The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Oh...Acha kujitetea wewee kilaza...tulia wenye ujuzi wajibu
Umemsababishia jamaa ban...kalimwa ban tayari!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh...Acha kujitetea wewee kilaza...tulia wenye ujuzi wajibu
Umri namba pesa makaratasi....acha ushamba,ukija mji kwa fikra hzo watakupakata..Tulia wewee nut cracker. Usijingize kwenye mijadala ya waliokuzid kiumri na fedha.
Kamoooonn
Sasa uchanguzi wa marekani na Chadema vina uhusiano gani? Hili ni jukwaa la kimataifa ka unakereka na yanayojadiliwa usiufungueUmpende Trump usimpende, bado anakuita wewe shit na nchi yako shit country. Huyo kweli ni wa kushabikia. Na kisha funga mipaka kwa watu wenye ngozi kama yako kwenda huko! Hata CHADEMA ijipendekeze vipi bado ni shit party according to Trump.
Mchuano mgumu. Ila ya CCM na Chadema yanahusuje Marekani? Unalinganisha mbingu na ardhi? Huwa havikutani.Kwan marekan Nan yupo kama ccm na Nan yupo kama chadema ili niweze kutabil mshind
Trump ni rais wa Marekani mpaka hivi sasa naandika haya, mbona hapa Tanzania kufilana ni fashion....ni nani aliyetu-influence?Biden na Democratic yake wanasupport mpaka ushoga, usagaji n.k
Wakishaanza kusupport huko watainfluence zaidi mpaka huku mataifa ya walala hoi, itaathiri mpaka watoto wetu wa kiume.
Demokrasia ikizidi inaharibu
May God bless D.Trump & his motives
Wao hawana bendera ya vyama, bendera ni ya nchi tu.....hivi uko kwa wenzetu hakunaga bendera za vyama kama CCM au chadema...kama zpo naomba zitumwe..
Yaani upinzani na chama tawala au,Upinzani democratic na tawala ni republicanKwan marekan Nan yupo kama ccm na Nan yupo kama chadema ili niweze kutabil mshind
Kufilana unamaanisha nini?Trump ni rais wa Marekani mpaka hivi sasa naandika haya, mbona hapa Tanzania kufilana ni fashion....ni nani aliyetu-influence?
Hata hii simu unayotumia inatokana na teknolojia yaoHivi una akili timamu kweli? Umerudia kusoma ulicho andika? Mzungu anakutukana na kukudharau kisha wewe unamsujudu, una akili kweli wewe? Unaijuwa historia yako kweli? Pole sana.
Namaanisha kufilanaKufilana unamaanisha nini?