Kuelekea mwaka 2025, achana na ubahili achana na uchoyo, achana na roho mbaya

Kuelekea mwaka 2025, achana na ubahili achana na uchoyo, achana na roho mbaya

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Nataka niwasaidie wana-JF

Kuelekea mwaka 2025 , hakikisha mambo yafutayo unayazingatia Sana na kuyalinda with all costs .

Jiepushe na uchoyo - usimnyime mtu kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wako, mfano unaona sehemu kuna nafasi ya Kazi usisite kumshtua MTU unayemjua akaenda Ku-cover hiyo nafasi.

Mfano upo jeshini na unasikia fursa za Ajira Kama Una MTU unamjua mpigie simu umpe hiyo taarifa na Kama hana nauli ya kuudhuria Usaili mtumie na hela ya kula mpatie.

UBAHILI - Jiondoe na mambo ya ubahili hakikisha unajipenda unakula vizuri ,unavaa vizuri , unachotakiwa Kuwa nacho ni nidhamu ya pesa na sio ubahili.

ROHO MBAYA - jiepushe na ROHO mbaya kuwa na moyo wa UPENDO saidia Sana WATU hakikisha unaacha alama hapa duniani.

Ambayo itakutambulisha hata siku ukiwa haupo duniani.

Kuwa yule MTU ambaye watu hawatajuta kukufahamu.
 
Ukizangatia hivi utaishi Kwa Amani na karma zitakufata .
 
Ubahili ndio utajiri sasa
choose wisely.
Kuwa na nidhamu ya pesa na sio ubahili

Tifautisha hayo mambo mawili ubahili ni kujinyima wewe hauwezi kufanikiwa Kwa kujinyima kula vizuri wala kulala vizur ur brain haitokuwa na uwezo wa kuzalisha good thinking
 
Kuwa na nidhamu ya pesa na sio ubahili

Tifautisha hayo mambo mawili ubahili ni kujinyima wewe hauwezi kufanikiwa Kwa kujinyima kula vizuri wala kulala vizur ur brain haitokuwa na uwezo wa kuzalisha good thinking
Usichulie ubahili personal
 
Ulimbukeni Ni pale unapoanza kutumia gharama ili kuonekana mwema mbele ya macho ya watu wengine.
We akili ndogo unajisifu na nyuzi za kugonoka everyday na michipuko unahisi huko sober sound?
 
Back
Top Bottom