Elections 2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

Elections 2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

Status
Not open for further replies.
Where is Dr. slaa???



PIGA UA CHADEMA IS SLAA and ZITTO!!!!!!!!! QUOTE]


siku zote ccm wanachowashinda nacho wapinzani ni usemi wao ...."mwanachama hawezi kuwa maarufu kuliko chama"...ila ccm hao hao ndio hudanganya wapinzani wanaochipukia kuwa wao ndio chama...

waliotaka kujifanya maarufu kuliko chama ccm mmeona wamewafanyaje..."juzi jk kamuonya mwakyembe na wapambanaji kuwa wasitake kuwa maarufu kuliko chama""

na wanaotetea wapinzani kuhama kama suluhisho....mbona hamuoni ajabu watu kama NAPE ,SITTA na wenzao hawahami??? na wametendewa mambo makubwa kuliko hata yaliyotokea CHADEMA..Nadhani mwanasiasa mwaminifu anayependa chama chake hatakikimbia ila atapigania mabadiliko akiwa ndani........mbona jk hakukimbia 1995...,salim hakukimbia 2010...leo iweje mnamshawishi ZITTO amfuate KABOUROU.....kama frustration CCM mbona zimejaa...tusitake shotcut solutions kwa matatizo magumu!!
 
- Haya niliyasema siku nyingi sana nenda kwenye thread za ile ishu, mkanishupalia sana hapa na uchunguzi wangu, sasa mnaona mwenyewe Zitto amekubali,

- Mkulu Ushiwarombo uko wapi maana wewe ndiye uliyekua mbishi sana kwamba ninatunga zile habari za kupatikana kwa text messages kuhusu computers kati ya yule kijana aliyeko jela na mbunge mmoja maarufu sana, sasa si uona haya ya leo yanajisema yenyewe! Aibuu!

Respect.

FMEs!
Yatasemwa mengi yaliyo nyuma ya pazia mkuu,tusubiri na tuone
 
Mzee ES na Mkandara,

Heshima kubwa iwe kwenu wakuu kwa kuweza kuja hapa mapema na kutoa maoni, wamarekani wanasema amsubiri mpaka jumatatu ili mpate matokeo ndio muanze kuzungumza " Monday morning quarterback."

Jamani kuna mtu mmoja muhimu sana huko Chadema , Kitila Mkumbo ; ningependa sana kujua his take on this issue. Wananchama it's about time now people must stand up and be counted.
 
Kwa kweli hata mimi siamaini kwamba CHADEMA ni wale wale...AKINA Mkuchika na makamba......I dont want to believe!! Duh...sasa itabidi next year nisipige kura...

Friends..I might be wrong..ila mimi mpaka hapa sijaona kosa la Zitto. Kwa sababu kama alivyosema FMES sioni kwa nini CHADEMA waogope kuwapambanisha wananchama wake Zitto na MBOWE..WHY???????????????????

Jamani kama Zitto akikubalika..si ndo demokrasia yenyewe?? KWA NINI WAZEE WA CHADEMA WAOGOPE?

Inasikitisha na inauma sana.
 
- yale yale aliyoyasema obama kule ghana, africans tuache tabia ya kuwekeza kwenye majina ya viongozi, tujifunze kuwekeza kwenye sound policies hii thread na yaliyojiri ni mfano mkubwa sana wa maneno ya obama.

- among all, chadema sikutegemea kukutwa na haya inasikitisha sana, sawa huenda mmekubaliana na kuyamaliza, lakini swali la the big picture linapaswa kua ni under who´s expense? Somebody must pay for makubaliano yenu ya kumfanya zitto arudishe fomu, now who is that? Kama sio sisi wananchi wa tanzania?

- i mean, hii ndio mnaita demokrasia makini? Mimi nilifkiri demokrasia makini huanzia kwenye box la kura, kumbe inaweza kupatikana na busara za wazee wa chama? Yaani na nyinyi chadema mnakubaliana na tabia za ccm za busara za spika? Nimeona a lot of spinning humu mnapoteza muda bure, sana sana sasa mnawapa ccm uhuru wa kuzidi kutuchezea wananchi wa taifa hili, kama na ninyi mnafanya kwa nini wao wasifanye?

- yaaani mnaogopa mbowe kusimama na zitto tu? Lakini hamuogopi mbowe kusimama na rais wa sasa wa ccm? This is incredible, zitto alipofukuzwa bungeni wengi tumelia kuwa ameonewa, sasa mnakuja na hizi nonsense ambazo ni clear kwamba kumbe hakuonewa kufukuzwa bunge kama ninawasoma vizuri humu na hizi spin zenu! Hamna hata aibu! Hivi mafisadi walimtuma zitto kuchukua fomu ya chadema, sasa waliomtuma kuwapigia kelele mafisadi kule bungeni mpaka kufukuzwa ni nani hasa? Hivi hili taifa tumemkosea nini mungu? Sasa nani wa kumuamini tena hapa kati yenu chadema na ccm?

- simtetei zitto wala mbowe, ninaitetea demokrasia ambayo hapa imepigwa chini kwa manufaa ya watu binafsi huko chadema na sio ya chama, no way demokrasia makini sio kumzuia mgombea mwenye akili ya kitoto na ambaye hajamkomaa kiakili, demokrasia ni absolutely opposite ya hii theory kwa sababu inataka apewe nafasi apigwe na kura za wananchi, lakini sio kumzuia kugombea, kuna ubovu mnajaribu kuuficha, sijui ni nini hasa mnachojaribu kukificha chama cha demokrasia makini? What is it?

- yaani kweli mnajaribu ku-pull a monkey on us wananchi na huku tunaona kwa macho yetu kwamba mnachosema sio ukweli ila ni zile zile siasa za ccm? Mnakuja hapa kumchafua zitto na filimbi nyingi za kuwalaumu ccm, badala ya kusimama na kubeba msalaba wenu? Yes i said it huko chadema kuna uozo kama wa ccm, ila mnajaribu kuuficha na busara za wazee lakini hamsemi nani atakayelipia kwa sababu anytime ukiuminya ukweli lazima kuwe na price to be payed, ni simple life maths.

- mnaleta spin za ajabu hapa kumchafua zitto, sasa kwanini msiruhusu akajimalize kwenye uchaguzi kama kweli ni mchafu kama mnavyodai? Aibuu sana hii watu tulikua tunawaamini na kuwategemea kumbe ni wale wale ccm tu, hivi mimi nimesema mara ngapi hapa kwamba the best idea ni ku'do away na viongozi wote na kufuta vyama vyote na kuanza na upya, nilisema hayo kwa sababu ya kutomuamini anybody, i mean kosa la zitto ni nini hasa kuchukua fomu ya mwenyekiti?

- chadema kwa hili mmetuangusha wengi sana na mnanuka kama mafisadi ndani ya ccm tu, haya mafisadi kumbe yapo kote kote sasa dawa ni kuyajua yalioko chadema maana ya ccm yanajulikana tayari, maana hii ni aibu ya the century hata mki'spin vipi you are rotten kama mafisadi ya ccm tu, dawa ni kutunga katiba mpya ya kufuta vyama vyote vya siasa tanzania na marufuku viongozi wote wa sasa kugombea uongozi tena tukianza na vyama vipya, i mean this is the worst ever!

yaani chadema chama cha demokrasia makini kinamzuia mwanachama wake kugombea uongozi kwa sababu ya kumuogopa kama ccm na mrema, na kuanza kumuita majina kibao, ya kumchafua halafu eti atarudi bungeni tena kwa tiketi ya chama hicho na kuwa na heshima ile ile kutoka kwa sisi wananchi, halafu na chadema nayo itaendelea kuwa na heshima ile ile kama zamani, yaani kweli na ninyi chadema kama ccm mnatufanya sisi wananchi wa tanzania ni kama watoto wadogo tusio na akili!

shame on all of you mnaohusika na hii nonsense ya busara kama za spika! Kule ccm zile busara za spika ziligahrimu shillingi millioni 100 hela zetu wananchi walipa kodi, sasa chadema tuambieni huko kwenu hizi busara zitatumika hela ngapi na za nani?

respect.

field marshall es!
kamanda umemaliza kila kitu hapa.pia ukiweza soma gazeti la mwananchi.co.tz utaona maneno ya mama zitto kabwe.

Unajua hawa wazee wa chadema waliogopa kumpeleka kwenye penalty box zitto. Wakaona wacheze foul nje ya 18 kumbe ndio kosa kubwa.

Kibanda alisema kuwa mbowe alitafuta wanachama zaidi ya elfu kumi kigoma ambao zitto aliwakuta.sasa kama mbowe alitafuta watu wote hao.kwanini wasimpe fursa agombee halafu wamtoe nishai kwa kupata kura chini ya kumi?

Pia mods wamekuwa hawatendei haki kwani wamekusanya kila kitu kukificha hapa tunakosa mtiririko.kuna mada ya uchaguzi mkuu inajitegemea na kuna mada ya vijana wa chadema na uchaguzi.zote zinachaganywa ili kuwalinda mafisadi wa chadema waliamua kuibaka demokrasia.
 
Where is Dr. slaa???



PIGA UA CHADEMA IS SLAA and ZITTO!!!!!!!!! QUOTE]


siku zote ccm wanachowashinda nacho wapinzani ni usemi wao ...."mwanachama hawezi kuwa maarufu kuliko chama"...ila ccm hao hao ndio hudanganya wapinzani wanaochipukia kuwa wao ndio chama...

waliotaka kujifanya maarufu kuliko chama ccm mmeona wamewafanyaje..."juzi jk kamuonya mwakyembe na wapambanaji kuwa wasitake kuwa maarufu kuliko chama""

na wanaotetea wapinzani kuhama kama suluhisho....mbona hamuoni ajabu watu kama NAPE ,SITTA na wenzao hawahami??? na wametendewa mambo makubwa kuliko hata yaliyotokea CHADEMA..Nadhani mwanasiasa mwaminifu anayependa chama chake hatakikimbia ila atapigania mabadiliko akiwa ndani........mbona jk hakukimbia 1995...,salim hakukimbia 2010...leo iweje mnamshawishi ZITTO amfuate KABOUROU.....kama frustration CCM mbona zimejaa...tusitake shotcut solutions kwa matatizo magumu!!

- Mkulu PM, with all due respect enough you are too big na hizi comparison za CCM, mimi nilidhani you guys are better than CCM, sasa kama kila mfano wa matatizo ya Chadema yataliganishwa na ya CCM maana yake ni nini kwamba wananchi wa Busanda na Biharamulo kumbe hawakuwa wajinga?

- Come on brother, Zitto aende asiende he is done kama ambavyo ni ninyi pia kama chama you are done, as far as politics za taifa are concerned you are both done na huu upuuuzi, kumzuia Zitto kugombea kwa maneno mengine ni kukubali kwamba Zitto is bigger than Chadema, waache wafu huko CCM wakajizike wenyewe lakini huwezi kuwaiga wafu na kujaribu ku'justify ufu wao kwa ajili ya matatizo yako yanayokupelekea huko huko kwenye ufu mkuu!

- Hapa mkuu ni lazima ukubali kwamba Zitto is bigger than Chadema, asingekua mngemruhusu akajimalize mwenyewe kwenye box la kura! I am very dis'appointed na hii tabia za Chimwaga. CCM mafisadi wachache wanaua demokrasia na ninyi Chadema mnatumia tabia zile zile za JK kuua demokrasia Chadema halafu unaitumia mifano hiyo bila hata aibu ndugu yangu, mifano ya kina Kusila kudai uhaini unatumia kuhalalisha kumynima mwananchi kugombea uongozi Chadema?

Respect.

Field Marshall Es!
 
- Haya niliyasema siku nyingi sana nenda kwenye thread za ile ishu, mkanishupalia sana hapa na uchunguzi wangu, sasa mnaona mwenyewe Zitto amekubali,

- Mkulu Ushiwarombo uko wapi maana wewe ndiye uliyekua mbishi sana kwamba ninatunga zile habari za kupatikana kwa text messages kuhusu computers kati ya yule kijana aliyeko jela na mbunge mmoja maarufu sana, sasa si uona haya ya leo yanajisema yenyewe! Aibuu!

Respect.

FMEs!

mkuu umenena ...nimeona loophole mbaya sana ambayo inaweza kutumiwa na maadui wa zitto na maadui wa chadema ...ieleweke kuwa kila chama kina siri zake......na moja ya sifa ya kiongozi ni kuhifadhi...sasa siwaelewi watu wanaomshabikia zitto kuropoka wakati wanajuwa amejipotezea sifa ya kuaminika kuhifadhi mambo mazito..ukizingatia kati ya vijana wa umri wake ni front runner to presidency....sasa unafikiri watu wa usalama faili lake leo wataongezea comment gani....hasa ukizingatia uzito wa siri viongozi wanazobeba..

hapo nyuma nimewakumbusha kuwa pamoja na mrema kutofautiana na chama cha ccm ...hadi leo hajatoa siri hata moja zaidi ya viti ambavyo kila mtu alijuwa kama chavda..etc..hasa ukizingatia nafasi yake kama mkuu wa usalama ccm,mbunge ,waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri mkuu..

nahisi kuwa tutakuwa na tatizo la kiusalama huko mbeleni...kama idara ya usalama haitachukua jukumu la kutoa mafunzo ya maadili na uongozi kwa vijana wote wanaopata nafasi kubwa au ubunge hata wa upinzani...nimesikitika sana ...maneno ya kuropoka angetoa mtu kama hiza au aina yake nisingesikitiaka ...lakini zitto ni kijana tunayemtegemea ..kwenye hii safari...!!!..lazima awe na maadili ya uongozi ...kubalini kataeni sifa ya muhimu tunayoangalia kwa kiongozi ni kutunza siri!!!

wanaomshabikia mbona hawajiulizi kusikia siri zaidi ya tetesi kuhusu ...sokoine,kolimba.,na wengine wengi...??????.. au ccm hawana midomo???
 
Mzee ES,

Mimi nadhani kosa alilolifanya Zitto humu ndani leo ni kubwa kuliko la yeye kunyimwa kugombea . Wazee ni kweli walifanya kosa kutokumruhusu , lakini hata hivyo kosa la ku-call out Chadema dirty laundry is below the belt . Regardless of what they did, he shouldn't have done what he did.
 
Where is Dr. slaa???



PIGA UA CHADEMA IS SLAA and ZITTO!!!!!!!!! QUOTE]


siku zote ccm wanachowashinda nacho wapinzani ni usemi wao ...."mwanachama hawezi kuwa maarufu kuliko chama"...ila ccm hao hao ndio hudanganya wapinzani wanaochipukia kuwa wao ndio chama...

waliotaka kujifanya maarufu kuliko chama ccm mmeona wamewafanyaje..."juzi jk kamuonya mwakyembe na wapambanaji kuwa wasitake kuwa maarufu kuliko chama""

na wanaotetea wapinzani kuhama kama suluhisho....mbona hamuoni ajabu watu kama NAPE ,SITTA na wenzao hawahami??? na wametendewa mambo makubwa kuliko hata yaliyotokea CHADEMA..Nadhani mwanasiasa mwaminifu anayependa chama chake hatakikimbia ila atapigania mabadiliko akiwa ndani........mbona jk hakukimbia 1995...,salim hakukimbia 2010...leo iweje mnamshawishi ZITTO amfuate KABOUROU.....kama frustration CCM mbona zimejaa...tusitake shotcut solutions kwa matatizo magumu!!

WATAENDA WAPI WAKATI CHAMA CHAKO HAKIJAJIWEKA SAWA KUPATA SURA YA KITAIFA?

MTU HUENDA SEHEMU ILIYO BORA ZAIDI SASA KUJA KWAKO AMBAKO HAKUNA KUFUATA KATIBA ZAIDI YA WAZEE WANNE.

NAPE KUPITIA VIKAO VYA CHAMA ALIRUDISHIWA HAKI YAKE,SEIF SHARIF HAMAD,JUMA DUNI,MREMA WALIONDOKA HIVYO ZITTO ANAWEZA KUONDOKA BILA TATIZO. USHAURI HUU HUU MBONA hukumpa MCHUKIA UFISADI ALIPOKUWA CUF NIKAWEKA MADA HAPA JUU YA MPANGO WAKE WA KUHAMIA CHADEMA,UNGEMWAMBIA KUWA NAPE NA SITTA HAWAKUHAMA CCM PAMOJA NA YALIYOWAKUTA.
 
mkuu umenena ...nimeona loophole mbaya sana ambayo inaweza kutumiwa na maadui wa zitto na maadui wa chadema ...ieleweke kuwa kila chama kina siri zake......na moja ya sifa ya kiongozi ni kuhifadhi...sasa siwaelewi watu wanaomshabikia zitto kuropoka wakati wanajuwa amejipotezea sifa ya kuaminika kuhifadhi mambo mazito..ukizingatia kati ya vijana wa umri wake ni front runner to presidency....sasa unafikiri watu wa usalama faili lake leo wataongezea comment gani....hasa ukizingatia uzito wa siri viongozi wanazobeba..

hapo nyuma nimewakumbusha kuwa pamoja na mrema kutofautiana na chama cha ccm ...hadi leo hajatoa siri hata moja zaidi ya viti ambavyo kila mtu alijuwa kama chavda..etc..hasa ukizingatia nafasi yake kama mkuu wa usalama ccm,mbunge ,waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri mkuu..

nahisi kuwa tutakuwa na tatizo la kiusalama huko mbeleni...kama idara ya usalama haitachukua jukumu la kutoa mafunzo ya maadili na uongozi kwa vijana wote wanaopata nafasi kubwa au ubunge hata wa upinzani...nimesikitika sana ...maneno ya kuropoka angetoa mtu kama hiza au aina yake nisingesikitiaka ...lakini zitto ni kijana tunayemtegemea ..kwenye hii safari...!!!..lazima awe na maadili ya uongozi ...kubalini kataeni sifa ya muhimu tunayoangalia kwa kiongozi ni kutunza siri!!!

wanaomshabikia mbona hawajiulizi kusikia siri zaidi ya tetesi kuhusu ...sokoine,kolimba.,na wengine wengi...??????.. au ccm hawana midomo???

- Mkulu PM, huyu Zitto alifikiaje kua naibu katibu mkuu wa Chadema? Unajua ninashindwa kuchambua sana post yako kwa sababu ya heshima yangu kwako, lakini naomba kukwambia kwamba the more you talk ku-justfy kumzuia Zitto ni more unaharibu sana mkuu.

- Ukweli ni kwamba kama CCM huko Chadema, sasa demokrasia imekufa rasmi na hii ishu.

Respect.

FMEs!
 
mkuu umenena ...nimeona loophole mbaya sana ambayo inaweza kutumiwa na maadui wa zitto na maadui wa chadema ...ieleweke kuwa kila chama kina siri zake......na moja ya sifa ya kiongozi ni kuhifadhi...sasa siwaelewi watu wanaomshabikia zitto kuropoka wakati wanajuwa amejipotezea sifa ya kuaminika kuhifadhi mambo mazito..ukizingatia kati ya vijana wa umri wake ni front runner to presidency....sasa unafikiri watu wa usalama faili lake leo wataongezea comment gani....hasa ukizingatia uzito wa siri viongozi wanazobeba..

hapo nyuma nimewakumbusha kuwa pamoja na mrema kutofautiana na chama cha ccm ...hadi leo hajatoa siri hata moja zaidi ya viti ambavyo kila mtu alijuwa kama chavda..etc..hasa ukizingatia nafasi yake kama mkuu wa usalama ccm,mbunge ,waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri mkuu..

nahisi kuwa tutakuwa na tatizo la kiusalama huko mbeleni...kama idara ya usalama haitachukua jukumu la kutoa mafunzo ya maadili na uongozi kwa vijana wote wanaopata nafasi kubwa au ubunge hata wa upinzani...nimesikitika sana ...maneno ya kuropoka angetoa mtu kama hiza au aina yake nisingesikitiaka ...lakini zitto ni kijana tunayemtegemea ..kwenye hii safari...!!!..lazima awe na maadili ya uongozi ...kubalini kataeni sifa ya muhimu tunayoangalia kwa kiongozi ni kutunza siri!!!

wanaomshabikia mbona hawajiulizi kusikia siri zaidi ya tetesi kuhusu ...sokoine,kolimba.,na wengine wengi...??????.. Au ccm hawana midomo???
pole sana mzee kwanini hukumtuma kibanda akufanyie kazi kama mwanzo?hakuna siri aliyoitoa zitto kasema uozo uliopo.akausemee wapi na wazee wako wameshamfunga mdomo? Mama yake kamfuata slaa asuluhishe hadi leo slaa hajafanya kitu.mwache zitto amwage uoza hapa hapa jf. Pumzika mzee kipindi hiki.
Nakukumbusha maneno ya mbowe alisema vijana tusiwe waoga tuthubutu.zitto kathubutu.
 
Mzee ES,

Mimi nadhani kosa alilolifanya Zitto humu ndani leo ni kubwa kuliko la yeye kunyimwa kugombea . Wazee ni kweli walifanya kosa kutokumruhusu , lakini hata hivyo kosa la ku-call out Chadema dirty laundry is below the belt . Regardless of what they did, he shouldn't have done what he did.

- Kwa hiyo unsema ilikuwa sawa kwa Mwakyembe kutotoa ripot yote ya Richimonduli na kumnusuru Lowassa?

- Rufiji among all the people humu JF, kweli na wewe unaetetea kuuliwa kwa demokrasia ndani ya chama tena cha upinzani?

Respect.

FMEs!
 
- Mkulu PM, huyu Zitto alifikiaje kua naibu katibu mkuu wa Chadema? Unajua ninashindwa kuchambua sana post yako kwa sababu ya heshima yangu kwako, lakini naomba kukwambia kwamba the more you talk ku-justfy kumzuia Zitto ni more unaharibu sana mkuu.

- Ukweli ni kwamba kama CCM huko Chadema, sasa demokrasia imekufa rasmi na hii ishu.

Respect.

FMEs!
tena ni mkakamavu kwa kipindi sikutegemea kama atapata courage ya kuja hapa kuleta utumbo wake.
hata mimi namuheshimu sana huyu mheshimiwa.
 
pole sana mzee kwanini hukumtuma kibanda akufanyie kazi kama mwanzo?hakuna siri aliyoitoa zitto kasema uozo uliopo.akausemee wapi na wazee wako wameshamfunga mdomo? Mama yake kamfuata slaa asuluhishe hadi leo slaa hajafanya kitu.mwache zitto amwage uoza hapa hapa jf. Pumzika mzee kipindi hiki.
Nakukumbusha maneno ya mbowe alisema vijana tusiwe waoga tuthubutu.zitto kathubutu.

- Zitto aachiwe aseme yote tuyajue vizuri, ya kujiua kisiasa lisiwe tatizo la Chadema, bali la Zitto mwenyewe na besides hakluna jipya kwa tunaojua vizuri atakalolisema au alilokwisha sema so far!

- Mkuu Kanda2, tupo pamoja sana hapo!

FMEs!
 
WATAENDA WAPI WAKATI CHAMA CHAKO HAKIJAJIWEKA SAWA KUPATA SURA YA KITAIFA?

MTU HUENDA SEHEMU ILIYO BORA ZAIDI SASA KUJA KWAKO AMBAKO HAKUNA KUFUATA KATIBA ZAIDI YA WAZEE WANNE.

NAPE KUPITIA VIKAO VYA CHAMA ALIRUDISHIWA HAKI YAKE,SEIF SHARIF HAMAD,JUMA DUNI,MREMA WALIONDOKA HIVYO ZITTO ANAWEZA KUONDOKA BILA TATIZO. USHAURI HUU HUU MBONA hukumpa MCHUKIA UFISADI ALIPOKUWA CUF NIKAWEKA MADA HAPA JUU YA MPANGO WAKE WA KUHAMIA CHADEMA,UNGEMWAMBIA KUWA NAPE NA SITTA HAWAKUHAMA CCM PAMOJA NA YALIYOWAKUTA.

sivyo wana ccm wengi vigogo wanaogopa kuhama...kwani wengi hawapigani na ufisadi zaidi ya wivu.....!!! wakitokea wenye dhamira ya dhati watahama ...au pia inawezekana wenye dhamira wapo na hawana pa kwenda ..yote yawezekana!!

na watu kama kina kingunge huwatisha wakorofi kwa kuwaambia..""..alikuwa mrema na umaarufu wake tukamdhibiti...utakuwa wewe....""".. aah wakishasikia hivyo na wakiona mwenzao anavyopigwa juwa ... na hamad alivyowekwa ndani ...basi wanatulia!!!

mkuu FM nimekusoma .HESHIMA MKUU..lakini ume adress as if naweza ku influence lolote...mimi ni mwanaharakati tu kama wewe...traversger square yangu ni jf ....TU!
 
tena ni mkakamavu kwa kipindi sikutegemea kama atapata courage ya kuja hapa kuleta utumbo wake.
hata mimi namuheshimu sana huyu mheshimiwa.

- Hii ni JF kumkoma nyani hatujawahi kuogopa mtu hapa wala ishu, tumewanyamazia toka majuzi tukidhani mtayamaliza huko Chadema kwa manufaa ya masilahi yetu wananchi,

- Sasa mmeharibu halafu mnajaribu tena kuja hapa JF ku-spin nonsense! Mkulu PM tumejaribu sana kuwaheshimu na hili lakini mlichofanya ni aibu kubwa sana, sasa muacheni Zitto ajimalizie zaidi, lakini jaribuni kukinusuru chama Chadema kwa kufunga midomo yenu sasa.

Ni ushauri wa bure tu, Zitto hana anything to lose ila ana everything to gain, hapa na hizi behavior zake naona inapaliliwa njia ya kwenda CCM hebu nyamazeni msijiabishe zaidi maana he is taking down the whole chama mnapozidi kumuandama. Nimewaambieni siku nyingi sana kwamba Chadema mna matatizo ya washauri kama CCM, how can you fight Zitto at this stage alipofikia? Halafu uka'expect ku-win?

Respect.

FMEs!
 
Zitto kishakula za mafisadi,anajiandaa kwenda CCM...hana lolote anatafuta kula tuu!
 
sivyo wana ccm wengi vigogo wanaogopa kuhama...kwani wengi hawapigani na ufisadi zaidi ya wivu.....!!! wakitokea wenye dhamira ya dhati watahama ...au pia inawezekana wenye dhamira wapo na hawana pa kwenda ..yote yawezekana!!

na watu kama kina kingunge huwatisha wakorofi kwa kuwaambia..""..alikuwa mrema na umaarufu wake tukamdhibiti...utakuwa wewe....""".. aah wakishasikia hivyo na wakiona mwenzao anavyopigwa juwa ... na hamad alivyowekwa ndani ...basi wanatulia!!!

mkuu FM nimekusoma .HESHIMA MKUU..lakini ume adress as if naweza ku influence lolote...mimi ni mwanaharakati tu kama wewe...traversger square yangu ni jf ....TU!

- Mkuu PM bado nasimamia principle yangu kwamba ni better kuwa na Chadema kuliko kutokuwa nayo ndani ya taifa letu bongo,

- Sio nia yangu kuwaongezea machungu Chadema, maana nitakuwa ninawasaidia mafisadi wa CCM na huko ndani Chadema, kwa hiyo with all due respect naomba ku'bow put hapa.

Respect.

Field Marshall Es!
 
Field marshall ES,
Mkuu hakuna mtu anayezungumzia kuenguliwa kwa Zitto ktk kugombea uenyekiti. Kwanza ni swala la chama Chadema halikuhusu kitu wewe mbona Malecela alienguliwa.. Kuna majina kibao yaliernguliwa kabla jina la Mama Asha Rose Migiro halijapigiwa kura huko UN, tena Kenya wanalia hadi kesho kwani walitegemea mtu kutoka kwao kushika nafasi hiyo.. Kila sehemu ya taasisi duniani huwa na mchekecho wa majina unaoweza kuengua jina la mtu yeyote kutokana na mapungufdu wanayoyahitaji wao..Imetokea CCM, imetokea CUF imetokea UN na vyama kibao vya kisiasa hadi nchi zinazodai kuwa na demokrasia ya kweli. Mkuu, angalia nyumba yako huwezi kutuchagulia mke hata kidogo. Sifa za zinazotakiwa kugombea kiti cha mwenyekiti CCM haziwezi kuwa sawa na vyama vyote na demokrasia haiwezi kukiuka SIFA zinazomwezesha mgombea ku qualify..who knows pengine Zitto hakuwa na sifa hizo...

Pamoja na yote haya sisi tulikwisha elewa kitu gani kinafanyika, njama zote against Zitto zilijulikana lakini tatizo letu ni Zitto mwana JF sio wajinga wengine. tatizo ni pale kiongozi wetu huyu anapojibu mapigo ya paparazi kwa hamaki bila kufahamu kwamba naazidi kutuweka Uchi.. Hakujibu kwa kutumia hekima, alikichafua chama na wote waliokuwepo sawa na mke/mme anayekwenda hadithia marafiki zake negative vibes kuhusu mwenza au kinachofanyika ndani ya nyumba yake.. Ikiwa mashtaka ni halali nenda Polisi au vyombo vya sheria sio kuanika na kulia lia kwa majirani ukifikiria watakuonea huruma sana kumbe ndio kwanza unaharibu ndoa yako..Hizi ndizo lawama zetu kwa Mh. Zitto...Mkuu unajua fika kuwepo kwa watun kama hawa na wameharibu ndoa zao iwe mwanamke/ mwanamme..

Kama swala lilikuwa kuenguliwa kwa jina lake ingebakia kuwa somo hilo na lawama zake zingewafuata wahusika ktk kikako cha chama kwani hakijaisha bado. Tofauti na Lwakatare ambaye aliahidiwa mengi wakati wa kikao Zitto kabahatika kuyaona yote dhidi yake wakati wa kikao, hakuwa na sababu ya kulalamikia pembeni ktk magazeti.

Tumeona ya Spika Sitta ktk kikao cha CCM lakini kwa busara zake mzee hakuweka vitisho, matusi na kuvaa gloves tayari kurusha ngumi..kwa sababu maslahi ya chama chake yako mbele ya tuhuma alozushiwa. na bahati Ukweli umetoka na Mafiosadi haswa wanajulikana walichojaribu kufanya. Ndani ya Chadema pia wapo mafisadi na Zitto hana sababu wala haja ya kujilinda kwa maneno wala kukurupuka kudai yeye sii Fisadi..Kauli na Vitendo vyake pekee ndivyo vinaweza kumsafisha na wala hakugombea Uengozi ili kufurahisha watu. Kuna problem ndani ya chama ni jukumu lake kurekebisha tabia hizo zikome na kama atashindikana ktk vikao vyote vya vyama basi hana sababu wala haja ya kuendelea kukaa chama hicho. Na bila shaka Wapiganaji wengi tungemfuata.. nashindwa kuanmini kwamba hata Dr. Slaa mpiganai mwingine amewekwa ktk kundi baya halafu mtetezi mkubwa wa Mh. Zitto ktk kikao cha chama ametokea kuwa ni mama yake!.. Hii kweli inaingia akilini mkuu wangu?.. Kuna Ujinga unaendela na sii Zitto mwenyewe ila wapambe wake ndio wanaharibu kabisa!
 
Last edited:
Zitto kishakula za mafisadi,anajiandaa kwenda CCM...hana lolote anatafuta kula tuu!


ZAIDI ZITTI ANAPIGANIA DHAMIRA YAKE ....NA WALA HAYUPO KWA MAFISADI....msibebe nadharia za kampeni....

nimegundua kuwa wengi wanajaribu kuwapa CHADEMA na ZITTO wao ushauri mzuri lakini wengi pia wanakoleza moto petrol....zote hizi ni siasa!!

tatizo kubwa nililoona hapa ni kuwa mambo ya kujadiliwa na viongozi wa chama husika yamepata njia kuja hapa ..tofauti na siri za ccm ambazo huja hapa kama fununu[inakuwa haina uzito]...

pamoja na kuwa nidhamu ndani ya ccm inashuka lazima tukubali kuwa ni chama pekee cheme uwezo wa kujiendesha kama taasisi hadi sasa...ndio maana hata wakimsimamisha bubu kwenye uchaguzi wanashinda kwa sababu daima ....wao wanategemea mtandao wa kichama kuliko wanasiasa au siasa za msimu!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom