Pre GE2025 Kuepuka fedheha ya kushindwa vibaya kwenye Uchaguzi Mkuu ujao unamshauri kiongozi gani wa upinzani, busara imuelekeze kutokuthubutu kugombea Urais?

Pre GE2025 Kuepuka fedheha ya kushindwa vibaya kwenye Uchaguzi Mkuu ujao unamshauri kiongozi gani wa upinzani, busara imuelekeze kutokuthubutu kugombea Urais?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
ili walau kiongozi huyo abaki na heshima aliyonayo hivi sasa aliyoijenga kwa muda mrefu sana, lakini pia kuepuka kufilisika uzeeni maana uchaguzi ni gharama sana.

lakini pia kuepuka kuaibisha ndugu, jamaa, marafiki na chama husika kwa kushindwa vibaya kwa fedhaha uchaguzi ujao. na zaidi sana pia kuepuka kupoteza muda, mali na nguvu ambazo huenda zingesaidia kwenye mambo mengine muhimu ya maisha n.k

lakini pia kuepuka mstuko ambao unaweza kutokana na matokeo mabaya ukilinganisha na matarajio makubwa, ambapo hali hiyo inaweza kusababisha changamoto za kiafya...

ni kiongozi gani wa upinzani nchini yafaa ashauriwe kuachana na mpango huo badala yake aendelee na mambo yake mengine ya maisha?

kwasababu ni vizuri tukaelezana ukweli kwamba mazingira ya siasa za Tanzania kwasasa yanamfavor sana mama Dr.Samia Suluhu Hassan, influence yake katikati siasa za kimataifa imemfanya Dr. Tulia Akson kua Rais wa shirikisho la mabunge duniani IPU, influence ya Dr. Samia ndio imemuweka Dr.Faustine kua mkurugenzi mtentaji mkuu wa WHO kanda ya Africa, lakini pia influence ya Dr. Samia itamfanya Raila Amolo Odinga kuwa Chairman wa Tume ya Umoja wa Africa AUC..

so, influence ya Dr. Samia Suluhu Hassan Tanzania na katika siasa za kitaifa imejaa na kufurika ndani ya mioyo ya waTanzania wote, na kimataifa, influence ya Dr.Samia ni moto wa kuotea mbali, aisee dah!

Atakae thubutu kumchalenge ataishia kupata fedheha na aibu tu kwa familia na chama chake kwenye sanduku la kura...🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Pia soma:Kuelekea 2025 - Upinzani nchini hauna ngome wala uhakika wa kushinda hata kiti kimoja kwenye uchaguzi Serikali za Mitaa wala uchaguzi mkuu baadae mwaka ujao
 
Mkuu.

Hakuna fedheha yoyote kwenye kushindwa katika sanduku la kura.

Inawezekena wewe tu ndiyo hujui lakini hayo mambo siyo personal na mtu yoyote anayeyachukulia hivyo hapaswi kugombea uongozi wa umma kupitia kura.

Ila nadhani pia ulitafuta kisingizio cha kutueleleza kuwa mama ndiye anayeleta mvua za vuli na mbaraa kwa wabongo wote na mtu mmoja mmja..

Sina pingamizi na maoni yako hayo.
 
ili walau kiongozi huyo abaki na heshima aliyonayo hivi sasa aliyoijenga kwa muda mrefu sana, lakini pia kuepuka kufilisika uzeeni maana uchaguzi ni gharama sana...
Unapo andika andiko refu namna hii, haiondoi sifa ya kuwa umejaza takataka humo kwenye andiko.

Sijasoma huko ndani, lakini kufuatana na kichwa cha mada, ushauri wangu upo wazi kabisa. Samia ataaibika sana akijihangaisha kugombea safari hii.

Kama ni kutegemea wizi wa kura na mazingaombwe mengine; hilo asahau kabisa safari hii. Asipo kuwa mwangalifu atatoka kwenye nafasi hiyo kwa maumivu akilazimisha kubaki.
 
Nyerere aliwaambia wazi kabisa upinzani wajikite kwenye ubunge na udiwani uraisi bado sana anyway ni haki yao kugombea kuwinda ruzuku

Lakini 2025 wakitoa mgombea uraisi hasa Chadema watapata kura chache kuliko miaka yote waliyogombea kura za uraisi

Chama kime loose popularity sana
 
Nyerere aliwaambia wazi kabisa upinzani wajikite kwenye ubunge na udiwani uraisi bado sana anyway ni haki yao kugombea kuwinda ruzuku

Lakini 2025 wakitoa mgombea uraisi hasa Chadema watapata kura chache kuliko miaka yote waliyogombea kura za uraisi

Chama kime loose popularity sana
Kwenye uraisi CCM tutatangazwa washindi, huku picha nzima ikionyesha upinzani mkubwa toka kwa wapiga kura na si kutoka vyama vya upinzani.
 
ili walau kiongozi huyo abaki na heshima aliyonayo hivi sasa aliyoijenga kwa muda mrefu sana, lakini pia kuepuka kufilisika uzeeni maana uchaguzi ni gharama sana.

lakini pia kuepuka kuaibisha ndugu, jamaa, marafiki na chama husika kwa kushindwa vibaya kwa fedhaha uchaguzi ujao. na zaidi sana pia kuepuka kupoteza muda, mali na nguvu ambazo huenda zingesaidia kwenye mambo mengine muhimu ya maisha n.k

lakini pia kuepuka mstuko ambao unaweza kutokana na matokeo mabaya ukilinganisha na matarajio makubwa, ambapo hali hiyo inaweza kusababisha changamoto za kiafya...

ni kiongozi gani wa upinzani nchini yafaa ashauriwe kuachana na mpango huo badala yake aendelee na mambo yake mengine ya maisha?

kwasababu ni vizuri tukaelezana ukweli kwamba mazingira ya siasa za Tanzania kwasasa yanamfavor sana mama Dr.Samia Suluhu Hassan, influence yake katikati siasa za kimataifa imemfanya Dr. Tulia Akson kua Rais wa shirikisho la mabunge duniani IPU, influence ya Dr. Samia ndio imemuweka Dr.Faustine kua mkurugenzi mtentaji mkuu wa WHO kanda ya Africa, lakini pia influence ya Dr. Samia itamfanya Raila Amolo Odinga kuwa Chairman wa Tume ya Umoja wa Africa AUC..

so,
influence ya Dr. Samia Suluhu Hassan Tanzania na katika siasa za kitaifa imejaa na kufurika ndani ya mioyo ya waTanzania wote, na kimataifa, influence ya Dr.Samia ni moto wa kuotea mbali, aisee dah!

atakae thubutu kumchalenge ataishia kupata fedheha na aibu tu kwa familia na chama chake kwenye sanduku la kura...🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Samia S Hassan
 
ili walau kiongozi huyo abaki na heshima aliyonayo hivi sasa aliyoijenga kwa muda mrefu sana, lakini pia kuepuka kufilisika uzeeni maana uchaguzi ni gharama sana.

lakini pia kuepuka kuaibisha ndugu, jamaa, marafiki na chama husika kwa kushindwa vibaya kwa fedhaha uchaguzi ujao. na zaidi sana pia kuepuka kupoteza muda, mali na nguvu ambazo huenda zingesaidia kwenye mambo mengine muhimu ya maisha n.k

lakini pia kuepuka mstuko ambao unaweza kutokana na matokeo mabaya ukilinganisha na matarajio makubwa, ambapo hali hiyo inaweza kusababisha changamoto za kiafya...

ni kiongozi gani wa upinzani nchini yafaa ashauriwe kuachana na mpango huo badala yake aendelee na mambo yake mengine ya maisha?

kwasababu ni vizuri tukaelezana ukweli kwamba mazingira ya siasa za Tanzania kwasasa yanamfavor sana mama Dr.Samia Suluhu Hassan, influence yake katikati siasa za kimataifa imemfanya Dr. Tulia Akson kua Rais wa shirikisho la mabunge duniani IPU, influence ya Dr. Samia ndio imemuweka Dr.Faustine kua mkurugenzi mtentaji mkuu wa WHO kanda ya Africa, lakini pia influence ya Dr. Samia itamfanya Raila Amolo Odinga kuwa Chairman wa Tume ya Umoja wa Africa AUC..

so,
influence ya Dr. Samia Suluhu Hassan Tanzania na katika siasa za kitaifa imejaa na kufurika ndani ya mioyo ya waTanzania wote, na kimataifa, influence ya Dr.Samia ni moto wa kuotea mbali, aisee dah!

atakae thubutu kumchalenge ataishia kupata fedheha na aibu tu kwa familia na chama chake kwenye sanduku la kura...🐒

Mungu Ibariki Tanzania
We jamaa akili huna
 
ili walau kiongozi huyo abaki na heshima aliyonayo hivi sasa aliyoijenga kwa muda mrefu sana, lakini pia kuepuka kufilisika uzeeni maana uchaguzi ni gharama sana.

lakini pia kuepuka kuaibisha ndugu, jamaa, marafiki na chama husika kwa kushindwa vibaya kwa fedhaha uchaguzi ujao. na zaidi sana pia kuepuka kupoteza muda, mali na nguvu ambazo huenda zingesaidia kwenye mambo mengine muhimu ya maisha n.k

lakini pia kuepuka mstuko ambao unaweza kutokana na matokeo mabaya ukilinganisha na matarajio makubwa, ambapo hali hiyo inaweza kusababisha changamoto za kiafya...

ni kiongozi gani wa upinzani nchini yafaa ashauriwe kuachana na mpango huo badala yake aendelee na mambo yake mengine ya maisha?

kwasababu ni vizuri tukaelezana ukweli kwamba mazingira ya siasa za Tanzania kwasasa yanamfavor sana mama Dr.Samia Suluhu Hassan, influence yake katikati siasa za kimataifa imemfanya Dr. Tulia Akson kua Rais wa shirikisho la mabunge duniani IPU, influence ya Dr. Samia ndio imemuweka Dr.Faustine kua mkurugenzi mtentaji mkuu wa WHO kanda ya Africa, lakini pia influence ya Dr. Samia itamfanya Raila Amolo Odinga kuwa Chairman wa Tume ya Umoja wa Africa AUC..

so,
influence ya Dr. Samia Suluhu Hassan Tanzania na katika siasa za kitaifa imejaa na kufurika ndani ya mioyo ya waTanzania wote, na kimataifa, influence ya Dr.Samia ni moto wa kuotea mbali, aisee dah!

atakae thubutu kumchalenge ataishia kupata fedheha na aibu tu kwa familia na chama chake kwenye sanduku la kura...🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ccm inaenda kuchakaa, 2025 ilo halina mjadala
 
Back
Top Bottom