kuendesha gari wakati wa mvua

Ukiwasha AC ya gari kuna kitufe pembeni huwa kimechorwa alama fulani kama vimstari vingi hicho kitufe ni kwaajili ya kutoa ukungu kwenye kioo cha gari
 
Hicho kitufe kina alama hii [emoji621]️ na ndiyo kazi yake kutoa ukungu
 
WASHA A/C WEKA JOTO BARIDI KISHA BONYEZA HIVYO VITUFE KILA KITU KINAKUWA SAAAAFI



KAMA GARI YAKO INATUMIA VITUFE VYA KUZUNGUSHA ANGALIA HAPA CHINI

 
Maana AC sio mchezo na unakuta kuna baridi mvua inapiga nje halafu unatia na AC ahhhh ni balaaaa hati unaweza freeze
 
Wooooow!...kitanikoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Kuna Vibutton vingi kwenye hili gari sivijui ukute vingenisevu tuu,....nikitulia ntakutumia PM unieleweshe best

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah hamna noma mkuu,ukipiga defrost yako ni mwendo kutembea kwny mvua kama juani vile.
 
Hahah hamna noma mkuu,ukipiga defrost yako ni mwendo kutembea kwny mvua kama juani vile.
Yaaan ungecheka miaka yote napata shida kweli asee[emoji44][emoji44]..huwa natamani hata mimi kupaki kwa sababu ya hiyo ishu, Ila najiuliza mbona wengine wananipita shaaa! Wanatumia nini?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]...tena hawa wenye Prado doooh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah acha mzungu aitwe mzungu alifikiria mpk kwny mvua watu wenye haraka zao wataendeshaje,hahah.

Sa hivi utakua ni mwendo wa kuwa overtake tu.
 
Hahah acha mzungu aitwe mzungu alifikiria mpk kwny mvua watu wenye haraka zao wataendeshaje,hahah.

Sa hivi utakua ni mwendo wa kuwa overtake tu.
Kabisa....kipindi cha mvua huwa naendesha spidi ndogo like 20sp[emoji1787][emoji1787]....sasa hivi ikinyesha tu 140 inanihusu, haaahaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…