Geofrey Maseta
JF-Expert Member
- Nov 24, 2015
- 1,115
- 916
Anapishana na kinana na zaidi ya wanachama 179+1=180 ..mpo hapo?Karibu JOHN MNYIKA ndani ya Chama cha Watanzania na kinachopendwa na wananchi wastarabu sio walevi na vibaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapishana na kinana na zaidi ya wanachama 179+1=180 ..mpo hapo?Karibu JOHN MNYIKA ndani ya Chama cha Watanzania na kinachopendwa na wananchi wastarabu sio walevi na vibaka
Mzazi asiyejitambua yupo hapa duniani kwa dhumuni gani...kifupi ni mzazi uchwara tuCCM kama mzazi mwenye mapenzi kwa wanaye, katu hata wakataa hata wale waliokengeuka kwa ahadi zisizotekelezeka..
Labda mm sijaelewa mtu anataka kuhamia kwenye chama mnongea naye nn maana kama mnafanya naye makubaliano maana yake nikama mnaingia naye mikataba na sio hiyari yake kuhamia ccm kunakitu anakitaka
Nizamu yetu sisi wapinzani kutetea, mbona ninyi ccm mmetetesa wezi kwa miaka yote, kumbe mkuki kwa nguruwe,............Kwa kasi hii ya Magufuli hamna haja ya kukaa kwa vipinzani uchwara.
Upinzani Leo ndio watetezi wakubwa Wa majizi na Mafisadi ,sasa unabaki huko kutafuta nini??
Lini Chadema wamepeleka mahesabu ya gharama zao za uchaguzi??Kuna
Kuna majizi wapi upinzani maana sijasikia wanao timuliwa kwa mambo yenu?!
Kuelekea Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaotarajia kufanyika tarehe 23th July 2016 mjini Dodoma, tayari zipo taarifa za kuaminika juu ya Viongozi wakubwa wa Vyama vya Upinzani kuazimia kujiunga na CCM katika siku hiyo.
Taarifa iliyotufikia inamtaja Mbunge mmoja maarufu wa CHADEMA ambae mpaka jana alikuwa anamaliza mazungumzo ya mwisho na viongozi waandamizi wa CCM juu ya utaratibu wa mapokezi yake na hatma yake kisiasa.
Wengine ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Pia yupo Mgombea Uenyekiti wa BAVICHA na mgombea Ubunge wa Moja ya Majimbo ya Kaskazini. Pamoja nao yupo aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, pamoja na Makatibu kadhaa wa Mikoa wa Chama cha ACT.
Ukiachilia mbali Viongozi hao wa wapinzani ambao idadi yao kwa ujumla inakaribia 18, wapo waliokuwa wa CCM na wakahama na kumfuata LOWASSA upinzani, Viongozi hao nao wameendelea kubembeleza ili waweze kupokelewa tena ndani ya CCM. Watatu kati yao tayari wako Dodoma wakiongozwa na aliyekuwa "Mtoto na Msiri" wa Lowassa ambae pia alikuwa ni KATIBU wa CCM Wilaya ya Monduli.
Wakati Viongozi hao wakijiandaa kujiunga na CCM, maandalizi ya Mkutano Mkuu yameendelea kukamilika na kufikia hatua nzuri, ambapo jana Katibu Mkuu wa CCM alikagua hatua ya maandalizi na kujiridhisha kuwa Mkutano Mkuu utakuwa wa mafanikio makubwa kutokana na kukamilika kwa maandalizi ya Mkutano huo kwa sehemu kubwa.
Hata Kinana nasikia anataka kujiunga CHADEMATehetehetehetehetehe! Wera weraaaaaaaaa! Usishangae kusikia Freeman Mbowe anajiunga na CCM
Atahamia muda baada ya JPM kukabithiwa uenyekitiKinana atahamia Chadema kabla ya 2019?
Wakati ccm wakitalajia kuwapokea hao 18 tarehe 23/7 ....tarehe 25 upinzani utapokea vigogo kutoka ccm 180 ...hii inaitwa kampa , kampa tena ...
Labda mm sijaelewa mtu anataka kuhamia kwenye chama mnongea naye nn maana kama mnafanya naye makubaliano maana yake nikama mnaingia naye mikataba na sio hiyari yake kuhamia ccm kunakitu anakitaka
Bado unaamini wale wenyeviti wa mikoa na Wilaya takriban 60 waliotangazwa na Mbowe wakati akimkaribisha EL bado wako njiani eeh?Wakati ccm wakitalajia kuwapokea hao 18 tarehe 23/7 ....tarehe 25 upinzani utapokea vigogo kutoka ccm 180 ...hii inaitwa kampa , kampa tena ...
Mbona walisha kuja, au ww hauna taarifa ? sasa subiri hiyo tarehe 25 uone mafuriko ya watu wanavyovua gamba na kuvaa gwanda....teh teh teh teh ...nahv kunakosa kosa zinaendelea dhidi ya ninyi kwa ninyi ...ss yetu macho mkuu...lkn maandalizi kwetu yamekamilika tunasubiri tu mudaBado unaamini wale wenyeviti wa mikoa na Wilaya takriban 60 waliotangazwa na Mbowe wakati akimkaribisha EL bado wako njiani eeh?
Mnyikaaaa