Maili tatu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 830
- 1,070
Ila kati ya baiskeli na pikipiki kwa kweli baiskeli ni ngumu mno kujifunza kuliko pikipiki...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndiyo enzi hizo mlikuwa mnatusumbua sana na mountain bike na ma BMX [emoji1]Mbona mmi sijui kuendesha baiskeli na uzee huu na sioni aibu yoyote? Sikutaka kujifunza na sikuwa na sababu ya kujifunza kuendesha baiskeli na mdogo wangu alikuwa na mountain bike!
yaani, ndio sijajua hadi leoNdio ulikuwa unapelekea kujua aise
Kuendesha baiskeli, hakupiti, maana ni sehemu ya mazoezi, china wako mbele na ulaya wametuacha mbali sana kimaendeleo, lakini bado watu wanatembelea baiskeli. na kuna hata mashindano ya baiskeli.Jifunze Gari mzee hatua hiyo tayari usharuka tayari [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Afadhali wewe mjanja hujawahi endesha baiskeli. Wengi wanaondeshaga baiskeli wanaupungufu wa nguvu za kiume kwasababu kile kiti kinadisturb Sana mishipa ya poumbou kwasababu ya kunyonga na kutwist kiuno huku umekalia poumbou na kuzikandamiza kwenye kitiMbona mmi sijui kuendesha baiskeli na uzee huu na sioni aibu yoyote? Sikutaka kujifunza na sikuwa na sababu ya kujifunza kuendesha baiskeli na mdogo wangu alikuwa na mountain bike!
Kwanza kutojua kuendesha chombo chochote cha usafiri, hakuna aibu, ispokua , umuhimu unakuja kulingana na mazingira unayoishi.Mbona mmi sijui kuendesha baiskeli na uzee huu na sioni aibu yoyote? Sikutaka kujifunza na sikuwa na sababu ya kujifunza kuendesha baiskeli na mdogo wangu alikuwa na mountain bike!
Sasa wewe miaka 40 jifunze uvunje mguu ndio ujue, wenzao walianzia utotoni mazoezi hata kukimbia inatoshaKuendesha baiskeli, hakupiti, maana ni sehemu ya mazoezi, china wako mbele na ulaya wametuacha mbali sana kimaendeleo, lakini bado watu wanatembelea baiskeli. na kuna hata mashindano ya baiskeli.
Mimi naona ajabu ujueMbona mmi sijui kuendesha baiskeli na uzee huu na sioni aibu yoyote? Sikutaka kujifunza na sikuwa na sababu ya kujifunza kuendesha baiskeli na mdogo wangu alikuwa na mountain bike!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ulijifunzia barabarani wenzio wanajifunzia uwanjani. Shukuru Mungu hukugongwa wewe na gariSiku ya kwanza niliyojifunza nikamhonga mbibi wa watu barabarani basi sijarudia hadi leo.
Ajabu gani sasa?Mimi naona ajabu ujue
Sijawahi kumuona mwanaume asiyejua kuendesha baiskeliAjabu gani sasa?
Ndio mimi sasa.Sijawahi kumuona mwanaume asiyejua kuendesha baiskeli
Ndio nimekuona wewe niruhusu nishangaeNdio mimi sasa.
Mpaka kesho kuna watu nikiwaambia hawaamini.Ndio nimekuona wewe niruhusu nishangae
Ila pacha wewe utakuwa wa kishua sana, ndio wale wa school bus ukiwa na safari nyingine unaenda na gariMpaka kesho kuna watu nikiwaambia hawaamini.
Mjini baskeli sio usafiri ni burudani tu ambayo sikuipenda. Enzi nasoma kulikuwa hakuna school bus.Ila pacha wewe utakuwa wa kishua sana, ndio wale wa school bus ukiwa na safari nyingine unaenda na gari
Kwa sie tuliokulia kijijini ni njia ya usafiri, kabla ya bodaboda baiskeli zilikuwa zinatumika hata kupeleka wagonjwa hospitaliMjini baskeli sio usafiri ni burudani tu ambayo sikuipenda. Enzi nasoma kulikuwa hakuna school bus.
Wa magetini ndiyo wanaojua baiskeli tangu wakiwa wadogo kabisa. Wanaishi kama Ulaya. Ulaya huwezi kukuta mtu asiyejua kuendesha baiskeli kwani tangu utoto wanakuwa nazo.Pikipiki sishangai, ila baiskeli kuna umri unakuwa na kimuhemuhe sana cha kujifunza na marafiki hasa umri wa miaka 9 nakuendelea.
Ila sijui kwa wale wa kushinda wamefungiwa magetini.