Elections 2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

Status
Not open for further replies.
well yeah i made a mistake ....zitto anaweza ku pleadge temporay insane.......manake hii alotuachia leo si ya kawaida
Alikuwa na jabza sana juu ya tuhuma kama hizi. hata kama anawajua kuwa watu toka makao makuu lakini sio sehemu yake ya kuyasema haya mambo, inabidi wakae barazani kwao na watu kama Mnyika na wengine na sio kusemana hapa mithili ya majungu haya
 
Hizi sasa ni double standards!Walipotoka ktk vikao vyao CCM zilianzishwa thread za yale yaliyosemwa na yalisemwa na nani....Zikamwagika thanx kama mvua!Leo yanasemwa ya vikao vya CHADEMA wanaanza oh,siri oh yandani....Two wrongs don make a right,yes...Lakini hii ya kushangilia ya upande mmoja tu as if they are public infos sio sahihi kwa mtazamo wangu.
 
Hakuna cha mzimu wala pepo wa wangwe hapo. Zitto anatafuta pa kutokea ili arudi CCM.


wananchi wa kigoma wamekuwa waaminifu sana kwa wapinzani ...kumbukeni enzi ya WALID KABOUROU...walikuwa naye ,wakapigwa naye, tangu kugombea udiwani na AZIM PREMJI ....hadi ubunge..ilikuwa fahari...

singependa kuona ikitokea tena safari hii ...wakitumka kama madaraja ya kuwavusha watu kwenda CCM....itakuwa wana kigoma na watanzania hawatendewi haki.......sidhani kama bado kaborou akienda kigoma watu wanakesha stesheni kumsubiri kama zamani au wanamuona msaliti..kwanini...?? why??

nadhani zitto ccm wanamtamani....ila nadhani anajuwa wana kigoma na CHADEMA na watanzania kwa ujumla wanapenda vijana kama yeye wabakie upinzani....!!!.....
 

Punguza vilio mkuu ... hiyo ni kazi ya vitoto vichanga tu na sio wana JF.
 


Mkulu Zitto,

Ni wewe umeandika hayo! Siamini! Naomba Mungu waandishi wanaochukua habari hapa JF wasiione hii, maana wakiiweka kwenye media sijui utapita wapi?

Yaano mkuu unaandika in plural kuwa mlimtenda Wangwe kwenye public from kama hii, kisha ulitaka kuwa mwenyekiti wa chama? Are u kidding us or what?

Okay, sijui imekaaje lakini huoni kama inaweza kuwa activate polisi kufatilia what exactly hapenned?

Yaani unadhani hapa Jf watu watakuona wa maana kwa 'kuropoka' huku ulikofanya? OOh my God, nadhani tulikuwa hatukufahamu vizuri,

na tutajuuuuuuuuuuta kukuufahamu! au mtu kaiba password?

Hili bandiko will go down in history be it your rise or ur fall.
 
wananchi wa kigoma wamekuwa waaminifu sana kwa wapinzani ...kumbukeni enzi ya WALID KABOUROU...walikuwa naye ,wakapigwa naye, tangu kugombea udiwani na AZIM PREMJI ....hadi ubunge..ilikuwa fahari...

singependa kuona ikitokea tena safari hii ...wakitumka kama madaraja ya kuwavusha watu kwenda CCM....itakuwa wana kigoma na watanzania hawatendewi haki.......sidhani kama bado kaborou akienda kigoma watu wanakesha stesheni kumsubiri kama zamani au wanamuona msaliti..kwanini...?? why??

nadhani zitto ccm wanamtamani....ila nadhani anajuwa wana kigoma na CHADEMA na watanzania kwa ujumla wanapenda vijana kama yeye wabakie upinzani....!!!.....
 
Mkuu Mwafrika huku sasa ni kuficha vichwa kama mbuni....Wala haitusaidii zaidi ya kuonyesha kuwa na mawazo biased.
 
Mkuu Mwafrika huku sasa ni kuficha vichwa kama mbuni....Wala haitusaidii zaidi ya kuonyesha kuwa na mawazo biased.

Nani huyo anayekuficha (jificha) au fichwa? kuwa muwazi ueleweke
 


siamini kama zitto anaweza kuandika hayo...maana maadui zake na chama chake wanaweza kuyatumia vibaya....wataunganisha dots na maneno ya yule kijana ..aliyefungwa dodoma itakuwa hatari hapo...
 
Mzee mzima naona ameamua liwalo na liwe! Sintoshangaa akiibukia CCM!
 
siamini kama zitto anaweza kuandika hayo...maana maadui zake na chama chake wanaweza kuyatumia vibaya....wataunganisha dots na maneno ya yule kijana ..aliyefungwa dodoma itakuwa hatari hapo...

Sidhani kama Zitto alifikiria hili kabla ya kuandika hayo hapo juu. Ile kesi ya kifo cha Wangwe inaweza kufunguliwa muda wowote na maneno ya Zitto yakatumika kuisaidia polisi.

Anyway ... kijana bado anajifunza siasa za bongo. Akikuwa na kukomaa ataelewa cha kufanya na kusema.
 
Mzee mzima naona ameamua liwalo na liwe! Sintoshangaa akiibukia CCM!

..roho itatuuma sana ...maana sisi wapiga debe tumekuwa tukitumika kuwabeba tu ...kama mwalimu alivosema waaache wawabebe tu...tunaendelea kuwabeba kama maiti
 
tarehe yako ya kujiunga na data unazotoa na wasiwasi nawewe si mtu mwema hatakidogo!!ni mvurugaji may be we sio kingunge ngombale mwiru wewe?au hajakutuma?wana JF jihadharini na huyu mtu hana la maana
Kwani wewe umetumwa na nani aisee,acha tuhuma zisizo kuwa na maana,maoni yanayotolewa hapa yana lengo la kuijenga na kuiimarisha CHADEMA na si kuibomoa kama wewe unavyofikiri.....Ukweli unauma
 
Mzee mzima naona ameamua liwalo na liwe! Sintoshangaa akiibukia CCM!

Yaani nakwambia .... muda si mrefu utasikia waziri wa fedha Mkullo katupwa nje na Zitto kapewa uwaziri na Kikwete (si unajua tena kulipa fadhila za jinsi Zitto alivyoimaliza issue ya Buzwagi kwa kuingia kwenye kamati ya madini ya Kikwete).
 
Hii ya leo kali. Zitto, kwa maneno haya, atakuwa na uhalali wa kuwa kiongozi wa kuaminiwa ndani ya Chadema na umma?
 

Kama mlidhani mpango wenu wa kumfrustrate KABOUROU hadi akaamua kuwazilia na kujiunga na CCM basi mjue tu kwa Zitto mmenoa. Chadema ni chama cha wote na zaidi ni chama cha wanaotaka mabadiliko ya kweli na ambayo yataanzia ndani kabla ya kwenda nje.

Na mkiendelea na spin zenu za style ya zilipendwa msidhani kuwa Zitto atawanyamazia mmumalize kimyakimya kama mlivyofanikiwa kwa wengine. Zitto wako maelefu na kamwe hamuwezi kusimama kimbunga chake...

Tatizo mnachukulia uaminif wa watu wa Kigoma kama weakness. Hapo mmevaa kisiki na kitawatoa hata ulimi...

Hamuoni haya hadi mnamtumia Mzee wenu Mtei kuspin maneno yake.....yaani msivyokuwa makini mpoa tayari hata kuharibu stature ya MTEI ili mradi mfanikiwe mradi wenu wa kummaliza Zitto kisiasa na baadae mfanye mengine.

Na huu uroda wa kutumia magazeti ya mfadhili wenu ambaye ana crusade yake binafsi dhidi ya Zitto kwa sababu ya Zitto kukataa kumsujudia soon utawatokea puani......

omarilyas
 
..roho itatuuma sana ...maana sisi wapiga debe tumekuwa tukitumika kuwabeba tu ...kama mwalimu alivosema waaache wawabebe tu...tunaendelea kuwabeba kama maiti

Si wewe peke yako ndugu yangu! Nimeboreka sana naona sifa zilimzidia dogo kichwa chake ameshindwa kibeba...thats very low! Kumbe Wangwe alishughulikiwa eehhhhh
 
Hii ya leo kali. Zitto, kwa maneno haya, atakuwa na uhalali wa kuwa kiongozi wa kuaminiwa ndani ya Chadema na umma?

Inatia shaka sana! Ingekuwa kwa wale wenzetu angeitwa Dodoma na KumKolimbia mbali!
 

Maneno haya yafutike kamwe! ni kama ni ukweli basi CHADEMA nayo haitufai kabisa, yaani mlimtengenezea uwongo na kumtenda kipenzi cha watu Chacha Wangwe?

Mhe. Zitto kama kunaswala ambalo unahitaji kuweka record vizuri basi ni hili. Vinginevyo umejiweka pabaya pamoja na chama chako.
 
Kitendo cha CHADEMA kumtuhumu Zitto waziwazi kuwa anatumiwa na mafisadi na kwamba katoa rushwa kwenye uchaguzi wa Vijana pamoja na kumhusisha mama yake mzazi ndo kimepelekea Zitto kuja na haya.Swali je?,ilikuwa ni sahihi kwa baadhi ya viongoiz/wazee wa CHADEMA kumtuhumu Zitto waziwazi kuwa anatumiwa na mafisadi na ni mtoa Rushwa???,Zitto alitendewa haki katika kuchafuliwa hukU???
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…