sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Ni juzi tu Rais Trump kapata nyomi la watu elfu 57 lakini hutakuja kusikia CNN wala MSMBC, n.K wakiripoti hivi vitu.
Kwa ukweli ni kwamba Wamarekani wenggi wameacha kufatilia main stream media, watu wengi wanaofatilia hizi media ni raia wa nje ya marekani wakiwemo Watanzania wa humu Jamii Forums wanaoaminishwa kama watoto kwamba Biden atashinda kitu ambacho ni ndoto
Kwa ukweli ni kwamba Wamarekani wenggi wameacha kufatilia main stream media, watu wengi wanaofatilia hizi media ni raia wa nje ya marekani wakiwemo Watanzania wa humu Jamii Forums wanaoaminishwa kama watoto kwamba Biden atashinda kitu ambacho ni ndoto