mbowe ni mlutheri sio mkatoliki.hujui unachoandika.
Hivi karibuni askofu wa same kaondolewa kwenye nafasi yake kwa kudhaniwa ni jasusi kwa amri ya vatican.
rangi nyekundu ni ya chadema hata mwanachama wenu mpya mchukia ufisadi alipojiunga na nyinyi anatumia rangi nyekundu kila maandishi yake.mtizame mchukia ufisadi ni taliban nae? Kwanini asitumie kijana rangi ya migomba ya bukoba?
Kweli kabisa, Baba mkwe yule aliyesaini Buzwagi au yule aliyesaini Dowans? Likumbushe jamvi vizuri.
NI YULE MZEE ALIYEHARIBU UCHUMI WETU .YEYE KASOMA HISTORY AKALAZIMISHA AWE GAVANA WA BOT.AKAMSHAURI NYERERE TWENDE KUPIGANA NA UGANDA NA UCHUMI UTAYUMBA KWA MIEZI 18 TU. MZEE YULE ALIVYOKOSA ELIMU YA UCHUMI. NCHI IKAINGIA KWENYE NJAA NA UCHUMI KUYUMBA KWA ZAIDI YA MIAKA 18.
MZEE HUYU HUYU AMESHUTUMIWA NA CUF KUSHIRIKI KUIUNGUZA BOT KUPOTEZA USHAHIDI WA WIZI WA WACHAGGA.TUNAPOZUNGUMZIA EPA ILIANZA KWA MZEE HUYU NA GENGE LAKE.AU UNAWEZA KUMWITA BABA MKWE.upo?
Fisadi wa chadema huwezi elewa muombe baba mkwe akusaidie
usipoteze mjadala mada ni Zitto au mnahisi ni TALIBAN ndio mkanyima uenyekiti.ha ha ha mbavu zangu ......
haya mambo ya kutumia muda mwingi kwenye suicide bombing madrasa naona yamekumaliza kabisa.
Msiifisadi kupindukia wizara ya kilimo.
Msiifisadi kupindukia wizara ya kilimo.
usipoteze mjadala mada ni Zitto au mnahisi ni TALIBAN ndio mkanyima uenyekiti.
Waambie kwanza hao chadema wafuate utaratibu.Mkuu nimekuuliza kosa la zitto ni kutumia humu jina lake halisi.?
Naona unaleta ukabila sasa umeona Masatu mtu wa Musoma na kilimo yuko Wassira tayari wamekuwa mafisadi.
tunajua mbinu zenu kuondoa mjadala.
kama afanyavyo Mwafrika.sis tuko makini tunarudi kwenye mada kuu uchaguzi wa Chadema na udikteta wa vikongwe vinne ambavyo vilishindwa kutunza penseni zao sasa vinaishi kwa mgongo wa Chadema.
Waulize vizuri walio kutumia, wizara ya kilimo ndio inaongoza kwa ufanisi kalabaho!
Mkuu Mwafrika, asante kwa kunifungua macho. Mhhhhhhhh kumbe ndiyo maaana???? Lazima atende ya kufurahisha swahiba wake???? Ndiyo maana katika post zangu zote kuhusu zito katika thread zote, nimesema na ninarudia kusema ZITTO ametekwa!!!!!! Si kawaida yake??? Kuna a hidden move ambayo akiikamilisha basi atakua amefanikisha upande wa pili!!! Traitor wewe.
Hapa JF zimetungikwa nyaraka kadhaa wa kadhaa za siri za serikali na mikataba je watetezi wa siri mlikuwa wapi? vikao vya NEC na CC ya CCM viliivyo wajadili NAPE na SITTA taarifa zilikuwa zinamwagwa hapa wakati kikao kinaendelea watetezi wa usiri mlikuwa wapi?
Kumbe JF inakuwa nzuri pale inaposemwa na kukosolewa CCM tu na sio Chadema.
Ha ha ha ha .... wanaccm hamdanganyiki?
Mtadaganyika mara ngapi?
IPTL, Richmond, Buzwagi, Meremeta, Tangold, EPA, BOT, nk
Mlitudaganya kuhusu chacha,mjumbe wa mashariki (Mtikila)akaleta habari njema ,mkamsulubu kwa kumponda mawe.
Hakika damu ya Wangwe ya walilia kutoka udongoni,hakuna jiwe litalobaki juu ya jiwe jingine.
Kanda2,
Mkuu sijasema kuondolewa kwa Zitto ni haki.. jamani someni maandishi yangu. Nachosema mimi ni kwamba ipo sheria ktk kanuni za chaguzi kumuengua mgombea. Hoja yangu ni ktk kupinga msemo unatyaka kusema kuwa Demokrasia ni pale tu kila mtu (mwanachama) anaruhusiwa kugombea nafasi yeyote ya uongozi bila masharti fulani kuwepo..Ambavyo sii kweli!
Mkuu wangu nachoelewa mimi maswala haya yametokea siku za mwanzo za mikutano ya Chadema na naona kuna Kamati kuu kisha mkutano wa wazee! Hivi wewe unafikiria hao wazee ni wazee tu walezi chakari wa chama wanawahemea vijana!
Come on, Lolote lililotokea kwa Zitto tumeshasema yalikuwa makosa, katiba ya Chadema inaruhusu mgombea huyo kuchukua form.. Zitto hakuwa na mpango wa kugombea hadi alipofuatwa na wazee fulani na akajaza form akiwa Airport, kisha wazee wakamfuata na kumshauri imesha kuwa nongwa, soo, wamekipaka - hivyo itakuwa vizuri kama atachomoa... Naye akakubali Kuchomoa form yake..Hapa sioni tatizo liko wapi! na kama kuna tatizo tatizo ni Zitto mwenyewe.
[/color][/size][/b]
sakina datoo kasema kuwa mfadhili wenu wa chadema ana ushirika wa karibu na wayahudi hata biashara zake zinamkono wa mayahudi.
mwaka 1991 saddam hussein alikuwa akipiga makombora yake israel.mayahudi wa israel wakamwambia sisi tutahakikisha unakufa wewe na taifa lako .leo iraq iko wapi?mayahudi wanatisha sana.
mlipomuondoa wangwe mlizingatia kama marehemu ana watoto tisa na wake wawili? Leo mmewatia uyatima wa bure watoto na familia ya wangwe. Ndio maana wazee wa tarime walitaka kumchinja mwenyekiti king'ang'anizi mwenye kutegemea ridhaa ya wazazi wake na si wanachadema.
Mkuu joke ziache mbali kabisa...Hapa mkuu umetoka nje ya mstari..mlipomuondoa wangwe mlizingatia kama marehemu ana watoto tisa na wake wawili? Leo mmewatia uyatima wa bure watoto na familia ya wangwe. Ndio maana wazee wa tarime walitaka kumchinja mwenyekiti king'ang'anizi mwenye kutegemea ridhaa ya wazazi wake na si wanachadema.