Kuendelea kutegemea uchawi na figisu kwa Mkapa ili kushinda mechi ni upuuzi

Kuendelea kutegemea uchawi na figisu kwa Mkapa ili kushinda mechi ni upuuzi

hili kundi ni simba na berkane peke yake waliopta points ugenini hao asec hizo tisa zote kashinda nyumbani
 
Mechi ya Leo imetufundisha jambo, awa asec mimosas simba aiwafikii kwa ubora walionao, walivyowafunga kwa mkapa ni kwasababu za nje ya uwanja zaidi na sio kwamba simba iliwazidi ubora, mambo ya kishirikina yanayofanyikaga pale kwa mkapa ili simba ashinde tunayajua vizuri sana, ndo maana slogan ya kwa mkapa atoki mtu inafanya kazi kwa mkapa tu wakitoka nje wanakuwa weupeee, hii dhana ifike mahali ikome, kama una uwezo wa kushinda nyumbani basi uonyeshe angalau kauwezo kidogo kuonyesha ubora wako lakini unafika ugenini unagongeshwa tu kiulaini utafikiri pombe ya ngomani? Timu inabaki kuwa na uwezo uwanja wa taifa tu ambapo ndo jopo la waganga lipo kwanini msiwe mnakwenda nao uko nje wawasaidie na uko???
Huna akili ya kuanzisha mada za ki-GT
Yaani kwa mtizamo huu eti kuna wanaokutegemea kwenye familia yako. Hasara sana hii.

Ukiangalia kundi kila mtu ameshinda ktk uwanja wa nyumbani kwake. Sasa hao wengine unasemaje?

Uto saa nyingine muwe mnafikiri kama wakomavu. Nongwa itawaua.
 
Jibu swali, hao unaowaona wanajua ni mechi ipi wameshinda wakiwa away?
Wenzako wanaonyesha kitu wakiwa ugenini kimbinu lakini wewe unakuwa mweupe kote kote unakoenda kucheza, mmewafunga berkane kwa mbeleko ya rose mhando kagoli kamoja lakini kimbinu walikuwa vizuri kuwazidi,,vinginevyo ilikuwa droo, unajificha kwenye kichaka cha nani kashinda away???
 
We kaa kimyaa ujui unachoongea na wala ujui tunachokijua sisi, simba michezo yote wanayofanyaga tunayo kiganjani kwaiyo ni bora ukanyamaza ubaki na unachoamini wewe
Kama unaamini katika hayo, basi fanya na wewe, si unajua?!
Mliwaacha Rivers wakiwalengeta ndani nje huku mkijua cha kufanya. Basi ni ujuha undefined!!!
 
Wenzako wanaonyesha kitu wakiwa ugenini kimbinu lakini wewe unakuwa mweupe kote kote unakoenda kucheza, mmewafunga berkane kwa mbeleko ya rose mhando kagoli kamoja lakini kimbinu walikuwa vizuri kuwazidi,,vinginevyo ilikuwa droo, unajificha kwenye kichaka cha nani kashinda away???
Kakojoe ulale. Huna hoja. Unawaaibisha tu wenye akili zao huko Utopolo kama wapo basi (ukiondoa JK na Jumapili - kwa kauli ya Haji).
 
Mechi ya Leo imetufundisha jambo, awa asec mimosas simba aiwafikii kwa ubora walionao, walivyowafunga kwa mkapa ni kwasababu za nje ya uwanja zaidi na sio kwamba simba iliwazidi ubora...
Na hao wengine kwa nini wanashinda kwao tuu? Lkn pia unaongea kama mgeni na mambo ya nchini hapa, taja timu isiyoroga kabisa, acha mahaba.
 
Wenzako wanaonyesha kitu wakiwa ugenini kimbinu lakini wewe unakuwa mweupe kote kote unakoenda kucheza, mmewafunga berkane kwa mbeleko ya rose mhando kagoli kamoja lakini kimbinu walikuwa vizuri kuwazidi,,vinginevyo ilikuwa droo, unajificha kwenye kichaka cha nani kashinda away???
Huna facts unaropoka ropoka tu. Kwani Berkane kacheza away dhidi ya Simba pekee? Mbona kwa Asec kapigwa? Huyo Asec kacheza away dhidi ya simba pekee? Mbona kwa Gendarmarie kapigwa? Gendarmarie mechi zote za away kapigwa na hakuna aliyocheza na simba, ila simba akishinda home ni uchawi, hakika utopolo ni utopolo.
 
Huna akili ya kuanzisha mada za ki-GT
Yaani kwa mtizamo huu eti kuna wanaokutegemea kwenye familia yako. Hasara sana hii.

Ukiangalia kundi kila mtu ameshinda ktk uwanja wa nyumbani kwake. Sasa hao wengine unasemaje?
Uto saa nyingine muwe mnafikiri kama wakomavu. Nongwa itawaua.
Tunawafahamu nje ndani acha kubwata wewe, na huo ndo uwezo wenu halisi siku zote samaki ukimtoa ndani ya maji hana ujanja unamwelekeza kibra kiulai
 
Tunawafahamu nje ndani acha kubwata wewe, na huo ndo uwezo wenu halisi siku zote samaki ukimtoa ndani ya maji hana ujanja unamwelekeza kibra kiulai
Unajifariji tu kwa vile timu lenu lishatolewa mapema.
 
Halafu wafute na ile visit Tanzania wanatuaibisha kinyama!..
kama mlivyotuaibisha na visit zanzibar yenu hata jezi hamjaziuza mkagongwa nje ndani

0C57E0FC-D525-40B9-BEC1-16A4C240AEB5.png
 
Utopolo sijui mpira mnaangalia wapi duniani kote team zote zinatumia uwanja wa nyumbani vizuri nadhani ni kutokana na hali ya hewa na mashabiki mkiwa nyumbani labda nikukumbushe tu mechi za mtoano ambazo matokeo yalipinduliwa nyumbani,

BARCELONA VS PSG (GREATEST COME BACK EVER)
LIVERPOOL VS BARCELONA
REAL MADRID VS PSG (HII MECHI YA JUZI TU)

inawezekana ikawa hawatumii uchawi kama unavyodai ila ugenini kuna vitu vya ajabu wanafanyiwa wageni hao al ahly ndio wanaongoza kwa figisu licha ya ubora waliokuwa nao nikamilishe tu kwamba uwahi kulala kesho ni zamu yako kuchunga ng'ombe wa mayele .
 
Mechi ya Leo imetufundisha jambo, awa asec mimosas simba aiwafikii kwa ubora walionao, walivyowafunga kwa mkapa ni kwasababu za nje ya uwanja zaidi na sio kwamba simba iliwazidi ubora, mambo ya kishirikina yanayofanyikaga pale kwa mkapa ili simba ashinde tunayajua vizuri sana, ndo maana slogan ya kwa mkapa atoki mtu inafanya kazi kwa mkapa tu wakitoka nje wanakuwa weupeee, hii dhana ifike mahali ikome, kama una uwezo wa kushinda nyumbani basi uonyeshe angalau kauwezo kidogo kuonyesha ubora wako lakini unafika ugenini unagongeshwa tu kiulaini utafikiri pombe ya ngomani? Timu inabaki kuwa na uwezo uwanja wa taifa tu ambapo ndo jopo la waganga lipo kwanini msiwe mnakwenda nao uko nje wawasaidie na uko???
Hao aseck wameshinda au hta ku draw mechi hata moja ugenini?mpira wa africa ndo ulivyo ndugu kwa asilimia kubwa sana!!
 
Ushabiki mwingine wa kingese sana kwa hiyo na hizo timu zingine zinatumia uchawi. Simba atapita tu mtake msitake. Tutaendelea kutumia uchawi wetu wa kwa mkapa na tutaendelea kuhonga marefa kisha tutapulizia dawa vyumbani .ule uchungu unaoupataga kwa mkapa utaendelea kukupata daima.
 
Yaani timu inawachezaji wenye wastani wa miaka 40 alafu inataka kushindana na washindani wao wenye wastani wa miaka 23 kisa wao wanajivunia makafara wanayo Fanya Kwa Mkapa kabla ya mechi.

Mpira wa makafara hauna tija, mta chinja na kufukia Kila aina ya kiumbe lakini furaha yenu ni ya muda tu, soka letu linazidi kudidimia.
 
Yaani timu inawachezaji wenye wastani wa miaka 40 alafu inataka kushindana na washindani wao wenye wastani wa miaka 23 kisa wao wanajivunia makafara wanayo Fanya Kwa Mkapa kabla ya mechi.

Mpira wa makafara hauna tija, mta chinja na kufukia Kila aina ya kiumbe lakini furaha yenu ni ya muda tu, soka letu linazidi kudidimia.
Kina kagere, mugalu,boko ndo washambuliaji wanaotegemewa waipe ushindi makolo, kule nyuma unawakuta kina onyango na wawa unategemea nini kwa mfano, Sana Sana utajiegemeza kwenye plan b ya makafara, kuchinja na kufukia, dawa vyumbani lakini wanapotoka nje inakuwa aibu Kama iyo na washazoea siku wakiingia kwenye 18 za caf wataimba!
 
Kwanini unadharau kiungo KE cha wanawake..wewe ulitokea wapi? Mkunduni?
Acha kutukania viungo vya wanawake , huo ni udhalilishaji kijinsia. Labda kama umetokea mkunduni.
[emoji1787] kunywa maji ushushie kwanza usijenifia bure kwa presha zako za kujitakia na za kipumbavu [emoji38]
 
Back
Top Bottom