Kuendelea kutegemea uchawi na figisu kwa Mkapa ili kushinda mechi ni upuuzi

Kuendelea kutegemea uchawi na figisu kwa Mkapa ili kushinda mechi ni upuuzi

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Mechi ya Leo imetufundisha jambo, hwa Asec mimosas simba haiwafikii kwa ubora walionao, walivyowafunga kwa Mkapa ni kwasababu za nje ya uwanja zaidi na sio kwamba simba iliwazidi ubora.

Mambo ya kishirikina yanayofanyikaga pale kwa mkapa ili simba ashinde tunayajua vizuri sana, ndiyo maana slogan ya kwa mkapa atoki mtu inafanya kazi kwa mkapa tu wakitoka nje wanakuwa weupee.

Hii dhana ifike mahali ikome, kama una uwezo wa kushinda nyumbani basi uonyeshe angalau kauwezo kidogo kuonyesha ubora wako lakini unafika ugenini unagongeshwa tu kiulaini utafikiri pombe ya ngomani?

Timu inabaki kuwa na uwezo uwanja wa Taifa tu ambapo ndo jopo la waganga lipo kwanini msiwe mnakwenda nao uko nje wawasaidie na uko?
 
Utopolo unaropoka bila data. Asec na Gendarmarie wamepigwa mechi zote za away. Ni Simba na Berkane tu ndio waliotoa sare away.
 
Mechi ya Leo imetufundisha jambo, awa asec mimosas simba aiwafikii kwa ubora walionao, walivyowafunga kwa mkapa ni kwasababu za nje ya uwanja zaidi na sio kwamba simba iliwazidi ubora, mambo ya kishirikina yanayofanyikaga pale kwa mkapa ili simba ashinde tunayajua vizuri sana, ndo maana slogan ya kwa mkapa atoki mtu inafanya kazi kwa mkapa tu wakitoka nje wanakuwa weupeee, hii dhana ifike mahali ikome, kama una uwezo wa kushinda nyumbani basi uonyeshe angalau kauwezo kidogo kuonyesha ubora wako lakini unafika ugenini unagongeshwa tu kiulaini utafikiri pombe ya ngomani? Timu inabaki kuwa na uwezo uwanja wa taifa tu ambapo ndo jopo la waganga lipo kwanini msiwe mnakwenda nao uko nje wawasaidie na uko???
Lete ushaidi mwanetu afu kunywa maji upunguze jazba
 
Nnachojua ni Kimoja tu....! Simba bado imo Kimataifa...Labda Cha pili ni Kwambaaa..Utopolo Walipigwa nje ndani na Kutupwa nje Kimataifa.!
 
Dawa yao ni moja tu, Yanga tutaloga mapema kabla yao ili wafe vizuri kwa Mkapa

images (3).jpeg
 
Ninyi kwenu na rivers hali ilikuwaje? Mbona mlikuwa bora kuliko wao ila mkapigwa nje ndani?
Mechi ya Leo imetufundisha jambo, awa asec mimosas simba aiwafikii kwa ubora walionao, walivyowafunga kwa mkapa ni kwasababu za nje ya uwanja zaidi na sio kwamba simba iliwazidi ubora, mambo ya kishirikina yanayofanyikaga pale kwa mkapa ili simba ashinde tunayajua vizuri sana, ndo maana slogan ya kwa mkapa atoki mtu inafanya kazi kwa mkapa tu wakitoka nje wanakuwa weupeee, hii dhana ifike mahali ikome, kama una uwezo wa kushinda nyumbani basi uonyeshe angalau kauwezo kidogo kuonyesha ubora wako lakini unafika ugenini unagongeshwa tu kiulaini utafikiri pombe ya ngomani? Timu inabaki kuwa na uwezo uwanja wa taifa tu ambapo ndo jopo la waganga lipo kwanini msiwe mnakwenda nao uko nje wawasaidie na uko???
 
Mechi ya Leo imetufundisha jambo, awa asec mimosas simba aiwafikii kwa ubora walionao, walivyowafunga kwa mkapa ni kwasababu za nje ya uwanja zaidi na sio kwamba simba iliwazidi ubora...
Kila timu inashinda nyumbani inafungwa away, kwa hiyo kila anayeshinda nyumbani ameloga.

Kwahiyo utopolo alipofungwa na Rivers hamkuloga.

Ni uzuzu kuamini uchawi unacheza mpira.

Hizi Ni akili za Utopolo.
 
Wametoa sare kwa timu ya aina gani tuanzie hapo kwanza
Umesema simba wanategemea uchawi kwa Mkapa. Niambie ni timu gani kwenye hili kundi ilioshinda ikiwa away? Halafu niambie ni timu zipi mpaka sasa zilizokusanya points nyingi away?
 
kila timu inashinda nyumbani inafungwa away, kwa hiyo kila anayeshinda nyumbani ameloga.

Kwahiyo utopolo alipofungwa na Rivers hamkuloga.

Ni uzuzu kuamini uchawi unacheza mpira.

Hizi Ni akili za Utopolo.
We kaa kimyaa hujui unachoongea na wala hujui tunachokijua sisi, simba michezo yote wanayofanyaga tunayo kiganjani kwahiyo ni bora ukanyamaza ubaki na unachoamini wewe
 
We kaa kimyaa ujui unachoongea na wala ujui tunachokijua sisi, simba michezo yote wanayofanyaga tunayo kiganjani kwaiyo ni bora ukanyamaza ubaki na unachoamini wewe
Jibu swali, hao unaowaona wanajua ni mechi ipi wameshinda wakiwa away?
 
Back
Top Bottom