Kuelekea Pambano la Watani wa Jadi, Simba SC Yanga FC Aprili 29, 2018 Nani Kupapaswa

Kuelekea Pambano la Watani wa Jadi, Simba SC Yanga FC Aprili 29, 2018 Nani Kupapaswa

Ni mechi ngumu kwa pande zote. Mara nyingi mchuano baina ya timu hizi hauangalii nani yupo on fire wakati huo, utakuta ule upande unaodhaniwa ni bora kipindi hicho ndio wanapoteza mchezo au wana struggle sana kupata angalau sare
Kweli mpira unaujua Sesten japokuwa kwa mbaali naona una chembe chembe za kugwaya. [emoji12] [emoji12]

Kiukweli mechi za Simba na Yanga huwa hazitabiriki.
 
Haijalishi Simba yupo kwenye Ubora kiasi gani sababu kiukweli game za Simba na Yanga huwa ni za kipekee.

Simba nyie chongeni, jinadini ila mjue tarehe 29 ndio itakayoongea. Yanga sio wa kupapaswa kirahisi hivyo tena na Simba lol.

Niseme tu msije na matokeo yenu Uwanjani sababu hamkawii kutung'olea Viti.

"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
 
Always Simba fans are talkative before the games, and when the game turns out of expectations u get frustrations. Watch out!
 
Ikiwa Mbeya City baada ya kuupiga vilivyo mpira, Yanga wakaona waruweruwe wakasema wachezaji wako 16.

Yamkini Simba SC watakuwa 20 namna balaa la Okwi, Bocco na Kichuya watakavyo papasa Yanga pale dimba la Mchina.
Mbeya city walipiga mpira wapi?
 
Haijalishi Simba yupo kwenye Ubora kiasi gani sababu kiukweli game za Simba na Yanga huwa ni za kipekee.

Simba nyie chongeni, jinadini ila mjue tarehe 29 ndio itakayoongea. Yanga sio wa kupapaswa kirahisi hivyo tena na Simba lol.

Niseme tu msije na matokeo yenu Uwanjani sababu hamkawii kutung'olea Viti.

"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Uzuri wa Yanga hua mkifungwa na Simba hua hasira kwanza mnazimaliza kwa viongozi wenu, mi namtafadhalisha tu Mkwasa asisubiri mpira uishe ndio atoke uwanjani, yeye asepe zake mapeema....wewe bado hujakata tamaa Hajar?
 
Uzuri wa Yanga hua mkifungwa na Simba hua hasira kwanza mnazimaliza kwa viongozi wenu, mi namtafadhalisha tu Mkwasa asisubiri mpira uishe ndio atoke uwanjani, yeye asepe zake mapeema....wewe bado hujakata tamaa Hajar?
Hapana sijakata tamaa na sitakata tamaa Sesten mpaka mechi ipite aisee.
 
Haijalishi Simba yupo kwenye Ubora kiasi gani sababu kiukweli game za Simba na Yanga huwa ni za kipekee.

Simba nyie chongeni, jinadini ila mjue tarehe 29 ndio itakayoongea. Yanga sio wa kupapaswa kirahisi hivyo tena na Simba lol.

Niseme tu msije na matokeo yenu Uwanjani sababu hamkawii kutung'olea Viti.

"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Usilinganishe Simba na vitu vya hovyo.
 
Haijalishi Simba yupo kwenye Ubora kiasi gani sababu kiukweli game za Simba na Yanga huwa ni za kipekee.

Simba nyie chongeni, jinadini ila mjue tarehe 29 ndio itakayoongea. Yanga sio wa kupapaswa kirahisi hivyo tena na Simba lol.

Niseme tu msije na matokeo yenu Uwanjani sababu hamkawii kutung'olea Viti.

"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Usilinganishe Simba na vitu vya hovyo.
 
Wacha kabisa Mtani. Yaani mbali na kutofahamiana tulimisiana mno.

Sijui ingekuwaje mpaka jumapili ingekuwa bado aisee?
Aisee ni noma sana. Walitaka tusishuhudie mtanange wa VPL
 
Back
Top Bottom