kesho ni siku itakayowaliza CHADEMA wengi kwa kutoamini wanachokiona na kukisikia.Ni siku ambayo Siasa za nchi hii zitabadilika kabisa.CHADEMA kitajikuta kama wakiwa katika siasa za Tanzania.Ni siku maalumu ya kuanza mitafaruku ndani ya CHADEMA itakayokisambaratisha CHADEMA na kuiweka CHADEMA kwenye Dustbin la siasa