kuendesha gari wakati wa mvua

kuendesha gari wakati wa mvua

mashonga

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2013
Posts
595
Reaction score
970
habari za leo ndugu wana jukwaa,
hua ninapata shida sana wakati wa mvua kuendesha gari maana kuna ukungu hua unatokea kwa ndani kwenye kioo cha mbele, hivyo huathiri kwa kiasi kikubwa uwezo wangu wa kuona barabara vizuri.
Lakini kwa upande wangu hali ikiwa hivyo wenzangu wananipita kwa kasi sana kana kwamba hakuna mvua je ni mbinu gani hasa zinazo tumika ili kuhakikisha kioo cha mbele kinakua kikavu (bila ukungu kwa ndani)?, natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari za leo ndugu wana jukwaa,
hua ninapata shida sana wakati wa mvua kuendesha gari maana kuna ukungu hua unatokea kwa ndani kwenye kioo cha mbele, hivyo huathiri kwa kiasi kikubwa uwezo wangu wa kuona barabara vizuri.
Lakini kwa upande wangu hali ikiwa hivyo wenzangu wananipita kwa kasi sana kana kwamba hakuna mvua je ni mbinu gani hasa zinazo tumika ili kuhakikisha kioo cha mbele kinakua kikavu (bila ukungu kwa ndani)?, natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app

Washa AC ya gari
 
Jibu limeshajibiwa hapo juu. Zingatia vile vike unaweza ingezea kuwa na maji ya kutosha ya wiper weka na sabuni kwa mbali kuondoa mafuta ya wadudu wanao kufa pale.
 
Kuna kile kidude cha warm ness washa hicho ukungu unapotea
 
km AC haifanyi kazi washa FANweka upande wa joto hakikisha ule upepo unapitia mbele chini ya kioo kwa ndani
ukungu wote quishney
 
Wakati wa mvua zingatia tairi zimewekwa upeopo unaohitajika fungua mlango wa dereva utaona kiasi cha upepo unaohitajika na siyo kujaza holela
 
Hebu nidadavulie best yangu...ndo kibutton gani hicho?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kunakua button 2 ziko sehemu 1.

moja ya kioo cha nyuma nyingine ya kioo cha mbele.,ukibonyeza hio kama unataka kioo cha mbele/nyuma ukungu uishe ni dakika 0 tu mkuu.

Andika tu defrost button kwny google then utaiona ina vialama flan hivi mkuu.
 
Mkuu kunakua button 2 ziko sehemu 1.

moja ya kioo cha nyuma nyingine ya kioo cha mbele.,ukibonyeza hio kama unataka kioo cha mbele/nyuma ukungu uishe ni dakika 0 tu mkuu.

Andika tu defrost button kwny google then utaiona ina vialama flan hivi mkuu.
Asante sana best...mi najuaga AC tu hahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haahaaa....nataka option nyingine, AC naiwasha nadra sana[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefurahi ulivyomjibu khs a/c maana kuna watu ile harufu ya a/c hawaipendi kabisaa sasa mvua ikinyesha wao bora wapaki tu gari.

Mi natumiaga tu hui defrost button kwny mvua mkuu.
 
Back
Top Bottom