Kuelekea Mpambano wa Watani wa Jadi 'TPL' Simba SC dhidi ya Yanga SC, Tayari ameshafungwa

Kwa nyanda papa kindoki ata akipewa kipofu anapopoa kunyavu
Mimi ni mnazi wa Simba lakini nimeota jana Mechi itaisha kwa droo ya 1-1

Simba wataanza kufunga alafu Yanga watasawazisha. Mwishoni Simba watapata penalty ambayo bahati mbaya wataipoteza.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
 
Eti boxer! yule anayecheza mpira bila ufundi hata tone moja, hamna beki chochoro kama yule kwa forward mwenye akili kama Okwi mark my words ntakuquote tena baada ya mechi ya kesho.
Kawaulize Ruvu shooting walimchezea rafu Mara 10
 
Derby zina sifa moja kubwa. Hakuna underdog. Huyo underdog on paper mara nyingi huibuka mshindi.
 
Binafsi nimeshajiandaa kisaikolojia kuwa leo Yanga tunalambwa.Sina uhakika ni kipigo heavy aua simple ila hatuponi kabisaa
 
Ndugu zangu wa sc SIMBA na watani zangu tusubiri mechi iishe mwenye Ndugu zangu wa. Simba na watani zangu yanga tusubiri mpira uishe kisha tutambiane harafu ushauri wa bule tusipende sana tukajiua tuwe makini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twende kwa mkapa tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…