Kuendelea "kusinyaa" kwa CHADEMA nani alaumiwe?

Kuendelea "kusinyaa" kwa CHADEMA nani alaumiwe?

Watanzania wameshuhudia matamshi ya aliekuwa mtendaji mkuu wa chama wa zamani na msomi Dr Silaa akilalamika hadharani kuwa CHADEMA aliyotegemea ni tofauti na uhalisia kwa maana imepoteza mfano na uwepo wa UTOTO mwingi sana ndani ya CHAMA.
Je watanzania wenzangu chanzo halisi cha hiki chama ambacho kiliazima mgombea urais toka chama tawala mwaka 2015 na kutikisa kuonekana kuwa KINASINYAA kila UCHAO?
Jiwe na maccm ndio walaumiwe! Wakora wakubwa sana! Jiwe alileta Siasa za visasi na ukichaa!
 
Watanzania wameshuhudia matamshi ya aliekuwa mtendaji mkuu wa chama wa zamani na msomi Dr Silaa akilalamika hadharani kuwa CHADEMA aliyotegemea ni tofauti na uhalisia kwa maana imepoteza mfano na uwepo wa UTOTO mwingi sana ndani ya CHAMA.
Je watanzania wenzangu chanzo halisi cha hiki chama ambacho kiliazima mgombea urais toka chama tawala mwaka 2015 na kutikisa kuonekana kuwa KINASINYAA kila UCHAO?
Labda ni yule wa milele, sina uhakika though
 
Watanzania wameshuhudia matamshi ya aliekuwa mtendaji mkuu wa chama wa zamani na msomi Dr Silaa akilalamika hadharani kuwa CHADEMA aliyotegemea ni tofauti na uhalisia kwa maana imepoteza mfano na uwepo wa UTOTO mwingi sana ndani ya CHAMA.

Je, Watanzania wenzangu chanzo halisi cha hiki chama ambacho kiliazima mgombea urais toka chama tawala mwaka 2015 na kutikisa kuonekana kuwa KINASINYAA kila UCHAO?
Umeleta uzi mwenyewe na umeutawala mwenyewe. Hongera sana mkuu.
 
Kikisinyaa kuna shida? si ndio vingine vinapata nguvu, kama Chadema imesinyaa, CUF iko wapi? ACT ambao walionekana mbadala wako wapi? UDP wako wapi? NSSR-Mageuzi wako wapi? T.L.P wako wapi? mbona hao hawazungumziwi? kama wamekufa wako hai au wamedumaa?

Lakini wakisinyaa si ndio faida kwa CCM maana ndio ilikuwa mpango wao kuua upinzani sasa kama mpango unakamilika mbona maneno tena badala ya kujipongeza?

Kuhusu Dr. Slaa na yeyote akiyetoka Chadema usitegemee ataiongelea vizuri Chadema, huyo slaa enzi zake chadema kiliongoza kwa maadandmano ya kila namna amesahau alivyopasuliwa na polisi? ni sawa na mwanamke mliyeachana naye unategemea atakuongelea mazuri, maneno yake yatakuwa saizi amefubaa sana mimi ndio nilikuwa namsaidia, sKwaaizi amechoka yaani amefulia, au anatia huruma hayo ndio maneno mtalaka siku zote.

Kitila na zitto walitoka kwenda kuanzisha chama chao ACT vipi bado wako pamoja? na ni wasomi wa kutukuka
 
Ofisi za Kanda magari yote aliyonunua Mbowe yamekufa. Yalikuwa ya mitumba, na mengi yalikaribia kuwa write off
 
kiliazima
Kama imesinyaa CCM wakubali kura zipigwe wazi zihesabiwe wazi CCM wakipata hata 20% ya total votes nahama nchi naenda Afghanistan,CCM kilishakufa,lingine JPM aliharibu morali ya watu kupiga kura,kama CCM wanajua hawajasinyaa wanaogopa Nini tume huru ya uchaguzi na katiba mpya yenye Taasisi imara?CCM wakubali kura ziwe huru waone nani kasinyaaaa
 
Kinasinyaa sababu ya mikakati ya CCM, kuanzia polc-CCM, mamlaka za kiserikali - watu wanasota gerezani, wengine wanapotezwa, na serikali haifanyi chochote - Hatushangai ndo tabia za kiafrika hasa haya ma-vyama yalorithi baada ya wakoloni - yanalewa madaraka, wanachama wake wanakuwa pro - chama na wafia chama kuliko Taifa.
Vyombo vya dola vyote viko huko, ni winga lao - hakuna instruments ambazo ziko huru kupromote demokrasia. Na cha ajabu nyie ma-pro CCM amuoni umuhimu wa vyama vingi vyenye nguvu - mnaendeshwa na mitamaa na ulafi wa mali tu - NDO MAANA VYAMA vingi vya upinzani vinapitia changamoto-
Sema sasa matokeo yake tutakoma wote - watoto wenu, wajukuu zenu, vilembwe vyenu navyo vitapita kwenye moto uleule tu - wa effects ya kuwa na mfumo wa udikteta wa kichama - mnaua checks and balance - mnaua ushindani...
Mkimaliza upinzani mtaanza kumalizana nyinyi kwa nyinyi sababu binadamu sio kondoo - na mmeishaanza - si unaona akina Mpina - sasa subiri mmalize kabisa mtagundua kuwa mnaenda kinyume na ulimwengu -
 
Watanzania wameshuhudia matamshi ya aliekuwa mtendaji mkuu wa chama wa zamani na msomi Dr Silaa akilalamika hadharani kuwa CHADEMA aliyotegemea ni tofauti na uhalisia kwa maana imepoteza mfano na uwepo wa UTOTO mwingi sana ndani ya CHAMA.

Je, Watanzania wenzangu chanzo halisi cha hiki chama ambacho kiliazima mgombea urais toka chama tawala mwaka 2015 na kutikisa kuonekana kuwa KINASINYAA kila UCHAO?
Wanasubiri makapi ya ccm wataamka tena

Agent mwenyewe anasubiri msimu wa mavuno
 
Watanzania wameshuhudia matamshi ya aliekuwa mtendaji mkuu wa chama wa zamani na msomi Dr Silaa akilalamika hadharani kuwa CHADEMA aliyotegemea ni tofauti na uhalisia kwa maana imepoteza mfano na uwepo wa UTOTO mwingi sana ndani ya CHAMA.

Je, Watanzania wenzangu chanzo halisi cha hiki chama ambacho kiliazima mgombea urais toka chama tawala mwaka 2015 na kutikisa kuonekana kuwa KINASINYAA kila UCHAO?
Ccm hawatakinupinzani kabisa wanatumia Kila mbinu kuwadhoofisha cdm sababu no hizi
1. Kutekwa
2.Kuua
3.Kuhonga
4. Kujaribu uchaguzi
5. Kuiba kura
6. Kuwanyima maendeleo maeneo yaliyochavua wapinzani
6. Kubana media zote
8. Vitisho
9.kudhoofisha kiuchumi

Lakini yote kwa yote chadema inaweza kufa au kupoteza lakini upinzani tangu
1995 wakati wa lyatonga hautakaa ufe utabafilika na upepo uliopo

Kwa mauaji na utekaji huu watu wameogopa kujitokeza hadharani kama wapinzani

Lakini pia chadema inahitaji viongozi wapya mwenyekiti mpya na katibu mpya Hawa waliopo hawana mvito tena

Mwenyekiti kafunga mikata na samia mpaka 2030 Kavita hela ndefu hana Cha kupoteza
 
Kinasinyaa kwasababu ya ulevi wa kupindukia wa waandamizi wake, kutegemea hisia na huruma za wananchi kujiendesha, ukata na madeni makubwa yasiyolipolika, kufikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala kwa wanaokiendesha chama hicho bila mipango bali makalamiko tu 🐒
Ccm hawaki upinzani
Wanatumia Kilabinu upinzani ufe
Juzi wamemuu Mzee kibao sasa kwa Hali hii cdm itastawi vipi
 
Ccm hawaki upinzani
Wanatumia Kilabinu upinzani ufe
Juzi wamemuu Mzee kibao sasa kwa Hali hii cdm itastawi vipi
si kweli,
upinzani katika ujumla wake unajimaliza wenyewe kutoka taasisi za kisera za kisiasa hadi kua taasisi za kiraia za kibinafsi kulalamika tu 🐒
 
Watanzania wameshuhudia matamshi ya aliekuwa mtendaji mkuu wa chama wa zamani na msomi Dr Silaa akilalamika hadharani kuwa CHADEMA aliyotegemea ni tofauti na uhalisia kwa maana imepoteza mfano na uwepo wa UTOTO mwingi sana ndani ya CHAMA.

Je, Watanzania wenzangu chanzo halisi cha hiki chama ambacho kiliazima mgombea urais toka chama tawala mwaka 2015 na kutikisa kuonekana kuwa KINASINYAA kila UCHAO?


Yaani tatizo la Watanzania vijana wa siku hizi ni upewo mdogo. Tunawajua vijana kwa maandiko yenu. Tatizo sio Chadema ni CCM kupumbaza Watanzania. Tanzania ni nchi ambayo vijana wamelala na kuweka uchawa na hata hawajui waendako. Juzi vijana wa muziki walikuwa wanalalamikia ukiritimba wa vibali lakini wakikutana na viongozi badala ya kueleza matatizo wanajikita kwenye uchawa.

Tatizo la Tanzania ni Watanzania wenyewe. Hamuwezi kukaa na kushinda mitandaoni halafu kuwasubiria eti Mbowe, Lissu, Zitto na wengine kuwaletee maendeleo. Wakina Mama na vigogo wa CCM wameshajua vijana wanajali kiki na uchawa tu sasa wanajaza ndugu zao kwenye uongozi. Raisi Samia watoto wake na mpaka wakwe wake wapo madarakani njie mnatumwa kutukana Chadema mitandaoni. Hao viongozi wa Chadema ni watu wa kawaida na maisha yao. Kama watanzania wanapenda hizi rushwa, ukiritimba, uchawa, undugu wa sasa mnabakia kuwa masikini tu.
 
Back
Top Bottom