Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
- Thread starter
- #21
Wakati mwingine unaweza kuwaita mashetani wadogo mkuu jamaa Wana roho mba ya baraa mkuuCCM ni wakala wa shetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati mwingine unaweza kuwaita mashetani wadogo mkuu jamaa Wana roho mba ya baraa mkuuCCM ni wakala wa shetani
Wao wanasema hatuwezi kuwa achia inchi kwa makaratasi"/kura mkuuTujiandikishe tukapige kura na kuzilinda tuiondoe CCM na wizi wote serikalini
Ukiskia wamepigwa wame potezwa hao niwale wanaoingia kichwa kichwa wazima wazima pasipo kujua Nini lipo nyuma ya paziaHuo usahihi unaangaliwa kwenye kitu gani? Wapigwe, wanyimwe haki zao za kisiasa, waminywe, na wengine kupotezwa, bado utegemee kuona usahihi upi? Hii nchi kiuhalisia upinzani haurusiwi, yaliyopo ni geresha tuu.
Mwaka huu raia hata kofia za ccm hawazitakiUkiangalia mwitikio wa watanzania kujiandikisha." Inachekesha sana.
Utaona wazi kwamba hata wajinga wameanza kujua kinacho endelea baada ya uchaguzi/uizi wa kura.
Ukimya wa Watanzania kutojihusisha na maandamano hautoi tafsiri kwamba watanzania niwajinga au hawana la kufanya hapana.
Badala yake ukimya wao unatoa tafsiri kwamba watanzania wa sasa wamekuwa kifikra, walio wengi wame elimika.
Kiasi kwamba sikuhizi Watanzania Wana weza kujua na kugundua kwamba maandamano haya ya CHADEMA haya toshi kuwafanya wapate hakizao wanazo zipigania.
Ambazo ni haki za uhuru wa kuzungumza, uhuru wa kuhoji, uhuru wa kuchagua, na uhuru wa kwenda popote kujitaftia kama raia wengine wa inchi nyingine waishivyo nakadharika.
Na baadhi wanajua kwamba maandamano Kama hayo yapo kwa ajili ya kuwa pima upepo watanzania/ kumjua yupi adui yupi si adui mbele ya CCM.
Na baadhi ya Watanzania wamefika mbali mpaka viongozi wa vyama vya upinzani wanawaona Kama ni CCM waliovaa ngozi ya upinzani nakazi yao kubwa ni kuwapoteza maboya Watanzania ili waendelee kuamini kwamba kuna upinzani.
Kisha wagawanyike kundi hili na lile/upinzani na tawala ili iwe rahisi kutawalika na ccm kwa mda usio na Kikomo.
Nimepita mitaani pia nimeona jinsi baadhi ya vijana wanavyo anza kuushtukia mchezo wa Usimba na Uyanga jinsi unavyo wafanya kuwa wapuuzi.
Imani yangu nikwamba hapo mbeleni litakuwa haliwezekani tena, naomba niwaarifu CCM kwamba;
- Watanzania wanajua kwamba mabox ya kupigia kura yametengenezwa na CCM.
- Walinzi wa vituo vya kupigia kura wanalipwa na CCM.
- Mawakala wa vituo vya kupigia kura wa pande zote wanapewa posho lakini mtoaji mkuu wa posho hizo ni CCM, iwe kwa siri au uwazi wanalijua hilo.
- Magari yanayosafirisha kura kutoka vituoni kwenda sehemu husika niya CCM, madreva wanaoendesha magari yaliyo beba hizo box za kura wanalipwa na CCM.
- Tume ya uchaguzi inafadhiliwa na CCM, vyombo vya habari vinavyotangaza matokeo vipo chini ya Sheria za CCM.
- Mwapishaji wa mshindi wa uchaguzi analipwa na CCM
Je, mtegemee wananchi wenye akili timamu kujitokeza kwa wingi kupiga kura au muwa tegemee hawa wachache wasio timamu ndio wajitokeze kupiga kura na muwatumie hao hao kama msingi wa kwamba mnafuata misingi ya democracy mbele ya uso wa dunia?
Tukifanya hivyo ni sawa tutashinda lakini je, hili kundi ambalo halitaki kujiandikisha wala kuandamana wala kuzungumza mitandaoni tunaishi nalo vipi humu ndani kama Watanzania baada ya kuudanganya ulimwengu kwamba uchaguzi ulikuwa wa haki?
Je, tutaendelea kutekana mpaka lini kwa kujificha udhaifu unaorekebishika? Tutaendelea kusingiziana kesi mpaka lini?
Nafikiri kuna haja ya kuzirekebisha baadhi ya Sheria za Uchaguzi zilizopitwa na wakati na kuziandaa mpya zinazoendana na wakati.
Kuna kipindi raia walichagua kati ya picha ya kimvuli na picha ya mtu kwenye uchaguzi na waliamini wanafanya uchaguzi😀😀 r.i.p Mwalimu Nyerere!
Lakini kwa sasa mkumbuke kwamba zamani siyo sasa, badilikeni kabla mambo hayajabadilika kabisa!
Pia soma: Kuelekea 2025 - LGE2024 - CCM itatoka Madarakani pale tu itakapochokwa na wananchi lakini siyo kwa kuzidiwa Mbinu za Siasa na Vyama vya Upinzani!
Ccm dont care about thatKadiri watakavtokuwa wachache uchaguzi huu wa sasa, huo mkuu wa mwakani watakuwa wachache zaidi.
4R za mchongoWengi wanaona kupiga kura ni sawa na kupoteza muda wakati mshindi ameshajulikana
kuwepo na tumehuru ya ukweli ya uchaguzi, wagombea binafsi na upigaji wa kura uwe ni lazma kisheria, hapo hata mimi utanishawishi kwenda kupiga kura
natarajia wapiga kura wachache watakajitokeza ktk uchaguzi wa 2024 na ule wa mwakani
Sure they don'tCcm dont care about that
Ni sawa tu, ujumbe kuwa hatuwataki utakuwa umefika. Na hao wapiga kura wachache ndio itakuwa wanaoikubali ccm, ila huwa wanapora za wapinzani.Ccm dont care about that
Ukiwa humu unaweza hisi nje huko mambo yameganda hayaenda, lakini si kweli watu wanajitokeza sana tu kwenye haki yao ya kimsingi na kikatiba.Ukiangalia mwitikio wa watanzania kujiandikisha." Inachekesha sana.
Utaona wazi kwamba hata wajinga wameanza kujua kinacho endelea baada ya uchaguzi/uizi wa kura.
Ukimya wa Watanzania kutojihusisha na maandamano hautoi tafsiri kwamba watanzania niwajinga au hawana la kufanya hapana.
Badala yake ukimya wao unatoa tafsiri kwamba watanzania wa sasa wamekuwa kifikra, walio wengi wame elimika.
Kiasi kwamba sikuhizi Watanzania Wana weza kujua na kugundua kwamba maandamano haya ya CHADEMA haya toshi kuwafanya wapate hakizao wanazo zipigania.
Ambazo ni haki za uhuru wa kuzungumza, uhuru wa kuhoji, uhuru wa kuchagua, na uhuru wa kwenda popote kujitaftia kama raia wengine wa inchi nyingine waishivyo nakadharika.
Na baadhi wanajua kwamba maandamano Kama hayo yapo kwa ajili ya kuwa pima upepo watanzania/ kumjua yupi adui yupi si adui mbele ya CCM.
Na baadhi ya Watanzania wamefika mbali mpaka viongozi wa vyama vya upinzani wanawaona Kama ni CCM waliovaa ngozi ya upinzani nakazi yao kubwa ni kuwapoteza maboya Watanzania ili waendelee kuamini kwamba kuna upinzani.
Kisha wagawanyike kundi hili na lile/upinzani na tawala ili iwe rahisi kutawalika na ccm kwa mda usio na Kikomo.
Nimepita mitaani pia nimeona jinsi baadhi ya vijana wanavyo anza kuushtukia mchezo wa Usimba na Uyanga jinsi unavyo wafanya kuwa wapuuzi.
Imani yangu nikwamba hapo mbeleni litakuwa haliwezekani tena, naomba niwaarifu CCM kwamba;
- Watanzania wanajua kwamba mabox ya kupigia kura yametengenezwa na CCM.
- Walinzi wa vituo vya kupigia kura wanalipwa na CCM.
- Mawakala wa vituo vya kupigia kura wa pande zote wanapewa posho lakini mtoaji mkuu wa posho hizo ni CCM, iwe kwa siri au uwazi wanalijua hilo.
- Magari yanayosafirisha kura kutoka vituoni kwenda sehemu husika niya CCM, madreva wanaoendesha magari yaliyo beba hizo box za kura wanalipwa na CCM.
- Tume ya uchaguzi inafadhiliwa na CCM, vyombo vya habari vinavyotangaza matokeo vipo chini ya Sheria za CCM.
- Mwapishaji wa mshindi wa uchaguzi analipwa na CCM
Je, mtegemee wananchi wenye akili timamu kujitokeza kwa wingi kupiga kura au muwa tegemee hawa wachache wasio timamu ndio wajitokeze kupiga kura na muwatumie hao hao kama msingi wa kwamba mnafuata misingi ya democracy mbele ya uso wa dunia?
Tukifanya hivyo ni sawa tutashinda lakini je, hili kundi ambalo halitaki kujiandikisha wala kuandamana wala kuzungumza mitandaoni tunaishi nalo vipi humu ndani kama Watanzania baada ya kuudanganya ulimwengu kwamba uchaguzi ulikuwa wa haki?
Je, tutaendelea kutekana mpaka lini kwa kujificha udhaifu unaorekebishika? Tutaendelea kusingiziana kesi mpaka lini?
Nafikiri kuna haja ya kuzirekebisha baadhi ya Sheria za Uchaguzi zilizopitwa na wakati na kuziandaa mpya zinazoendana na wakati.
Kuna kipindi raia walichagua kati ya picha ya kimvuli na picha ya mtu kwenye uchaguzi na waliamini wanafanya uchaguzi😀😀 r.i.p Mwalimu Nyerere!
Lakini kwa sasa mkumbuke kwamba zamani siyo sasa, badilikeni kabla mambo hayajabadilika kabisa!
Pia soma: Kuelekea 2025 - LGE2024 - CCM itatoka Madarakani pale tu itakapochokwa na wananchi lakini siyo kwa kuzidiwa Mbinu za Siasa na Vyama vya Upinzani!
Tupo humu ndani tupo na nje mkuu siku hizi si Kama miaka ya nyuma miaka ya foreniUkiwa humu unaweza hisi nje huko mambo yameganda hayaenda, lakini si kweli watu wanajitokeza sana tu kwenye haki yao ya kimsingi na kikatiba.
Hakuna kitu kama hicho, wananchi wakihamasika inawezekana kabisaWao wanasema hatuwezi kuwa achia inchi kwa makaratasi"/kura mkuu
Lazima tupambane naoWakati mwingine unaweza kuwaita mashetani wadogo mkuu jamaa Wana roho mba ya baraa mkuu
Mkuu Kuna point flani hapa umepiga penyewe, kiufupi mi naweza kuiweka hvUkiskia wamepigwa wame potezwa hao niwale wanaoingia kichwa kichwa wazima wazima pasipo kujua Nini lipo nyuma ya pazia
Kuna mtu Alisha wai kusema kwamba one of the top of chadema he is the killer of wapinzani wakweli/wazalendo wanao ingia chadema kwa lengo la kupigania haki za kweli za watanzania
Na usahihi ninao uzungumzia mkuu Ni kuwa na viongozi wapinzani kweli wa ccm/chama pinzani sahihi/Cha kweli
Labda niseme chama kisicho itegemea ccm kifedha kuendesha majukumu na harakati zake za ukombozi
Chama ambacho mwasisi wake/ mwenyekiti wake Hana roots za ccm Kama ilivyo kwa kina Mbowe kuwai kulelewa na akina nyelele/ccm
Kuna wakati wata lazimika kuwa enzi walezi wao kwa kuwa uza Baadhi ya wapinzani wa kweli walio chini ya vyama vyao
Fikilia pia kuhusu ule uchaguzi ambao slaa alifanya vizuri lakini ghafra aka pachikwa nywele nyeupe
Sasa yote haya Yana tokana na vibaraka wa CCM waliomo ndani ya chadema mkuu
Nafikiri UTAKUWA umenielewa lakini Kama Kuna sehemu ntakuwa sipo sahihi una weza kuni weka sawa mkuu
Wanapo nichekesha ccm huwa nikwamba wanajua kwamba sasa hivi Hawa takiwiNi sawa tu, ujumbe kuwa hatuwataki utakuwa umefika. Na hao wapiga kura wachache ndio itakuwa wanaoikubali ccm, ila huwa wanapora za wapinzani.
Ewaa mkuu Yani kamatundu akichukua nafasi ya Mbowe hiviMkuu Kuna point flani hapa umepiga penyewe, kiufupi mi naweza kuiweka hv
"Kwa siasa za ccm zinavyoenda, tunahitaji mpinzani ambaye ni mwanaharakati kweli kweli, gangastar haswa asiyecheka na ccm... Tunahitaji myu design flan hana urafiki na ccm mfano wa Tundu Lissu na ccm awachane kweupe km anavyofanya Boniface Mwabukusi"...... Sasa mtu km Mbowe Kila siku ni kucheka Cheka na akina Samia... Mbowe is too much democratic na ni hypocrite mbawa.. Mbowe ni mwoga pia.
Hao marafiki ni wapiga kura?Kusema ukweli mimi Nina marafiki zangu kama wanne hivi
Nimeshangaa kuona wote hawaipendi sisiemu hata kidogo
Maana nilijua ni mimi tu
Japokuwa hatujihusishi na siasa Ila ccm Ina kazi aisee
ccm inapendwa sana aiseee dah,Ukiangalia mwitikio wa watanzania kujiandikisha." Inachekesha sana.
Utaona wazi kwamba hata wajinga wameanza kujua kinacho endelea baada ya uchaguzi/uizi wa kura.
Ukimya wa Watanzania kutojihusisha na maandamano hautoi tafsiri kwamba watanzania niwajinga au hawana la kufanya hapana.
Badala yake ukimya wao unatoa tafsiri kwamba watanzania wa sasa wamekuwa kifikra, walio wengi wame elimika.
Kiasi kwamba sikuhizi Watanzania Wana weza kujua na kugundua kwamba maandamano haya ya CHADEMA haya toshi kuwafanya wapate hakizao wanazo zipigania.
Ambazo ni haki za uhuru wa kuzungumza, uhuru wa kuhoji, uhuru wa kuchagua, na uhuru wa kwenda popote kujitaftia kama raia wengine wa inchi nyingine waishivyo nakadharika.
Na baadhi wanajua kwamba maandamano Kama hayo yapo kwa ajili ya kuwa pima upepo watanzania/ kumjua yupi adui yupi si adui mbele ya CCM.
Na baadhi ya Watanzania wamefika mbali mpaka viongozi wa vyama vya upinzani wanawaona Kama ni CCM waliovaa ngozi ya upinzani nakazi yao kubwa ni kuwapoteza maboya Watanzania ili waendelee kuamini kwamba kuna upinzani.
Kisha wagawanyike kundi hili na lile/upinzani na tawala ili iwe rahisi kutawalika na ccm kwa mda usio na Kikomo.
Nimepita mitaani pia nimeona jinsi baadhi ya vijana wanavyo anza kuushtukia mchezo wa Usimba na Uyanga jinsi unavyo wafanya kuwa wapuuzi.
Imani yangu nikwamba hapo mbeleni litakuwa haliwezekani tena, naomba niwaarifu CCM kwamba;
- Watanzania wanajua kwamba mabox ya kupigia kura yametengenezwa na CCM.
- Walinzi wa vituo vya kupigia kura wanalipwa na CCM.
- Mawakala wa vituo vya kupigia kura wa pande zote wanapewa posho lakini mtoaji mkuu wa posho hizo ni CCM, iwe kwa siri au uwazi wanalijua hilo.
- Magari yanayosafirisha kura kutoka vituoni kwenda sehemu husika niya CCM, madreva wanaoendesha magari yaliyo beba hizo box za kura wanalipwa na CCM.
- Tume ya uchaguzi inafadhiliwa na CCM, vyombo vya habari vinavyotangaza matokeo vipo chini ya Sheria za CCM.
- Mwapishaji wa mshindi wa uchaguzi analipwa na CCM
Je, mtegemee wananchi wenye akili timamu kujitokeza kwa wingi kupiga kura au muwa tegemee hawa wachache wasio timamu ndio wajitokeze kupiga kura na muwatumie hao hao kama msingi wa kwamba mnafuata misingi ya democracy mbele ya uso wa dunia?
Tukifanya hivyo ni sawa tutashinda lakini je, hili kundi ambalo halitaki kujiandikisha wala kuandamana wala kuzungumza mitandaoni tunaishi nalo vipi humu ndani kama Watanzania baada ya kuudanganya ulimwengu kwamba uchaguzi ulikuwa wa haki?
Je, tutaendelea kutekana mpaka lini kwa kujificha udhaifu unaorekebishika? Tutaendelea kusingiziana kesi mpaka lini?
Nafikiri kuna haja ya kuzirekebisha baadhi ya Sheria za Uchaguzi zilizopitwa na wakati na kuziandaa mpya zinazoendana na wakati.
Kuna kipindi raia walichagua kati ya picha ya kimvuli na picha ya mtu kwenye uchaguzi na waliamini wanafanya uchaguzi😀😀 r.i.p Mwalimu Nyerere!
Lakini kwa sasa mkumbuke kwamba zamani siyo sasa, badilikeni kabla mambo hayajabadilika kabisa!
Pia soma: Kuelekea 2025 - LGE2024 - CCM itatoka Madarakani pale tu itakapochokwa na wananchi lakini siyo kwa kuzidiwa Mbinu za Siasa na Vyama vya Upinzani!

Ndivyo ilivyo ukiona una semwa Sana kwenye mtaa wako huenda wewe Ni mtu mwema Sana au mpuuzi Sanaccm inapendwa sana aiseee dah,
ukitaka kuiponda lazima uitaje sana kwenye bandiko lako,
lakini pia ukitaka kuisifia lazima uitaje mno kwenye bandiko lako pia..
athari ya ccm kwenye saikolojia na demokrasia ya Tanzania ni kubwa mno kwakweli dah![]()
asie semwa anakua ni useless dah 🐒Ndivyo ilivyo ukiona una semwa Sana kwenye mtaa wako huenda wewe Ni mtu mwema Sana au mpuuzi Sana
Kwasasa hakuna chama pinzani sahihi Cha kuiondoa ccm madarakani mkuu kwahiyo hakuna jinsi