Kuendesha gari kwa mkono mmoja

Mimi niko comfortable either way inategemeana tu na speed niliyonayo na njia ilivyo. Kuendesha kwa mkono mmoja inaweza ikawa salama au si salama kulingana na mwendo unaotembea nao na mkono wako umeuweka kwenye position ipi katika usukani wako.
 
Mkuu! Hii ya kuendeshea miguu miwili hata me ndivo nilivyo! Nimejaribu kuacha nimeshindwa.

Nimeendesha hadi mikoani for long route hivyo hivyo na najisikia comfortable.
For Autos!
 
Mkuu! Hii ya kuendeshea miguu miwili hata me ndivo nilivyo! Nimejaribu kuacha nimeshindwa.

Nimeendesha hadi mikoani for long route hivyo hivyo na najisikia comfortable.
For Autos!
Ahhh ila nihatar [emoji28]
 
Duhhhh......
Humu ndani naona nimimi tu ndie sijamiliki chuma hapa mjini...[emoji849][emoji849]
Nawewe naomba nikupe pongezi mkuu...
Na watoto wazuri unapata japo huna chuma ya mjepπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Kila nikiwazoza wanachomoa chief, ebu naomba unipe mbinu za kuwamiliki hawa viumbe aiseeee
Inabidi kupata pindi kutoka kwa wanasiasa.. πŸ˜„πŸ˜„. Umeona maneno ya wanasiasa yanavyo rubuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…