Kuelekea Wydad vs Simba iyo ijumaa hebu tupia utabili wako

Kuelekea Wydad vs Simba iyo ijumaa hebu tupia utabili wako

Hebu tuweke unafiki pembeni, hii game Simba atachapika goli za kutosha si chini ya goli 6+
Wanasimba wote popote walipo wanatetemeka sana maana kila wakiangalia rekodi ya Wydad nyumbani kwao pale Stade Mohamed V inawatisha vibaya
Weka utabiri wako hapa ili tuwasaidie ndugu zetu wale wakubeti wale pesa siku iyo.
Mimi Naanza na utabiri huu hapa chini
(1) Wydad 5-0 simba
(2) Wydad 7-1 simba
(3) Wydad 9-1 simbaView attachment 2599574
Wydad 1-2 Simba
 
Hii game inaenda kuisha 1-1 ,Simba anapenya kirahis mno.
Sijui wale vyura mtaongea Nini.
Na mnyama akipita hapa Kwa wanaume wa shoka na bingwa mtetez wa club bingwa ivi mtakua na kipi Cha kujilinganisha na Simba
Najua ajenda yenu itabak kwenye ligi kuu km kichaka Cha kujifichia.
Mpira una mengi sana .
 
Kwa kikosi hiki waydad Ana kufa
1682682947807.jpg
 
Kama mpaka half time mnyama hajafa basi kwa leo hatakufa.
Kocha wao mzuri ameibadilisha sana timu kiuchezaji, wanaoiponda wanaoiponda kuishabiki tu kutokana midomo yao Makolo isiyo na breki.
 
Mimi ni Yanga kindaki ndaki lakini mpira unamatokeo mabaya sana na ya kushangaza ambayo yanaweza kukupata anytym ukabaki unashangaa!! Hata Yanga alivocheza na club african hakuna alieqmini kama angefuzu... hata juzi na liver united hakuna alieamiñi Yanga angedominate mpira na kushinda... kwahio hata Simba wakijipanga vzuri wanaweza shangaza wengi humu

Comment to recall
 
Kama mpaka half time mnyama hajafa basi kwa leo hatakufa.
Kocha wao mzuri ameibadilisha sana timu kiuchezaji, wanaoiponda wanaoiponda kuishabiki tu kutokana midomo yao Makolo isiyo na breki.
Uko sahihi, timu imebadilika sana sin mashaka na uchezaji wao
 
Back
Top Bottom