phoncechili
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 204
- 130
Atapigiwa kula na laizer!!!! Watu wanaangalia mass interest we unaongelea bilionea mmoja. Kwahiyo laizer pekee atapiga kula bilioni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini hajaenda 70% ya majimbo?Leo ataitikisa Handeni
Kma mlijua hilo kwanini sasa mkalazimisha akienda Likizo na Lissu naye asiwe na kampeni?Magufuli hata asingeenda hata jimbo moja bado watanzania watamchagua kwa kishindo. Ametutendea mambo mema sana
Tusi lipi? Embu taja hapa hilo tusi.Lisu alifungiwa sababu ya matusi yake
Maendeleo gani?Pigeni chini Chadema, mtapata maendeleo
Kwa kuujaza uwanja kwa watoto wa swkomdari?Leo Arusha imeitika kwa Magufuli kama Kilimanjaro ilivyofanya ,Ama hakika safari hii wapinzani hawana pa kukimbilia
Kuna tofauti kubwa ya kuhudhuria mkutano na kuoiga kura.Leo Arusha imeitika kwa Magufuli kama Kilimanjaro ilivyofanya ,Ama hakika safari hii wapinzani hawana pa kukimbilia