Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba: Kuna uwezekano mkubwa wa Mitandao ya Kijamii kuzimwa

Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba: Kuna uwezekano mkubwa wa Mitandao ya Kijamii kuzimwa

Wapumbavu wakubwa hawa!

Hivi huwa wanafikiri Tanzania ni mali ya baba yao!?

Yaani kakikundi cha watu wachache wenye mashati ya kijani wanataka kutugeuza watanzania milioni sitini kuwa watumwa?

Jamani, hii ni nchi yetu sote! Hakuna mtumwa na mtwana wake humu!

Siasa zimewashinda wameamua kuanza kutuchokonoa makalioni kabisa!

Ati oohhh tumetekeleza kwa kishindo!! Hii hofu yote yatoka wapi?
Unaongea kama unakunya vile
 
Back
Top Bottom