Kuendesha biashara yako mwenyewe ni kazi ngumu sana

Location vipi?
Make location inabeba vitu ving sana kwa wakati mmoja.
1.İdadi ya Saloon eneo husika
2. Maisha ya watu wa eneo husika
3. Population ya eneo husika
4. Accessibility ya hio Saloon.
Hayo pia yanakuja kudetermine price

Na mengine mengi kama Management
 

Safi sanaa ongeza juhudii
Unakuta pia mtu anachukua frame anakuwa anafungua mara moja moja hawi active wateja wanakupotezea
 
Safi sanaa ongeza juhudii
Unakuta pia mtu anachukua frame anakuwa anafungua mara moja moja hawi active wateja wanakupotezea
Yes. Inapoteza wateja pia hii sababu hawana uhakika na huduma yako
 

Mkuu, ofisi yako inamuda gani ??
 
1.Eneo unalofanyia
2.Wateja wako watakua wa namna gani
3.Mazingira yako ya biashara(usafi,ubora wa vifaa nk)
4.Huduma iliyopo inatolewaje(kinyozi anajua kunyoa vyema inavyotakiwa mtu akaridhika..mimi naishi eneo A lakini lazima nikanyoe eneo E kutokana na huyo kinyozi kua noma)
5.Bei ikoje inaendana na mahitaji ya sasa
6.uvumilivu
7.Jitahidi uwe una sali mara kwa mara

Hayo ninayoyafahamu mimi
 
ww una nyota ya mteja..!🤣
 
Mkuu sina cha kuongeza Saloon ninayonyoa mimi ina mazingira mazuri ila vilivyobaki vyote ni kama hivyo yule jamaa anatumia hadi nusu saa kuninyoa tu aisee
 
Yes. Inapoteza wateja pia hii sababu hawana uhakika na huduma yako
We angalia wamiliki wa makampuni hawataki hata siku moja kufunga yaan wanataman hata jumapili wafungue biashara watu wafanye kazi
 

habari ya location labda zinatofautiana mkuu,..kwa kweli mimi nipo sehemu iliyochangamka kweli na si kwamba nipo peke yangu la hasha, kuna wenzangu lakini naona tunatofautiana wenzangu wenyewe ni afadhali wanapata vichwa sijui wana marafiki wengi,..
 
Tafuta frem zilizopo kwenye kona inayopita watu wengi, usilipie frem iliyoko uchocho...bora umwage yebo yebo huko barabarani maana hakuna gharama za uendeshaji
 
1.Jitahid kuwa creative.

2.Usianzishe biashara jirani na mtu anayefanya biashara hiyo hivyo toka zamani.

3. Usianzishe biashara ukitegemea jirani zako, ndugu zako, na marafiki ndyo watakuwa wateja. Hasa za duka.

4. Usianzishe biashara ukitegemea kuanza kupata faida ndani ya mwaka 1.

5. Ukianzisha biashara tafta ushaur kwa waliofanikiwa, sio walioshindwa.

6. Biashara yoyote inahitaji uvumilivu na Muda.
 
Factor nyingine kwenye saloon ni ujuzi (mastering) na kujali mteja , yaan mteja awe kama mtoto wako , mashine isiwe zile za kuumiza na kupiga makelele ,mkuu ukiweza hvyo vitu wateja utawakimbia .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…