Elections 2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

Status
Not open for further replies.

Chadema ina wanachama wengi na sio Zitto peke yake. Kama Zitto anakipenda Chadema, basi natumaini atamuunga mkono yeyote yule atakayepewa nafasi ya uenyekiti wa chadema.
 


Mkuu hii ndio huwa tunaita busara! Asante mkuu ubarikiwe
 
Wanapaswa kushauriwa haraka sana maana sasa naona kama vile anaenda kwa maamuzi yake mwenyewe. Inakupaswa kushauriwa kwanza na sio kama alivyofanya yeye

ninawaonea huruma akina Prof. Baregu, Lwakatare na watu wazima wengine wenye busara zao, wanaoshuhudia hili scamp kwa macho yao.
 



Mkuu nimeweka alichosema Zitto kwa ajili ya reference. Naomba usome tena. Hilo swali unalouliza ingefaa aulizwe Zitto ndo anajua walichomtenda.
 
Kama uko upande wa Zitto na haya ndiyo unaandika, basi umethibitisha kuwa Zitto anatafuta pa kutokea ili aende chama la kijani.
kwanini aondoke Zitto na Mbowe abaki? Zitto yupo na atakuwepo lazima Change ipatikane Chadema itakuja Change chini ya Zitto.
Mwanakijiji naona hachangii kwenye mambo haya ya Chadema au hayupo hewani?
 
kwanini aondoke Zitto na Mbowe abaki? Zitto yupo na atakuwepo lazima Change ipatikane Chadema itakuja Change chini ya Zitto.
Mwanakijiji naona hachangii kwenye mambo haya ya Chadema au hayupo hewani?

Ha ha haha , Yaani hapa imebidi nicheke tu. Kwani tena hapa imeshakuwa ni ugomvi kati ya Zitto na Mbowe? Kwa nini ikisemwa kuwa Zitto aondoke basi inamaanisha Mbowe abaki?

Kwa nini isiwe Mtei, Makani, Slaa, Mnyika, na wengineo wabaki?

Hayo ya kutaka Mwanakijiji achangie hapa yanaonyesha jinsi ulivyo.
 

Mbona ccm wanapolinda mambo yao mnawashambulia??

Huu sasa ni uhuni
 
Mwanakijiji naona hachangii kwenye mambo haya ya Chadema au hayupo hewani?
Wakuu,

Mwanakijiji nimewasiliana naye ana issue flani nyeti anaifanyia kazi, hizi issues zote anazisoma lkn kwa sasa tumpe muda aweze kukamilisha analolifanya mida hii.

Kumradhi sikuwafahamisha, ni kwakuwa sikuona anayemwulizia
 
Zitto aliomba nafasi akishindana na Mbowe sio hao uliwataja hao wanamwakilisha Mbowe.
 
Wakuu,

Mwanakijiji nimewasiliana naye ana issue flani nyeti anaifanyia kazi, hizi issues zote anazisoma lkn kwa sasa tumpe muda aweze kukamilisha analolifanya mida hii.

Kumradhi sikuwafahamisha, ni kwakuwa sikuona anayemwulizia
Asante kwa hekima yako sio kama huyu aliyenijibu huko juu.huyu jamaa ameshindwa kuelewa kuwa Top five wa jamii Forum ni Mwanakijiji.
 
Zitto aliomba nafasi akishindana na Mbowe sio hao uliwataja hao wanamwakilisha Mbowe.

Hao ni wana chadema kama alivyo Zitto. Yeye ni mtu mmoja tu kati ya mamilioni ya wana Chadema. Hayo mengine ni fixation zako kwa mtu mmoja badala ya chama.
 
Asante kwa hekima yako sio kama huyu aliyenijibu huko juu.huyu jamaa ameshindwa kuelewa kuwa Top five wa jamii Forum ni Mwanakijiji.

Sasa kama Mwanakijiji ni top five then what .... wanachama wengine wote wajifungie uvunguni ili kupisha top five?
 
Wakuu,

Mwanakijiji nimewasiliana naye ana issue flani nyeti anaifanyia kazi, hizi issues zote anazisoma lkn kwa sasa tumpe muda aweze kukamilisha analolifanya mida hii.

Kumradhi sikuwafahamisha, ni kwakuwa sikuona anayemwulizia

Mkuu kwa bahati mbaya hukuweza kupitia thread hii https://www.jamiiforums.com/habari-hoja-mchanganyiko/37697-yuko-wapi-mzee-mwanakijiji.html. Mwanakijiji hawezi kusahaulika au kutouliziwa ktk wakati mgumu kama huu. Asante kwa taarifa.
 
Sakata hili linanikumbusha mpambano wa Nyerere vs Sykes enzi za TAA/TANU!
 
Binafsi naona Kosa la Zito ni kuanika Siri za Chama hadharani(JF),ndo maana anashambuliwa kama mpira wa kona.Pia ikumbukwe kwamba mara baada ya Zitto kutangaza nia yake ya kugombea Uenyekiti wa CHADEMA na kujitoa mengi mabaya juu yake yamesemwa hadharani ambayo kwa namna moja ama nyingine yamemchafua machoni mwa jamii(tuhuma kama anatumiwa na mafisadi,mtoa rushwa nk),na mbaya zaidi baadhi ya tuhuma hizi zilikuwa zikitolewa na viongozi/wazee wa CHADEMA...Zitto aliona kila mtu anamtenga/anamuona msaliti,kwamba jambo lolote baya litakaloitokea CHADEMA yeye ndo ataonekana chanzo..So ili aisulubiwe peke yake akaamua kumwaga ukweli wa yote yaliyo nyuma ya pazia hapa jamvini(Watoto wa mjini wanasema,wewe ukimwaga ugali mi namwaga mboga,ngoma inakuwa droo),mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yabaki kuwa ni siri ya chama,hayakutakiwa kutoka nje...Zitto wewe ni mwanasiasa mzuri sana ndugu yangu,cha msingi punguza jazba,ukiendelea na jazba hautafika kokote(huu ni mtizamo wangu tu),tafuta washauri wazuri na uwatumie ipasavyo....
 
Last edited:

CHADEMA CHADEMA Wangwe yuko wapi?

Hatujui kwani sisi CHADEMA ni walinzi wa WANGWE?

Mbona damu yake yalilia toka udongoni? aaha hatujui hiyo ni siri ya chama .
 
CHADEMA CHADEMA Wangwe yuko wapi?

Hatujui kwani sisi CHADEMA ni walinzi wa WANGWE?

Mbona damu yake yalilia toka udongoni? aaha hatujui hiyo ni siri ya chama .

Ha ha ha ha , lini umehama CCM kwenda Chadema? Au kwa vile Mwakalinga anasuasua kule Kyela?
 
Chadema ina wanachama wengi na sio Zitto peke yake. Kama Zitto anakipenda Chadema, basi natumaini atamuunga mkono yeyote yule atakayepewa nafasi ya uenyekiti wa chadema.
Mkuu,na hili la CHADEMA kuwa na mgombea mmoja wa uenyekiti wa Taifa unalizungumziaje???,si bora Zitto angebaki tu ili kuleta ushindani na kuangalia kama Mwenyekti wa sasa anakubalika miongoni mwa wana CHADEMA badala ya kuwachagulia wana CHADEMA Mwenyekiti(kwangu mimi kitendo cha Zitto kujitoa na kumwacha Mbowe peke yake ni sawa na kuwachagulia wana CHADEMA Mwenyekiti),kuna nini hapa???,ama ndo tunarudi enzi zilee za kupigia kura Sura na kivuli...Inasikitisha sana,demokrasia iko wapi hapa??,CHADEMA kama Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinatakiwa kiwe mfano wa kuigwa katika suala zima la democracy(Ijitofautishe na vyama vingine ambavyovenyewe na demokrasia ni sawa na mbingu na ardhi)
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…