Walimtenda nini?au na wewe uko katika lile kundi la kuogopa wafu? yeye alisema walimtenda kisiasa kumzima! kuwa anachukua hela CCM!!!
Yeye naye wanamfanyia the same thing, huoni anajikwepesha , huwa hauangalii movies kuwa majambazi wanaweza kukosana na kuweka wazi kila kitu??
This is good! inabaki kuwa ni somo kwetu wote kuwa tuangalie vitu in 3D, mTEI KUSEMA KUWA ccm WALIPENYEZA FEDHA SI KWELI; NANI HUYO, KIJANA GANI ALIYEKAMATWA NA CCM? huoni wanakibariki kuwa ni chama cha kikabila zaidi na Zito ameliona hilo, amekasirika! alijua yuko nao pamoja kumbe wako ng'ambo mbili tofauti
In politics you better be open sometime, walichofanya CHADEMA HAIINGII AKILINI, kuwa ajitoe ,mgombea awe mmoja! wakati wanalia demokrasia!
Zito alisema kama kujitoa wajitoe wote! which was good
Msaidieni huyo, mpeni moyo, hawa wapiganaji wasipotiwa moyo, tutaandika post kama hizi humu maisha yetu yoooote bila kuona mabadiliko!
Mtei mbona karopoka kwenye vyombo vya habari , au wewe unaona JF iko TZ nzima?
Or who is perfect??
Chadema ina wanachama wengi na sio Zitto peke yake. Kama Zitto anakipenda Chadema, basi natumaini atamuunga mkono yeyote yule atakayepewa nafasi ya uenyekiti wa chadema.