LGE2024 Kuelekea Uchaguzi Serikali za Mitaa: CCM, raia wamewachoka badilikeni kabla mambo hayajaharibika

LGE2024 Kuelekea Uchaguzi Serikali za Mitaa: CCM, raia wamewachoka badilikeni kabla mambo hayajaharibika

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Huo usahihi unaangaliwa kwenye kitu gani? Wapigwe, wanyimwe haki zao za kisiasa, waminywe, na wengine kupotezwa, bado utegemee kuona usahihi upi? Hii nchi kiuhalisia upinzani haurusiwi, yaliyopo ni geresha tuu.
Ukiskia wamepigwa wame potezwa hao niwale wanaoingia kichwa kichwa wazima wazima pasipo kujua Nini lipo nyuma ya pazia

Kuna mtu Alisha wai kusema kwamba one of the top of chadema he is the killer of wapinzani wakweli/wazalendo wanao ingia chadema kwa lengo la kupigania haki za kweli za watanzania

Na usahihi ninao uzungumzia mkuu Ni kuwa na viongozi wapinzani kweli wa ccm/chama pinzani sahihi/Cha kweli

Labda niseme chama kisicho itegemea ccm kifedha kuendesha majukumu na harakati zake za ukombozi

Chama ambacho mwasisi wake/ mwenyekiti wake Hana roots za ccm Kama ilivyo kwa kina Mbowe kuwai kulelewa na akina nyelele/ccm

Kuna wakati wata lazimika kuwa enzi walezi wao kwa kuwa uza Baadhi ya wapinzani wa kweli walio chini ya vyama vyao

Fikilia pia kuhusu ule uchaguzi ambao slaa alifanya vizuri lakini ghafra aka pachikwa nywele nyeupe

Sasa yote haya Yana tokana na vibaraka wa CCM waliomo ndani ya chadema mkuu

Nafikiri UTAKUWA umenielewa lakini Kama Kuna sehemu ntakuwa sipo sahihi una weza kuni weka sawa mkuu
 
Ukiangalia mwitikio wa watanzania kujiandikisha." Inachekesha sana.

Utaona wazi kwamba hata wajinga wameanza kujua kinacho endelea baada ya uchaguzi/uizi wa kura.

Ukimya wa Watanzania kutojihusisha na maandamano hautoi tafsiri kwamba watanzania niwajinga au hawana la kufanya hapana.

Badala yake ukimya wao unatoa tafsiri kwamba watanzania wa sasa wamekuwa kifikra, walio wengi wame elimika.

Kiasi kwamba sikuhizi Watanzania Wana weza kujua na kugundua kwamba maandamano haya ya CHADEMA haya toshi kuwafanya wapate hakizao wanazo zipigania.

Ambazo ni haki za uhuru wa kuzungumza, uhuru wa kuhoji, uhuru wa kuchagua, na uhuru wa kwenda popote kujitaftia kama raia wengine wa inchi nyingine waishivyo nakadharika.

Na baadhi wanajua kwamba maandamano Kama hayo yapo kwa ajili ya kuwa pima upepo watanzania/ kumjua yupi adui yupi si adui mbele ya CCM.

Na baadhi ya Watanzania wamefika mbali mpaka viongozi wa vyama vya upinzani wanawaona Kama ni CCM waliovaa ngozi ya upinzani nakazi yao kubwa ni kuwapoteza maboya Watanzania ili waendelee kuamini kwamba kuna upinzani.

Kisha wagawanyike kundi hili na lile/upinzani na tawala ili iwe rahisi kutawalika na ccm kwa mda usio na Kikomo.

Nimepita mitaani pia nimeona jinsi baadhi ya vijana wanavyo anza kuushtukia mchezo wa Usimba na Uyanga jinsi unavyo wafanya kuwa wapuuzi.

Imani yangu nikwamba hapo mbeleni litakuwa haliwezekani tena, naomba niwaarifu CCM kwamba;

- Watanzania wanajua kwamba mabox ya kupigia kura yametengenezwa na CCM.

- Walinzi wa vituo vya kupigia kura wanalipwa na CCM.

- Mawakala wa vituo vya kupigia kura wa pande zote wanapewa posho lakini mtoaji mkuu wa posho hizo ni CCM, iwe kwa siri au uwazi wanalijua hilo.

- Magari yanayosafirisha kura kutoka vituoni kwenda sehemu husika niya CCM, madreva wanaoendesha magari yaliyo beba hizo box za kura wanalipwa na CCM.

- Tume ya uchaguzi inafadhiliwa na CCM, vyombo vya habari vinavyotangaza matokeo vipo chini ya Sheria za CCM.

- Mwapishaji wa mshindi wa uchaguzi analipwa na CCM

Je, mtegemee wananchi wenye akili timamu kujitokeza kwa wingi kupiga kura au muwa tegemee hawa wachache wasio timamu ndio wajitokeze kupiga kura na muwatumie hao hao kama msingi wa kwamba mnafuata misingi ya democracy mbele ya uso wa dunia?

Tukifanya hivyo ni sawa tutashinda lakini je, hili kundi ambalo halitaki kujiandikisha wala kuandamana wala kuzungumza mitandaoni tunaishi nalo vipi humu ndani kama Watanzania baada ya kuudanganya ulimwengu kwamba uchaguzi ulikuwa wa haki?

Je, tutaendelea kutekana mpaka lini kwa kujificha udhaifu unaorekebishika? Tutaendelea kusingiziana kesi mpaka lini?

Nafikiri kuna haja ya kuzirekebisha baadhi ya Sheria za Uchaguzi zilizopitwa na wakati na kuziandaa mpya zinazoendana na wakati.

Kuna kipindi raia walichagua kati ya picha ya kimvuli na picha ya mtu kwenye uchaguzi na waliamini wanafanya uchaguzi😀😀 r.i.p Mwalimu Nyerere!

Lakini kwa sasa mkumbuke kwamba zamani siyo sasa, badilikeni kabla mambo hayajabadilika kabisa!

Pia soma: Kuelekea 2025 - LGE2024 - CCM itatoka Madarakani pale tu itakapochokwa na wananchi lakini siyo kwa kuzidiwa Mbinu za Siasa na Vyama vya Upinzani!
Mwaka huu raia hata kofia za ccm hawazitaki
 
Wengi wanaona kupiga kura ni sawa na kupoteza muda wakati mshindi ameshajulikana

kuwepo na tumehuru ya ukweli ya uchaguzi, wagombea binafsi na upigaji wa kura uwe ni lazma kisheria, hapo hata mimi utanishawishi kwenda kupiga kura

natarajia wapiga kura wachache watakajitokeza ktk uchaguzi wa 2024 na ule wa mwakani
4R za mchongo
 
Ukiangalia mwitikio wa watanzania kujiandikisha." Inachekesha sana.

Utaona wazi kwamba hata wajinga wameanza kujua kinacho endelea baada ya uchaguzi/uizi wa kura.

Ukimya wa Watanzania kutojihusisha na maandamano hautoi tafsiri kwamba watanzania niwajinga au hawana la kufanya hapana.

Badala yake ukimya wao unatoa tafsiri kwamba watanzania wa sasa wamekuwa kifikra, walio wengi wame elimika.

Kiasi kwamba sikuhizi Watanzania Wana weza kujua na kugundua kwamba maandamano haya ya CHADEMA haya toshi kuwafanya wapate hakizao wanazo zipigania.

Ambazo ni haki za uhuru wa kuzungumza, uhuru wa kuhoji, uhuru wa kuchagua, na uhuru wa kwenda popote kujitaftia kama raia wengine wa inchi nyingine waishivyo nakadharika.

Na baadhi wanajua kwamba maandamano Kama hayo yapo kwa ajili ya kuwa pima upepo watanzania/ kumjua yupi adui yupi si adui mbele ya CCM.

Na baadhi ya Watanzania wamefika mbali mpaka viongozi wa vyama vya upinzani wanawaona Kama ni CCM waliovaa ngozi ya upinzani nakazi yao kubwa ni kuwapoteza maboya Watanzania ili waendelee kuamini kwamba kuna upinzani.

Kisha wagawanyike kundi hili na lile/upinzani na tawala ili iwe rahisi kutawalika na ccm kwa mda usio na Kikomo.

Nimepita mitaani pia nimeona jinsi baadhi ya vijana wanavyo anza kuushtukia mchezo wa Usimba na Uyanga jinsi unavyo wafanya kuwa wapuuzi.

Imani yangu nikwamba hapo mbeleni litakuwa haliwezekani tena, naomba niwaarifu CCM kwamba;

- Watanzania wanajua kwamba mabox ya kupigia kura yametengenezwa na CCM.

- Walinzi wa vituo vya kupigia kura wanalipwa na CCM.

- Mawakala wa vituo vya kupigia kura wa pande zote wanapewa posho lakini mtoaji mkuu wa posho hizo ni CCM, iwe kwa siri au uwazi wanalijua hilo.

- Magari yanayosafirisha kura kutoka vituoni kwenda sehemu husika niya CCM, madreva wanaoendesha magari yaliyo beba hizo box za kura wanalipwa na CCM.

- Tume ya uchaguzi inafadhiliwa na CCM, vyombo vya habari vinavyotangaza matokeo vipo chini ya Sheria za CCM.

- Mwapishaji wa mshindi wa uchaguzi analipwa na CCM

Je, mtegemee wananchi wenye akili timamu kujitokeza kwa wingi kupiga kura au muwa tegemee hawa wachache wasio timamu ndio wajitokeze kupiga kura na muwatumie hao hao kama msingi wa kwamba mnafuata misingi ya democracy mbele ya uso wa dunia?

Tukifanya hivyo ni sawa tutashinda lakini je, hili kundi ambalo halitaki kujiandikisha wala kuandamana wala kuzungumza mitandaoni tunaishi nalo vipi humu ndani kama Watanzania baada ya kuudanganya ulimwengu kwamba uchaguzi ulikuwa wa haki?

Je, tutaendelea kutekana mpaka lini kwa kujificha udhaifu unaorekebishika? Tutaendelea kusingiziana kesi mpaka lini?

Nafikiri kuna haja ya kuzirekebisha baadhi ya Sheria za Uchaguzi zilizopitwa na wakati na kuziandaa mpya zinazoendana na wakati.

Kuna kipindi raia walichagua kati ya picha ya kimvuli na picha ya mtu kwenye uchaguzi na waliamini wanafanya uchaguzi😀😀 r.i.p Mwalimu Nyerere!

Lakini kwa sasa mkumbuke kwamba zamani siyo sasa, badilikeni kabla mambo hayajabadilika kabisa!

Pia soma: Kuelekea 2025 - LGE2024 - CCM itatoka Madarakani pale tu itakapochokwa na wananchi lakini siyo kwa kuzidiwa Mbinu za Siasa na Vyama vya Upinzani!
Ukiwa humu unaweza hisi nje huko mambo yameganda hayaenda, lakini si kweli watu wanajitokeza sana tu kwenye haki yao ya kimsingi na kikatiba.
 
Ukiwa humu unaweza hisi nje huko mambo yameganda hayaenda, lakini si kweli watu wanajitokeza sana tu kwenye haki yao ya kimsingi na kikatiba.
Tupo humu ndani tupo na nje mkuu siku hizi si Kama miaka ya nyuma miaka ya foreni
 
Ukiskia wamepigwa wame potezwa hao niwale wanaoingia kichwa kichwa wazima wazima pasipo kujua Nini lipo nyuma ya pazia

Kuna mtu Alisha wai kusema kwamba one of the top of chadema he is the killer of wapinzani wakweli/wazalendo wanao ingia chadema kwa lengo la kupigania haki za kweli za watanzania

Na usahihi ninao uzungumzia mkuu Ni kuwa na viongozi wapinzani kweli wa ccm/chama pinzani sahihi/Cha kweli

Labda niseme chama kisicho itegemea ccm kifedha kuendesha majukumu na harakati zake za ukombozi

Chama ambacho mwasisi wake/ mwenyekiti wake Hana roots za ccm Kama ilivyo kwa kina Mbowe kuwai kulelewa na akina nyelele/ccm

Kuna wakati wata lazimika kuwa enzi walezi wao kwa kuwa uza Baadhi ya wapinzani wa kweli walio chini ya vyama vyao

Fikilia pia kuhusu ule uchaguzi ambao slaa alifanya vizuri lakini ghafra aka pachikwa nywele nyeupe

Sasa yote haya Yana tokana na vibaraka wa CCM waliomo ndani ya chadema mkuu

Nafikiri UTAKUWA umenielewa lakini Kama Kuna sehemu ntakuwa sipo sahihi una weza kuni weka sawa mkuu
Mkuu Kuna point flani hapa umepiga penyewe, kiufupi mi naweza kuiweka hv
"Kwa siasa za ccm zinavyoenda, tunahitaji mpinzani ambaye ni mwanaharakati kweli kweli, gangastar haswa asiyecheka na ccm... Tunahitaji myu design flan hana urafiki na ccm mfano wa Tundu Lissu na ccm awachane kweupe km anavyofanya Boniface Mwabukusi"...... Sasa mtu km Mbowe Kila siku ni kucheka Cheka na akina Samia... Mbowe is too much democratic na ni hypocrite mbawa.. Mbowe ni mwoga pia.
 
Ni sawa tu, ujumbe kuwa hatuwataki utakuwa umefika. Na hao wapiga kura wachache ndio itakuwa wanaoikubali ccm, ila huwa wanapora za wapinzani.
Wanapo nichekesha ccm huwa nikwamba wanajua kwamba sasa hivi Hawa takiwi

Lakini hawana mda wa kujiuliza kwanini hawatakiwi ila wanamda kuwa zuia watu wasiikatae ccm
 
Mkuu Kuna point flani hapa umepiga penyewe, kiufupi mi naweza kuiweka hv
"Kwa siasa za ccm zinavyoenda, tunahitaji mpinzani ambaye ni mwanaharakati kweli kweli, gangastar haswa asiyecheka na ccm... Tunahitaji myu design flan hana urafiki na ccm mfano wa Tundu Lissu na ccm awachane kweupe km anavyofanya Boniface Mwabukusi"...... Sasa mtu km Mbowe Kila siku ni kucheka Cheka na akina Samia... Mbowe is too much democratic na ni hypocrite mbawa.. Mbowe ni mwoga pia.
Ewaa mkuu Yani kamatundu akichukua nafasi ya Mbowe hivi

Makamu mwenyekiti awe mwabukusi

Yani watu ambao wapo nje ya system hii fake
 
Kusema ukweli mimi Nina marafiki zangu kama wanne hivi
Nimeshangaa kuona wote hawaipendi sisiemu hata kidogo
Maana nilijua ni mimi tu
Japokuwa hatujihusishi na siasa Ila ccm Ina kazi aisee
Hao marafiki ni wapiga kura?
 
Ukiangalia mwitikio wa watanzania kujiandikisha." Inachekesha sana.

Utaona wazi kwamba hata wajinga wameanza kujua kinacho endelea baada ya uchaguzi/uizi wa kura.

Ukimya wa Watanzania kutojihusisha na maandamano hautoi tafsiri kwamba watanzania niwajinga au hawana la kufanya hapana.

Badala yake ukimya wao unatoa tafsiri kwamba watanzania wa sasa wamekuwa kifikra, walio wengi wame elimika.

Kiasi kwamba sikuhizi Watanzania Wana weza kujua na kugundua kwamba maandamano haya ya CHADEMA haya toshi kuwafanya wapate hakizao wanazo zipigania.

Ambazo ni haki za uhuru wa kuzungumza, uhuru wa kuhoji, uhuru wa kuchagua, na uhuru wa kwenda popote kujitaftia kama raia wengine wa inchi nyingine waishivyo nakadharika.

Na baadhi wanajua kwamba maandamano Kama hayo yapo kwa ajili ya kuwa pima upepo watanzania/ kumjua yupi adui yupi si adui mbele ya CCM.

Na baadhi ya Watanzania wamefika mbali mpaka viongozi wa vyama vya upinzani wanawaona Kama ni CCM waliovaa ngozi ya upinzani nakazi yao kubwa ni kuwapoteza maboya Watanzania ili waendelee kuamini kwamba kuna upinzani.

Kisha wagawanyike kundi hili na lile/upinzani na tawala ili iwe rahisi kutawalika na ccm kwa mda usio na Kikomo.

Nimepita mitaani pia nimeona jinsi baadhi ya vijana wanavyo anza kuushtukia mchezo wa Usimba na Uyanga jinsi unavyo wafanya kuwa wapuuzi.

Imani yangu nikwamba hapo mbeleni litakuwa haliwezekani tena, naomba niwaarifu CCM kwamba;

- Watanzania wanajua kwamba mabox ya kupigia kura yametengenezwa na CCM.

- Walinzi wa vituo vya kupigia kura wanalipwa na CCM.

- Mawakala wa vituo vya kupigia kura wa pande zote wanapewa posho lakini mtoaji mkuu wa posho hizo ni CCM, iwe kwa siri au uwazi wanalijua hilo.

- Magari yanayosafirisha kura kutoka vituoni kwenda sehemu husika niya CCM, madreva wanaoendesha magari yaliyo beba hizo box za kura wanalipwa na CCM.

- Tume ya uchaguzi inafadhiliwa na CCM, vyombo vya habari vinavyotangaza matokeo vipo chini ya Sheria za CCM.

- Mwapishaji wa mshindi wa uchaguzi analipwa na CCM

Je, mtegemee wananchi wenye akili timamu kujitokeza kwa wingi kupiga kura au muwa tegemee hawa wachache wasio timamu ndio wajitokeze kupiga kura na muwatumie hao hao kama msingi wa kwamba mnafuata misingi ya democracy mbele ya uso wa dunia?

Tukifanya hivyo ni sawa tutashinda lakini je, hili kundi ambalo halitaki kujiandikisha wala kuandamana wala kuzungumza mitandaoni tunaishi nalo vipi humu ndani kama Watanzania baada ya kuudanganya ulimwengu kwamba uchaguzi ulikuwa wa haki?

Je, tutaendelea kutekana mpaka lini kwa kujificha udhaifu unaorekebishika? Tutaendelea kusingiziana kesi mpaka lini?

Nafikiri kuna haja ya kuzirekebisha baadhi ya Sheria za Uchaguzi zilizopitwa na wakati na kuziandaa mpya zinazoendana na wakati.

Kuna kipindi raia walichagua kati ya picha ya kimvuli na picha ya mtu kwenye uchaguzi na waliamini wanafanya uchaguzi😀😀 r.i.p Mwalimu Nyerere!

Lakini kwa sasa mkumbuke kwamba zamani siyo sasa, badilikeni kabla mambo hayajabadilika kabisa!

Pia soma: Kuelekea 2025 - LGE2024 - CCM itatoka Madarakani pale tu itakapochokwa na wananchi lakini siyo kwa kuzidiwa Mbinu za Siasa na Vyama vya Upinzani!
ccm inapendwa sana aiseee dah,

ukitaka kuiponda lazima uitaje sana kwenye bandiko lako,

lakini pia ukitaka kuisifia lazima uitaje mno kwenye bandiko lako pia..

athari ya ccm kwenye saikolojia na demokrasia ya Tanzania ni kubwa mno kwakweli dah:pulpTRAVOLTA:
 
ccm inapendwa sana aiseee dah,

ukitaka kuiponda lazima uitaje sana kwenye bandiko lako,

lakini pia ukitaka kuisifia lazima uitaje mno kwenye bandiko lako pia..

athari ya ccm kwenye saikolojia na demokrasia ya Tanzania ni kubwa mno kwakweli dah:pulpTRAVOLTA:
Ndivyo ilivyo ukiona una semwa Sana kwenye mtaa wako huenda wewe Ni mtu mwema Sana au mpuuzi Sana
 
Kwasasa hakuna chama pinzani sahihi Cha kuiondoa ccm madarakani mkuu kwahiyo hakuna jinsi

..chama kinapewa nguvu na wananchi, wapigakura.

..hakuna chama mbadala wa vyama vya upinzani vilivyoandikishwa mpaka sasa hivi.

..tayari tuna vyama vya upinzani 18 vilivyoko kwenye daftari la Msajili.

..Kuunda chama kipya, cha kumi na tisa, na kuanza upya, ni kujirudisha nyuma.

..maamuzi ni yetu wananchi kuteua kimojawapo kati vya vyama vya upinzani tukipigie kura ili kuiondoa Ccm.
 
Back
Top Bottom