LGE2024 Kuelekea Uchaguzi Serikali za Mitaa: CCM, raia wamewachoka badilikeni kabla mambo hayajaharibika

LGE2024 Kuelekea Uchaguzi Serikali za Mitaa: CCM, raia wamewachoka badilikeni kabla mambo hayajaharibika

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Killing machine

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
2,052
Reaction score
2,995
Ukiangalia mwitikio wa watanzania kujiandikisha." Inachekesha sana.

Utaona wazi kwamba hata wajinga wameanza kujua kinacho endelea baada ya uchaguzi/uizi wa kura.

Ukimya wa Watanzania kutojihusisha na maandamano hautoi tafsiri kwamba watanzania niwajinga au hawana la kufanya hapana.

Badala yake ukimya wao unatoa tafsiri kwamba watanzania wa sasa wamekuwa kifikra, walio wengi wame elimika.

Kiasi kwamba sikuhizi Watanzania Wana weza kujua na kugundua kwamba maandamano haya ya CHADEMA haya toshi kuwafanya wapate hakizao wanazo zipigania.

Ambazo ni haki za uhuru wa kuzungumza, uhuru wa kuhoji, uhuru wa kuchagua, na uhuru wa kwenda popote kujitaftia kama raia wengine wa inchi nyingine waishivyo nakadharika.

Na baadhi wanajua kwamba maandamano Kama hayo yapo kwa ajili ya kuwa pima upepo watanzania/ kumjua yupi adui yupi si adui mbele ya CCM.

Na baadhi ya Watanzania wamefika mbali mpaka viongozi wa vyama vya upinzani wanawaona Kama ni CCM waliovaa ngozi ya upinzani nakazi yao kubwa ni kuwapoteza maboya Watanzania ili waendelee kuamini kwamba kuna upinzani.

Kisha wagawanyike kundi hili na lile/upinzani na tawala ili iwe rahisi kutawalika na ccm kwa mda usio na Kikomo.

Nimepita mitaani pia nimeona jinsi baadhi ya vijana wanavyo anza kuushtukia mchezo wa Usimba na Uyanga jinsi unavyo wafanya kuwa wapuuzi.

Imani yangu nikwamba hapo mbeleni litakuwa haliwezekani tena, naomba niwaarifu CCM kwamba;

- Watanzania wanajua kwamba mabox ya kupigia kura yametengenezwa na CCM.

- Walinzi wa vituo vya kupigia kura wanalipwa na CCM.

- Mawakala wa vituo vya kupigia kura wa pande zote wanapewa posho lakini mtoaji mkuu wa posho hizo ni CCM, iwe kwa siri au uwazi wanalijua hilo.

- Magari yanayosafirisha kura kutoka vituoni kwenda sehemu husika niya CCM, madreva wanaoendesha magari yaliyo beba hizo box za kura wanalipwa na CCM.

- Tume ya uchaguzi inafadhiliwa na CCM, vyombo vya habari vinavyotangaza matokeo vipo chini ya Sheria za CCM.

- Mwapishaji wa mshindi wa uchaguzi analipwa na CCM

Je, mtegemee wananchi wenye akili timamu kujitokeza kwa wingi kupiga kura au muwa tegemee hawa wachache wasio timamu ndio wajitokeze kupiga kura na muwatumie hao hao kama msingi wa kwamba mnafuata misingi ya democracy mbele ya uso wa dunia?

Tukifanya hivyo ni sawa tutashinda lakini je, hili kundi ambalo halitaki kujiandikisha wala kuandamana wala kuzungumza mitandaoni tunaishi nalo vipi humu ndani kama Watanzania baada ya kuudanganya ulimwengu kwamba uchaguzi ulikuwa wa haki?

Je, tutaendelea kutekana mpaka lini kwa kujificha udhaifu unaorekebishika? Tutaendelea kusingiziana kesi mpaka lini?

Nafikiri kuna haja ya kuzirekebisha baadhi ya Sheria za Uchaguzi zilizopitwa na wakati na kuziandaa mpya zinazoendana na wakati.

Kuna kipindi raia walichagua kati ya picha ya kimvuli na picha ya mtu kwenye uchaguzi na waliamini wanafanya uchaguzi😀😀 r.i.p Mwalimu Nyerere!

Lakini kwa sasa mkumbuke kwamba zamani siyo sasa, badilikeni kabla mambo hayajabadilika kabisa!

Pia soma: Kuelekea 2025 - LGE2024 - CCM itatoka Madarakani pale tu itakapochokwa na wananchi lakini siyo kwa kuzidiwa Mbinu za Siasa na Vyama vya Upinzani!
 
Jamii ya bora liende ama kanyaga twende ambayo inapokea chochote kile kiwe chanya ama hasi kinacho gusa maisha ya kila siku,, jamii ambayo haiwezi kubuni mbinu za kukabiliana na changamoto zilizopo na zitakazo kuja

Jamii ambayo ikisema watu wanatekwa inaambiwa, wanaigiza wanajiteka ama wanajitekenya, (jamii ambayo kila mtu anapambana na hali yake), jamii iliyopuuzwa, (neglected society)
 
Sasa unataka CCM ibadilike Ili isitoke madarakani?

Iache ifurahie nyakati za mwisho wa uhai wake.

Jamii ya bora liende ama kanyaga twende ambayo inapokea chochote kile kiwe chanya ama hasi kinacho gusa maisha ya kila siku,, jamii ambayo haiwezi kubuni mbinu za kukabiliana na changamoto zilizopo na zitakazo kuja

Jamii ambayo ikisema watu wanatekwa inaambiwa, wanaigiza wanajiteka ama wanajitekenya, (jamii ambayo kila mtu anapambana na hali yake), jamii iliyopuuzwa, (neglected society)
Ukitaka kumtawala mtu piga uchumi wake

Jpm alili jua alianza kucheza na matajili alicho wafanya walio wengi Hawa taki kuki zungumzia
Kabisaa

CCM wanaujua udhaifu wa watanzania wengi Ni elimu na umaskini

na Wana inchi sasa hivi ndio Wana anza kuushtukia kamchezo lakini ccm wanajua bado watu wame lala

Watanzania sasa hivi Nikama nyati aliye koswa na risasi na kajidondosha makusudi akiji fanya kafa ili mtu asogee akutane nacho
 
Sasa unataka CCM ibadilike Ili isitoke madarakani?

Iache ifurahie nyakati za mwisho wa uhai wake.
Kwasasa hakuna chama pinzani sahihi Cha kuiondoa ccm madarakani mkuu kwahiyo hakuna jinsi
 
Kusema ukweli mimi Nina marafiki zangu kama wanne hivi
Nimeshangaa kuona wote hawaipendi sisiemu hata kidogo
Maana nilijua ni mimi tu
Japokuwa hatujihusishi na siasa Ila ccm Ina kazi aisee
Walio kuwa wanaibeba ccm zamani niwatu wa vijijini na wazee lakini sasa hivi mpaka wazee wameshtukia mchezo

Wanasema ccm ya siku hizi si ya zamani ccm ya siku hizi Ni ya wahuni,mafisadi,majambazi,wauwaji,na vibaka

Cha ajabu CCM wanatumia nguvu nyingi kuziba midomo ya watu Kama hao badara ya kukaa Kama chama na kulekebisha pale wanapo kosea
 
Walio kuwa wanaibeba ccm zamani niwatu wa vijijini na wazee lakini sasa hivi mpaka wazee wameshtukia mchezo

Wanasema ccm ya siku hizi si ya zamani ccm ya siku hizi Ni ya wahuni,mafisadi,majambazi,wauwaji,na vibaka

Cha ajabu CCM wanatumia nguvu nyingi kuziba midomo ya watu Kama hao badara ya kukaa Kama chama na kulekebisha pale wanapo kosea
CCM ni genge la matapeli
 
Ukiangalia mwitikio wa watanzania kujiandikisha." Inachekesha sana.

Utaona wazi kwamba hata wajinga wameanza kujua kinacho endelea baada ya uchaguzi/uizi wa kura.

Ukimya wa Watanzania kutojihusisha na maandamano hautoi tafsiri kwamba watanzania niwajinga au hawana la kufanya hapana.

Badala yake ukimya wao unatoa tafsiri kwamba watanzania wa sasa wamekuwa kifikra, walio wengi wame elimika.

Kiasi kwamba sikuhizi Watanzania Wana weza kujua na kugundua kwamba maandamano haya ya CHADEMA haya toshi kuwafanya wapate hakizao wanazo zipigania.

Ambazo ni haki za uhuru wa kuzungumza, uhuru wa kuhoji, uhuru wa kuchagua, na uhuru wa kwenda popote kujitaftia kama raia wengine wa inchi nyingine waishivyo nakadharika.

Na baadhi wanajua kwamba maandamano Kama hayo yapo kwa ajili ya kuwa pima upepo watanzania/ kumjua yupi adui yupi si adui mbele ya CCM.

Na baadhi ya Watanzania wamefika mbali mpaka viongozi wa vyama vya upinzani wanawaona Kama ni CCM waliovaa ngozi ya upinzani nakazi yao kubwa ni kuwapoteza maboya Watanzania ili waendelee kuamini kwamba kuna upinzani.

Kisha wagawanyike kundi hili na lile/upinzani na tawala ili iwe rahisi kutawalika na ccm kwa mda usio na Kikomo.

Nimepita mitaani pia nimeona jinsi baadhi ya vijana wanavyo anza kuushtukia mchezo wa Usimba na Uyanga jinsi unavyo wafanya kuwa wapuuzi.

Imani yangu nikwamba hapo mbeleni litakuwa haliwezekani tena, naomba niwaarifu CCM kwamba;

- Watanzania wanajua kwamba mabox ya kupigia kura yametengenezwa na CCM.

- Walinzi wa vituo vya kupigia kura wanalipwa na CCM.

- Mawakala wa vituo vya kupigia kura wa pande zote wanapewa posho lakini mtoaji mkuu wa posho hizo ni CCM, iwe kwa siri au uwazi wanalijua hilo.

- Magari yanayosafirisha kura kutoka vituoni kwenda sehemu husika niya CCM, madreva wanaoendesha magari yaliyo beba hizo box za kura wanalipwa na CCM.

- Tume ya uchaguzi inafadhiliwa na CCM, vyombo vya habari vinavyotangaza matokeo vipo chini ya Sheria za CCM.

- Mwapishaji wa mshindi wa uchaguzi analipwa na CCM

Je, mtegemee wananchi wenye akili timamu kujitokeza kwa wingi kupiga kura au muwa tegemee hawa wachache wasio timamu ndio wajitokeze kupiga kura na muwatumie hao hao kama msingi wa kwamba mnafuata misingi ya democracy mbele ya uso wa dunia?

Tukifanya hivyo ni sawa tutashinda lakini je, hili kundi ambalo halitaki kujiandikisha wala kuandamana wala kuzungumza mitandaoni tunaishi nalo vipi humu ndani kama Watanzania baada ya kuudanganya ulimwengu kwamba uchaguzi ulikuwa wa haki?

Je, tutaendelea kutekana mpaka lini kwa kujificha udhaifu unaorekebishika? Tutaendelea kusingiziana kesi mpaka lini?

Nafikiri kuna haja ya kuzirekebisha baadhi ya Sheria za Uchaguzi zilizopitwa na wakati na kuziandaa mpya zinazoendana na wakati.

Kuna kipindi raia walichagua kati ya picha ya kimvuli na picha ya mtu kwenye uchaguzi na waliamini wanafanya uchaguzi😀😀 r.i.p Mwalimu Nyerere!

Lakini kwa sasa mkumbuke kwamba zamani siyo sasa, badilikeni kabla mambo hayajabadilika kabisa!

Pia soma: Kuelekea 2025 - LGE2024 - CCM itatoka Madarakani pale tu itakapochokwa na wananchi lakini siyo kwa kuzidiwa Mbinu za Siasa na Vyama vya Upinzani!
Ccm ni majambazi.
Bila kuyadhibiti yataendeleza wizi wa kutumia silaha hadi mwisho
 
Kama kuna kitu ccm walichemka ni kumuachia Magufuli anajishi chaguzi za nchi hii kwa kiwango kile. Tulikuwa tunajua kura zinaibiwa, lakini alichofanya Magufuli kunajisi uchaguzi waziwazi vile, kiliondoa imani yote ndogo iliyokuwa imebakia kwenye chaguzi zetu.

Kibaya zaidi tumetaka mazingira ya uchaguzi yabadilike, lakini ccm wamendelea kung'ang'ania mazingira yale yale yanayowawezesha kuchezea chaguzi zetu. Kinachoendelea huko kwenye vituo vya kujiandikisha ni majibu kuwa watu sio wajinga tena.
 
Walio kuwa wanaibeba ccm zamani niwatu wa vijijini na wazee lakini sasa hivi mpaka wazee wameshtukia mchezo

Wanasema ccm ya siku hizi si ya zamani ccm ya siku hizi Ni ya wahuni,mafisadi,majambazi,wauwaji,na vibaka

Cha ajabu CCM wanatumia nguvu nyingi kuziba midomo ya watu Kama hao badara ya kukaa Kama chama na kulekebisha pale wanapo kosea
Hakuna marefu yasiyo na ncha, ipo siku ccm itatoka madarakani either directly on indirectly Ila ipo siku itatoka tu. Hizo ni Sheria za asili na inavyoonekana imeshachoka na iko kwenye declining phase
 
Kama kuna kitu ccm walichemka ni kumuachia Magufuli anajishi chaguzi za nchi hii kwa kiwango kile. Tulikuwa tunajua kura zinaibiwa, lakini alichofanya Magufuli kunajisi uchaguzi waziwazi vile, kiliondoa imani yote ndogo iliyokuwa imebakia kwenye chaguzi zetu.

Kibaya zaidi tumetaka mazingira ya uchaguzi yabadilike, lakini ccm wamendelea kung'ang'ania mazingira yale yale yanayowawezesha kuchezea chaguzi zetu. Kinachoendelea huko kwenye vituo vya kujiandikisha ni majibu kuwa watu sio wajinga tena.
Kwenda maporini kuchimba dawa bila kutumwa na serikali
 
Wengi wanaona kupiga kura ni sawa na kupoteza muda wakati mshindi ameshajulikana

kuwepo na tumehuru ya ukweli ya uchaguzi, wagombea binafsi na upigaji wa kura uwe ni lazma kisheria, hapo hata mimi utanishawishi kwenda kupiga kura

natarajia wapiga kura wachache watakajitokeza ktk uchaguzi wa 2024 na ule wa mwakani
 
Wengi wanaona kupiga kura ni sawa na kupoteza muda wakati mshindi ameshajulikana

kuwepo na tumehuru ya ukweli ya uchaguzi, wagombea binafsi na upigaji wa kura uwe ni lazma kisheria, hapo hata mimi utanishawishi kwenda kupiga kura

natarajia wapiga kura wachache watakajitokeza ktk uchaguzi wa 2024 na ule wa mwakani
Kadiri watakavtokuwa wachache uchaguzi huu wa sasa, huo mkuu wa mwakani watakuwa wachache zaidi.
 
Wengi wanaona kupiga kura ni sawa na kupoteza muda wakati mshindi ameshajulikana

kuwepo na tumehuru ya ukweli ya uchaguzi, wagombea binafsi na upigaji wa kura uwe ni lazma kisheria, hapo hata mimi utanishawishi kwenda kupiga kura

natarajia wapiga kura wachache watakajitokeza ktk uchaguzi wa 2024 na ule wa mwakani
 
Back
Top Bottom