Ook sawa MkuuConnection zipo kila sehemu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ook sawa MkuuConnection zipo kila sehemu mkuu.
Location vipi?wasalaamu wadau,, nimekuwa kila nikianzisha biashara sitoboi kabisa,..kwa mfano nilikuwa namiliki saloon yangu ya kiume lakini cha ajabu sipati wateja,..yaani unaweza kukaa kutwa nzima ukaambulia vichwa viwili tu,,,siku nikipata wengi ni watatu mwisho,.. vivyo hivyo hata biashara zingine nilizowahi kuanzisha kama vile kuuza nguo na mahindi,...je mimi nakosea wapi wadau? au wengine huwa munafanyeje? karibuni kwa ushauri maana hapa nahisi kushindwa,. sijui bora kuajiliwa tu,..daah
Mkuu komaa usikate tamaa. Mimi ninapofanyia biashara frame ya pembeni yangu alifungua mtu biashara kama yangu, kodi ilivyoisha akafunga biashara. Same fremu kafungua mwingine nae anasema akimaliza kodi harudi.
Kama sio kukomaa ningeshafunga biashara kitambo kabisa. Imagine wenzio wanakuja wanakata tamaa ila sio kwamba kuna siku sikosi. Nakosa lakini naamini kwenye kupata na kukosa kwamba sio kila siku nitapata tu.
Komaa mkuu. Biashara inayoanza ngumu sana. Nina mwaka now ila bado naona kama nimeanza jana biashara ila sikati tamaa kuona haikua kama nilivyodhani itakua ndani ya muda niliodhani mimi biashara itakua.
Nina rafiki yangu anabiashara ya mihogo. Anasema yeye ilimchukua miaka mitatu kusimama vizuri.
Mimi nikiwaza ndo kwanza mwaka nasema bado nina muda wa kusimama vizuri
Yes. Inapoteza wateja pia hii sababu hawana uhakika na huduma yakoSafi sanaa ongeza juhudii
Unakuta pia mtu anachukua frame anakuwa anafungua mara moja moja hawi active wateja wanakupotezea
Aende ipi sasa ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Badili style unayotumia
Achana na hiyo style pendwa mkuu kuwa mbunifunitumie style gani mkuu?
wasalaamu wadau,, nimekuwa kila nikianzisha biashara sitoboi kabisa,..kwa mfano nilikuwa namiliki saloon yangu ya kiume lakini cha ajabu sipati wateja,..yaani unaweza kukaa kutwa nzima ukaambulia vichwa viwili tu,,,siku nikipata wengi ni watatu mwisho,.. vivyo hivyo hata biashara zingine nilizowahi kuanzisha kama vile kuuza nguo na mahindi,...je mimi nakosea wapi wadau? au wengine huwa munafanyeje? karibuni kwa ushauri maana hapa nahisi kushindwa,. sijui bora kuajiliwa tu,..daah
Badili style unayotumia
ww una nyota ya mteja..!🤣wasalaamu wadau,, nimekuwa kila nikianzisha biashara sitoboi kabisa,..kwa mfano nilikuwa namiliki saloon yangu ya kiume lakini cha ajabu sipati wateja,..yaani unaweza kukaa kutwa nzima ukaambulia vichwa viwili tu,,,siku nikipata wengi ni watatu mwisho,.. vivyo hivyo hata biashara zingine nilizowahi kuanzisha kama vile kuuza nguo na mahindi,...je mimi nakosea wapi wadau? au wengine huwa munafanyeje? karibuni kwa ushauri maana hapa nahisi kushindwa,. sijui bora kuajiliwa tu,..daah
BIASHARA ya salon.....
Mambo ya msingi ya kuzingatia
Kama upo uswahilini....usiirembe Sana salon yako...wabongo wakiona umeremba Sanaa wanakimbia kwa kujua bei ni kubwa.
Shusha bei,kama wenzio wananyoa buku jero,wewe nyoa buku,
Wahi kufungua...... Chelewa kufunga.
Customer care nu muhimu....
Kinyozi akimyoa MTU asimuondoe haraka haraka,labda kuwe na vichwa nje....mteja akimaa mda mtefu akinyolewa ndio anaamini kuwa jamaa amenyoa vizuri...Ila faster faster anahisi amelipuliwa
Kinyozi awe na uongo Fulani wenye faida, mfano kuna Saloni moja hivii,kila MTU akimyoa utamkuta anasema" hivi nywele zako kwa jinsi zilivyo angekuwa kinyozi wasiwasi...lazima akunyoe vibaya....maana kinasehemu zimekaa vibaya ...inamaana anamuaminisha kuwa yeye ndio Bora ,hivyo asiende kwingine.....kumbe anamjazaa tuu.
Piaa kinyozi awe mpiga Stori Sanaa na watejaa,mteja akija anapiga stor Sana za siasa na zinginee,basi jamaa anajikuta kesho analud hapo hapoo.
Piaa kinyozi MTU akija kunyoa basi amnyoe na ndevu kwa pesa yake ile ile.
Huu ndio ushauri wangu.....japo napata kvant hapa,Sasa siajua NI ushaur wangu au NI akiri za kvant.
We angalia wamiliki wa makampuni hawataki hata siku moja kufunga yaan wanataman hata jumapili wafungue biashara watu wafanye kaziYes. Inapoteza wateja pia hii sababu hawana uhakika na huduma yako
Mchawi ni location akisindikizwa na rafki yake ajulikanaye kama ubora wa huduma unazotoa , narudia tena mchawi ni location.....ukikosea location wafaaaaaaaaaaa no mercy and no compromise....!!! Yaan hyo factor inastand alone haihtaji mbwembwe za kusali ama kuroga ......
habari ya location labda zinatofautiana mkuu,..kwa kweli mimi nipo sehemu iliyochangamka kweli na si kwamba nipo peke yangu la hasha, kuna wenzangu lakini naona tunatofautiana wenzangu wenyewe ni afadhali wanapata vichwa sijui wana marafiki wengi,..
mkuu hii noma sasa,.. wanaweza kukuhisi tofauti wanaweza kudhani umeishiwa kabisaTembea na mashine pita nyumba kwa nyumba watangazie unanyoa. Baada ya mwezi utaanza kula vichwa vya kutosha.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile
Hii inaukweli.Tafuta mtu mwenye kampani na watu wengi mpe kazi ya masoko