sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
NDALA SC
Kwa taarifa za uhakika nilizozipata toka Mkoani Morogoro [ambazo hazina chembe chembe za mashaka], ambapo “ndugu zetu” wameweka kambi ni kua.. hadi kufikia mda huu, ni yapata siku ya pili, MVUA kubwa zinaendelea kunyesha mfululizo. Naposema mfululizo namaanisha kua.. Mchana Mvua, Usiku Mvua. Suala hili limekwenda kuiathiri kambi hii kwa kiwango kikubwa sana.
SIMBA SC
Hali ya hapa kisiwani Unguja ni shwari kabisa, program za kocha zinaenda kama zilivyopangwa. Kwa wachezaji waliokuja huku kambini, hakuna majeruhi.. wote wapo fiti. Molari iliyopo kambini ni kubwa sana [sijawahi ona molari kama hii katika siku za hivi karibuni]. Vijana wanasubiri tu siku ifike, wafanye MAANGAMIZI.
NB:
Kwa hali ilivyo mpaka sasa.. Naona kabisa Jumamosi itakua "Sikukuu" ambayo haijawahi kufanyika kwa Mbabe Mmoja.. Na "Msiba Mzito" uliojaa vilio na majonzi tele kila kona, kwa Mnyoge Mmoja.
NDALA SC, mlipo tupo.. Tukutane Jumamosi.
Kwa taarifa za uhakika nilizozipata toka Mkoani Morogoro [ambazo hazina chembe chembe za mashaka], ambapo “ndugu zetu” wameweka kambi ni kua.. hadi kufikia mda huu, ni yapata siku ya pili, MVUA kubwa zinaendelea kunyesha mfululizo. Naposema mfululizo namaanisha kua.. Mchana Mvua, Usiku Mvua. Suala hili limekwenda kuiathiri kambi hii kwa kiwango kikubwa sana.
SIMBA SC
Hali ya hapa kisiwani Unguja ni shwari kabisa, program za kocha zinaenda kama zilivyopangwa. Kwa wachezaji waliokuja huku kambini, hakuna majeruhi.. wote wapo fiti. Molari iliyopo kambini ni kubwa sana [sijawahi ona molari kama hii katika siku za hivi karibuni]. Vijana wanasubiri tu siku ifike, wafanye MAANGAMIZI.
NB:
Kwa hali ilivyo mpaka sasa.. Naona kabisa Jumamosi itakua "Sikukuu" ambayo haijawahi kufanyika kwa Mbabe Mmoja.. Na "Msiba Mzito" uliojaa vilio na majonzi tele kila kona, kwa Mnyoge Mmoja.
NDALA SC, mlipo tupo.. Tukutane Jumamosi.