promethus
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 1,164
- 1,901
Mfano wakizima internet kabisa,VPN inasaidia chochote?Twitter imeguswa, next page I think will be Jf.
Turbo VPN ina unlock upumbavu wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano wakizima internet kabisa,VPN inasaidia chochote?Twitter imeguswa, next page I think will be Jf.
Turbo VPN ina unlock upumbavu wote
WhatsApp picha na video zinafunguka kwa shidaKabla sijatumia vpn[emoji116]
View attachment 1613251
Baada ya kutumia vpn[emoji116]
View attachment 1613252
Kabla sijatumia vpn[emoji116]
View attachment 1613251
Baada ya kutumia vpn[emoji116]
View attachment 1613252
Muda huu najaribu kutuma pcha kwa WhatsApp zaidi ya saa 1 imepita picha zmeganda tu...ila msg znaenda
Wameshafanya yao...hata google bilabila bado JF tuuNyie watu wa Dar si ndo mpo karibu na Mamlaka,,kwanini mtandao leo unakuwa mzito kama ugaliwa muhogo?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Haisaidii, nadhani picha hii ni ya Belarus lakini bado haikusaidia. Pamoja na pressure kutoka USA, EU na kwingineko, Rais aliyechaguliwa anaendelea na kazi aliyoaminiwa na wanachi wake. Watanzania wameamua kwenda na JPM, hakuna namna ya kwenda kinyume na chaguo la watanzania hao wengi. You better join the teamKipindi kama hiki 2015 ndio vifurushi vya kuperuzi mitandaoni vilipanda bei bila taarifa lakini kwa vile wananchi walikuwa huru kusema hawakuliona hili...ama hawakulizingatiaView attachment 1533286
Jr[emoji769]
Nimeongea na Mwamba wangu Fulani Ivi wa Mamlaka Anasema Internet full haitawezwa kuzimwa; Maana Access Control haijakaa vizuri (Group Access Controll haijakaa vizuri kwenye mfumo) Hivyo wakizima Option ni kuzima kwa woteee hata wenye mamlaka; Sasa wenye mamlaka wamesema hiyo haitafaa, wao pia wanahitaji.Mfano wakizima internet kabisa,VPN inasaidia chochote?
Hebu tufundishe kuweka VPN tafadhaliNimeongea na Mwamba wangu Fulani Ivi wa Mamlaka Anasema Internet full haitawezwa kuzimwa; Maana Access Control haijakaa vizuri (Group Access Controll haijakaa vizuri kwenye mfumo) Hivyo wakizima Option ni kuzima kwa woteee hata wenye mamlaka; Sasa wenye mamlaka wamesema hiyo haitafaa, wao pia wanahitaji.
Mlioko Tz, VPN ni muhimu haipingiki ili kuhabarishana kwa kipindi hiki, Mfano Asubuh nimetuma MoneyGram Kwa dogo Kutuma Picha ya Receipt alishindwa kuifungua, Mpaka nilipomwambia aweke VPN ndio amepokea Picha ya receipt.
Mkuu Mshana, Unweza Ingia AppStore ( kama mtumiaji wa Iphone, na Playstore kwa Android) Kisha , Andika Secure VPN, itakuja Angalia yenye Alama ya Blue ina kaufunguo hivi. Then Download Hiyo, Niko nayo tayari Ila kila nikiweka hapa inagoma.Hebu tufundishe kuweka VPN tafadhali