Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Tukiwa tunapiga story za Kaskazini huwa hatumuishi eneo la Mwanga, huko pambaneni mpate chakula, kila mwaka huwa mnasumbua na mahindi ya msaada
Mwanga unaiyo ifahamu ni Mwanga ya tambarale kwa Wanyika-- wa kuja. Huko milimani kwetu hali ni nzuri sana, maji tele ardhi rutuba ya kutosha kwa hiyo na chakula pia. Mambo mukidee.