Kuelekea Siku ya Mtoto Njiti Duniani: JamiiForums na Doris Mollel Foundation waingia makubaliano

Kuelekea Siku ya Mtoto Njiti Duniani: JamiiForums na Doris Mollel Foundation waingia makubaliano

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Wakubaliana kupaza sauti kutoa elimu kwa umma kuhusu masuala yamhusuyo Mtoto Njiti hususani Changamoto wanazopitia Watoto na wazazi wao.

Pia, wanadhamiria kuielimisha Jamii kuhusu namna bora ya kuwalea Watoto Njiti. Kampeni hii imelenga kuifanya jamii iondokane na fikra potofu kuhusu #WatotoNjiti.

Wakurugenzi wa Taasisi hizo, Maxence Melo na Doris Mollel wametia saini makubalinao (MOU) kwa ajili ya kufanya kazi hiyo kwa pamoja.

6D61C255-4852-4DB9-96A2-9DFE6360A7C6.jpeg


Tukio hili ni kati ya jitihada za kuelimisha jamii kuhusu Watoto Njiti kuelekea siku yao inayoadhimishwa kila tarehe 17 Novemba.

#PreMatureBabies #WatotoNjiti #JFLeo
 
Upvote 1
November 17 siku njema pia haya kule mahakamani patakuwa kwema pia kwa mkuu.

God Is Good, All The Time!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom