Uchaguzi 2020 Kuelekea Oktoba 28: Ujio wa Dkt. Magufuli mikoa ya Kaskazini wawa gumzo!

Uchaguzi 2020 Kuelekea Oktoba 28: Ujio wa Dkt. Magufuli mikoa ya Kaskazini wawa gumzo!

Kuelekea tarehe ya uchaguzi mkuu hapo October 28, ratiba ya Rais Magufuli inaonyesha atamalizia kampeni zake mikoa ya Arusha, Manyara, Kilimanjaro na Tanga ambako taarifa hizi zimezua gumzo kubwa mtaani kila kijiwe wananchi wanajadili ujio wa Magufuli na jinsi watakavyompokea kwa kishindo.

Tangu mwaka 2015 Rais Magufuli amewafanyia makubwa watu wa Kaskazini ikiwemo kufufua reli yao, barabara za kimataifa pale Arusha pamoja na kumuibua billionea wa Tanzanite bwana Laizer.

Kwa jinsi gumzo la Magufuli lilivyo huku mtaani utafikiri CHADEMA haijawahi kuwepo kabisa kanda hii!!

Ama kweli kasi ya Magufuli itaenda na wengi, kwa heri Lema Arusha kwaheri CHADEMA kanda ya Kaskazini na karibu CCM mpya yenye kujali wanyonge.

Pole sana Mbowe baada ya kuangushwa na konyangi sasa chama chako kinaenda kuangushwa na kufutwa kabisa Kaskazini na mtumishi wa wanyonge Rais Magufuli.

Watanzania tujitambue
 
Kuelekea tarehe ya uchaguzi mkuu hapo October 28, ratiba ya Rais Magufuli inaonyesha atamalizia kampeni zake mikoa ya Arusha, Manyara, Kilimanjaro na Tanga ambako taarifa hizi zimezua gumzo kubwa mtaani kila kijiwe wananchi wanajadili ujio wa Magufuli na jinsi watakavyompokea kwa kishindo.

Tangu mwaka 2015 Rais Magufuli amewafanyia makubwa watu wa Kaskazini ikiwemo kufufua reli yao, barabara za kimataifa pale Arusha pamoja na kumuibua billionea wa Tanzanite bwana Laizer.

Kwa jinsi gumzo la Magufuli lilivyo huku mtaani utafikiri CHADEMA haijawahi kuwepo kabisa kanda hii!!

Ama kweli kasi ya Magufuli itaenda na wengi, kwa heri Lema Arusha kwaheri CHADEMA kanda ya Kaskazini na karibu CCM mpya yenye kujali wanyonge.

Pole sana Mbowe baada ya kuangushwa na konyangi sasa chama chako kinaenda kuangushwa na kufutwa kabisa Kaskazini na mtumishi wa wanyonge Rais Magufuli.

Siuoni uwezekano huo
 
CHADEMA tutaifuta hapa Arusha...imesababisha mkoa wa Arusha...umeanza kudumaa kimaendeleo kama Kilimanjaro
wewe jamaa ni mku......du kabisa, yaani hapo ulipo hujui kuwa adui namba 01 wa hii kanda ni Maufuri? .
Alidhamiria kutoleta maendeleo kutoka sirikalini,bali yaliyofanyika ni kwa ufadhili toka nje au ndani au misaada ambayo inatoka ikiwa imetaja eneo husika.
Alidhamiria utalii unakufa katika kanda hii,ila hapa alisindwa pakubwa maana eneo lenyewe kila kona ni vivutio vya utalii, na haya yote watu wote wanayajua kuwa yye ndo ilikuwa sababu.
Amekuwa na chuki kali sana hasa na sisi watu wa huku,hasa wachaga na wao wanalijua hilo.
Wengi aliwaondoa katika nyadhifa nyeti kwa tuhuma upigaji bila vidhibiti na kuweka watu kutoka kanda yake.
BINAFSI SIJAWAI KUPATA RAHISI MBINAFSI KAMA HUYU
 
Kama amekataliwa Chato aliko wapelekea maendeleo. Atapokelewaje Kaskazini aliko waambia wasubiri kwanza ainue mikoa mingine?
Atapokelewaje na watu alio wabagua kwenye utawala wake?
Muulize tangu awe rais amekwenda mara ngapi Arusha na Kilimanjaro??
Halafu bahati mbaya aliyo nayo ni kwamba Wachagga hawa shobokei muziki..
Asante kaka kuuweka ubaya wa huyu mkuru
 
Alidhamiria kutoleta maendeleo kutoka sirikalini,bali yaliyofanyika ni kwa ufadhili toka nje au ndani au misaada ambayo inatoka ikiwa imetaja eneo husika.
Alidhamiria utalii unakufa katika kanda hii,ila hapa alisindwa pakubwa maana eneo lenyewe kila kona ni vivutio vya utalii, na haya yote watu wote wanayajua kuwa yye ndo ilikuwa sababu.
Amekuwa na chuki kali sana hasa na sisi watu wa huku,hasa wachaga na wao wanalijua hilo.
Wengi aliwaondoa katika nyadhifa nyeti kwa tuhuma upigaji bila vidhibiti na kuweka watu kutoka kanda yake.
BINAFSI SIJAWAI KUPATA RAHISI MBINAFSI KAMA HUYU
 
Kuelekea tarehe ya uchaguzi mkuu hapo October 28, ratiba ya Rais Magufuli inaonyesha atamalizia kampeni zake mikoa ya Arusha, Manyara, Kilimanjaro na Tanga ambako taarifa hizi zimezua gumzo kubwa mtaani kila kijiwe wananchi wanajadili ujio wa Magufuli na jinsi watakavyompokea kwa kishindo.

Tangu mwaka 2015 Rais Magufuli amewafanyia makubwa watu wa Kaskazini ikiwemo kufufua reli yao, barabara za kimataifa pale Arusha pamoja na kumuibua billionea wa Tanzanite bwana Laizer.

Kwa jinsi gumzo la Magufuli lilivyo huku mtaani utafikiri CHADEMA haijawahi kuwepo kabisa kanda hii!!

Ama kweli kasi ya Magufuli itaenda na wengi, kwa heri Lema Arusha kwaheri CHADEMA kanda ya Kaskazini na karibu CCM mpya yenye kujali wanyonge.

Pole sana Mbowe baada ya kuangushwa na konyangi sasa chama chako kinaenda kuangushwa na kufutwa kabisa Kaskazini na mtumishi wa wanyonge Rais Magufuli.

Jpm anashinda kwa zaid ya 90%, haijawahi kutokea
 
Kuelekea tarehe ya uchaguzi mkuu hapo October 28, ratiba ya Rais Magufuli inaonyesha atamalizia kampeni zake mikoa ya Arusha, Manyara, Kilimanjaro na Tanga ambako taarifa hizi zimezua gumzo kubwa mtaani kila kijiwe wananchi wanajadili ujio wa Magufuli na jinsi watakavyompokea kwa kishindo.

Tangu mwaka 2015 Rais Magufuli amewafanyia makubwa watu wa Kaskazini ikiwemo kufufua reli yao, barabara za kimataifa pale Arusha pamoja na kumuibua billionea wa Tanzanite bwana Laizer.

Kwa jinsi gumzo la Magufuli lilivyo huku mtaani utafikiri CHADEMA haijawahi kuwepo kabisa kanda hii!!

Ama kweli kasi ya Magufuli itaenda na wengi, kwa heri Lema Arusha kwaheri CHADEMA kanda ya Kaskazini na karibu CCM mpya yenye kujali wanyonge.

Pole sana Mbowe baada ya kuangushwa na konyangi sasa chama chako kinaenda kuangushwa na kufutwa kabisa Kaskazini na mtumishi wa wanyonge Rais Magufuli.

WAPIGA KURA WENGI WAPO VIJIJINI.
 
Kama amekataliwa Chato aliko wapelekea maendeleo. Atapokelewaje Kaskazini aliko waambia wasubiri kwanza ainue mikoa mingine?
Atapokelewaje na watu alio wabagua kwenye utawala wake?
Muulize tangu awe rais amekwenda mara ngapi Arusha na Kilimanjaro??
Halafu bahati mbaya aliyo nayo ni kwamba Wachagga hawa shobokei muziki..
Mkuu naona umetaja wachaga huko kaskazini kuna kabila moja tu la wachaga?!!
 
Kaskazini walikuwa vizuri mno ndio walifaidi nchi sana toka Tanzania ipate uhuru

Ujio wa Chadema ndio uliotibua kila kitu.Niko Moshi watu hapa wanasema maisha yao wameharibiwa na shetani CHADEMA, kabla kuwepo walikuwa vizuri kila eneo iwe maofisini ,biashara nk

Wameapa hawataipa kura Chadema wataipa CCM
Uko Moshi ya nyingine, JPM hana lolote alilolifanya huko, watu watakuja kumshangaa ni jinsi gani alivyo na roho mbaya.
 
Ukweli ambao mtu yeyote wa kaskazini atakubali, Magufuli ndio Rais ambae ameitikisa ngome ya upinzani sawa sawa. Anapendwa na kuogopwa.

Kwa asili Mchaga anampenda mtuu jasiri kwa vile atakavyo fanya mambo yake. Karibu tunakusubiri sana Mwanga tupo pamoja na Mzee C D Msuya. KARIBU SANA.
Tukiwa tunapiga story za Kaskazini huwa hatumuishi eneo la Mwanga, huko pambaneni mpate chakula, kila mwaka huwa mnasumbua na mahindi ya msaada
 
Back
Top Bottom