Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Wydad 1-2 SimbaHebu tuweke unafiki pembeni, hii game Simba atachapika goli za kutosha si chini ya goli 6+
Wanasimba wote popote walipo wanatetemeka sana maana kila wakiangalia rekodi ya Wydad nyumbani kwao pale Stade Mohamed V inawatisha vibaya
Weka utabiri wako hapa ili tuwasaidie ndugu zetu wale wakubeti wale pesa siku iyo.
Mimi Naanza na utabiri huu hapa chini
(1) Wydad 5-0 simba
(2) Wydad 7-1 simba
(3) Wydad 9-1 simbaView attachment 2599574
Sio utabilii ni utabiri mkuu
Kumradhi
Mimi naamini nafasi ipo japo ni finyu.Labda ku peter siyo kupita simba hawa wameshaumaliza mwendo
NBAWhydad 40 Simba 0
Mimi ni Yanga kindaki ndaki lakini mpira unamatokeo mabaya sana na ya kushangaza ambayo yanaweza kukupata anytym ukabaki unashangaa!! Hata Yanga alivocheza na club african hakuna alieqmini kama angefuzu... hata juzi na liver united hakuna alieamiñi Yanga angedominate mpira na kushinda... kwahio hata Simba wakijipanga vzuri wanaweza shangaza wengi humu
Uko sahihi, timu imebadilika sana sin mashaka na uchezaji waoKama mpaka half time mnyama hajafa basi kwa leo hatakufa.
Kocha wao mzuri ameibadilisha sana timu kiuchezaji, wanaoiponda wanaoiponda kuishabiki tu kutokana midomo yao Makolo isiyo na breki.
Nimekuja kukukumbusha utabiri wako wa 15 - 0 umefanikiwa?Wydad 15-0 simba[emoji23][emoji23][emoji23]
Nani alikaza mataka, wydad au simba?Mi naona Simba atakaza matako, ila ataishia kupigwa kati ya 4-0 au 5-0