ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Utakua maskini wa kutupwa hapo chuga na roho yako hiyo utasubiri sanaCHADEMA tutaifuta hapa Arusha...imesababisha mkoa wa Arusha...umeanza kudumaa kimaendeleo kama Kilimanjaro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakua maskini wa kutupwa hapo chuga na roho yako hiyo utasubiri sanaCHADEMA tutaifuta hapa Arusha...imesababisha mkoa wa Arusha...umeanza kudumaa kimaendeleo kama Kilimanjaro
Huko Kuna magaidi hawezi kwendaAende kusini akalipe deni la korosho
Kilichoiua hiyo reli, ili kije kiifufue kiseme kimetekeleza ilani.Chama gani kimefufua reli?
Gofu toka lini?Ebu chadema wafufue hata hiyo ofisi ya Ufipa maana ni gofu tayari
Hamtaamini macho yenuKama anajiamini aende Kaskazini bila wasanii ndio tuone kama watajitokeza watu zaidi ya 300
Anaogopa wale jamaa sio mchezo! Ukisikia makachinja ndio yale!Hilo gumzo aende nalo Mtwara wanamsubiri kwa hamu kubwa.
Lissu afungie kampeni zake kanda ya ziwa! Tukakomeshe ka MagufuliKuelekea tarehe ya uchaguzi mkuu hapo October 28, ratiba ya Rais Magufuli inaonyesha atamalizia kampeni zake mikoa ya Arusha, Manyara, Kilimanjaro na Tanga ambako taarifa hizi zimezua gumzo kubwa mtaani kila kijiwe wananchi wanajadili ujio wa Magufuli na jinsi watakavyompokea kwa kishindo.
Tangu mwaka 2015 Rais Magufuli amewafanyia makubwa watu wa Kaskazini ikiwemo kufufua reli yao, barabara za kimataifa pale Arusha pamoja na kumuibua billionea wa Tanzanite bwana Laizer.
Kwa jinsi gumzo la Magufuli lilivyo huku mtaani utafikiri CHADEMA haijawahi kuwepo kabisa kanda hii!!
Ama kweli kasi ya Magufuli itaenda na wengi, kwa heri Lema Arusha kwaheri CHADEMA kanda ya Kaskazini na karibu CCM mpya yenye kujali wanyonge.
Pole sana Mbowe baada ya kuangushwa na konyangi sasa chama chako kinaenda kuangushwa na kufutwa kabisa Kaskazini na mtumishi wa wanyonge Rais Magufuli.
Kama amekataliwa Chato aliko wapelekea maendeleo. Atapokelewaje Kaskazini aliko waambia wasubiri kwanza ainue mikoa mingine?
Atapokelewaje na watu alio wabagua kwenye utawala wake?
Muulize tangu awe rais amekwenda mara ngapi Arusha na Kilimanjaro??
Halafu bahati mbaya aliyo nayo ni kwamba Wachagga hawa shobokei muziki..
Hahaha utadhani amewahi kusikiliza maoni ya hao pepo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wiav tu fokas akoding to awa ouni pipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama anajiamini aende Kaskazini bila wasanii ndio tuone kama watajitokeza watu zaidi ya 300
Kuelekea tarehe ya uchaguzi mkuu hapo October 28, ratiba ya Rais Magufuli inaonyesha atamalizia kampeni zake mikoa ya Arusha, Manyara, Kilimanjaro na Tanga ambako taarifa hizi zimezua gumzo kubwa mtaani kila kijiwe wananchi wanajadili ujio wa Magufuli na jinsi watakavyompokea kwa kishindo.
Tangu mwaka 2015 Rais Magufuli amewafanyia makubwa watu wa Kaskazini ikiwemo kufufua reli yao, barabara za kimataifa pale Arusha pamoja na kumuibua billionea wa Tanzanite bwana Laizer.
Kwa jinsi gumzo la Magufuli lilivyo huku mtaani utafikiri CHADEMA haijawahi kuwepo kabisa kanda hii!!
Ama kweli kasi ya Magufuli itaenda na wengi, kwa heri Lema Arusha kwaheri CHADEMA kanda ya Kaskazini na karibu CCM mpya yenye kujali wanyonge.
Pole sana Mbowe baada ya kuangushwa na konyangi sasa chama chako kinaenda kuangushwa na kufutwa kabisa Kaskazini na mtumishi wa wanyonge Rais Magufuli.
Mbona kama nchi hatutangaziwi?Huko Kuna magaidi hawezi kwenda
Kama anajiamini aende Kaskazini bila wasanii ndio tuone kama watajitokeza watu zaidi ya 300
Habari ya huku ni LISSU tulishajitambua longtime...Fiesta peleka dodoma
Watu wanamachungu sana na ugumu wa maisha...huku mnajisumbuwa
Wamuulize Davi Mosha 2015 kilichotokea, hao jamaa wana maono kitambo sio mambulula wa kumpa kura mshambamshamba anayefokea watu hovyo, mbaguzi chuki mkatatili mzushiperemende
Hivi kweli mtu mwenye akili zake nzuri na elimu inayoeleweka anaweza kukubali kulipwa 7000!!??Ila kitengo cha propaganda cha lumumba kimepwaya sanaa
Kwa mabavu ya dola sio wananchi, fanyeni huo ujinga mtengeneze taifa la waasiOngea yote lakini safari hii Mbowe na Lema ni out.