matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Sioni sababu ya kujifunza kwa Kiswahili Shule ya msingi.
1: Walimu wao wanajifunza kozi kwa Kiingereza.
2: Kiswahili tayari tunakiongea nyumbani hata Mtoto akitoka Shule atakiongea hawezi kukisahau.
Hasara tunazopata
1: Watoto wa shuleza msingi wanakuwa wazito na hawaendani na kasi ya dunia.
2: Maarifa mengi ya ziada yako kwa kimombo watoto tunakuwa tumewafungua kwenye kasha la Kiswahili.
Maoni
Kiswahili libaki kama somo tuwafungulie watoto wetu kujuifunza mambo kwa Kiingereza.
Kama ni shida miundombinu angalau tuanze kwa Shule zote za kwenye majiji na miji mikubwa.
Ni hayo tu
1: Walimu wao wanajifunza kozi kwa Kiingereza.
2: Kiswahili tayari tunakiongea nyumbani hata Mtoto akitoka Shule atakiongea hawezi kukisahau.
Hasara tunazopata
1: Watoto wa shuleza msingi wanakuwa wazito na hawaendani na kasi ya dunia.
2: Maarifa mengi ya ziada yako kwa kimombo watoto tunakuwa tumewafungua kwenye kasha la Kiswahili.
Maoni
Kiswahili libaki kama somo tuwafungulie watoto wetu kujuifunza mambo kwa Kiingereza.
Kama ni shida miundombinu angalau tuanze kwa Shule zote za kwenye majiji na miji mikubwa.
Ni hayo tu