kwa Neema na Baraka za Mungu nina hakika mpaka 2025 Dr.Samia Suluhu Hassan atakapokua anawashinda wanaume watu wazima pamoja na vibaraka wa mabwenyenye wa magharibi, nitakuepo kushuhudia hilo nashukuru Mungu kwa zawadi ya uhai na afya na kibali chake kwangu πHujui hata Kama kesho utaamka ila umekomalia uchaguzi mkuu wa mwaka kesho. Mnafiki Sana.
Samia Suluhu Hassanili walau kiongozi huyo abaki na heshima aliyonayo hivi sasa aliyoijenga kwa muda mrefu sana, lakini pia kuepuka kufilisika uzeeni maana uchaguzi ni gharama sana.
lakini pia kuepuka kuaibisha ndugu, jamaa, marafiki na chama husika kwa kushindwa vibaya kwa fedhaha uchaguzi ujao. na zaidi sana pia kuepuka kupoteza muda, mali na nguvu ambazo huenda zingesaidia kwenye mambo mengine muhimu ya maisha n.k
lakini pia kuepuka mstuko ambao unaweza kutokana na matokeo mabaya ukilinganisha na matarajio makubwa, ambapo hali hiyo inaweza kusababisha changamoto za kiafya...
ni kiongozi gani wa upinzani nchini yafaa ashauriwe kuachana na mpango huo badala yake aendelee na mambo yake mengine ya maisha?
kwasababu ni vizuri tukaelezana ukweli kwamba mazingira ya siasa za Tanzania kwasasa yanamfavor sana mama Dr.Samia Suluhu Hassan, influence yake katikati siasa za kimataifa imemfanya Dr. Tulia Akson kua Rais wa shirikisho la mabunge duniani IPU, influence ya Dr. Samia ndio imemuweka Dr.Faustine kua mkurugenzi mtentaji mkuu wa WHO kanda ya Africa, lakini pia influence ya Dr. Samia itamfanya Raila Amolo Odinga kuwa Chairman wa Tume ya Umoja wa Africa AUC..
so,
influence ya Dr. Samia Suluhu Hassan Tanzania na katika siasa za kitaifa imejaa na kufurika ndani ya mioyo ya waTanzania wote, na kimataifa, influence ya Dr.Samia ni moto wa kuotea mbali, aisee dah!
atakae thubutu kumchalenge ataishia kupata fedheha na aibu tu kwa familia na chama chake kwenye sanduku la kura...π
Mungu Ibariki Tanzania
Mtoa mada anatamani kufuuta Uzi ,asiweze.πSamia Hassan Suluhu.
Kila jambo na wakati wake,naomba Mungu anijalie utulivu nifunge mdomo
Amen
Ungeanza kutoa ushauri:-ili walau kiongozi huyo abaki na heshima aliyonayo hivi sasa aliyoijenga kwa muda mrefu sana, lakini pia kuepuka kufilisika uzeeni maana uchaguzi ni gharama sana.
lakini pia kuepuka kuaibisha ndugu, jamaa, marafiki na chama husika kwa kushindwa vibaya kwa fedhaha uchaguzi ujao. na zaidi sana pia kuepuka kupoteza muda, mali na nguvu ambazo huenda zingesaidia kwenye mambo mengine muhimu ya maisha n.k
lakini pia kuepuka mstuko ambao unaweza kutokana na matokeo mabaya ukilinganisha na matarajio makubwa, ambapo hali hiyo inaweza kusababisha changamoto za kiafya...
ni kiongozi gani wa upinzani nchini yafaa ashauriwe kuachana na mpango huo badala yake aendelee na mambo yake mengine ya maisha?
kwasababu ni vizuri tukaelezana ukweli kwamba mazingira ya siasa za Tanzania kwasasa yanamfavor sana mama Dr.Samia Suluhu Hassan, influence yake katikati siasa za kimataifa imemfanya Dr. Tulia Akson kua Rais wa shirikisho la mabunge duniani IPU, influence ya Dr. Samia ndio imemuweka Dr.Faustine kua mkurugenzi mtentaji mkuu wa WHO kanda ya Africa, lakini pia influence ya Dr. Samia itamfanya Raila Amolo Odinga kuwa Chairman wa Tume ya Umoja wa Africa AUC..
so,
influence ya Dr. Samia Suluhu Hassan Tanzania na katika siasa za kitaifa imejaa na kufurika ndani ya mioyo ya waTanzania wote, na kimataifa, influence ya Dr.Samia ni moto wa kuotea mbali, aisee dah!
atakae thubutu kumchalenge ataishia kupata fedheha na aibu tu kwa familia na chama chake kwenye sanduku la kura...π
Mungu Ibariki Tanzania
nazungumzia ushauri kwa wagombea mahususi wa urais upinzani gentleman, hayo mengine ni story for other day, right π€£Ungeanza kutoa ushauri:-
1-kutokuja na maboksi yenye kura tayari.
2-kuacha wapigakura wawe huru.
3-wakipiga kura wawepo na wakati wa kuhesabu.
4-watumishi wa umma (walimu,watendaji,wakurugenzi,TISS,polisi nk wakae pembeni)
5-kukimbia na maboksi ya kura iwe haramu.
6-mitandao ya kijamii/intaneti iwe hai/on muda wote.
7-matokeo yatangazwe bila vigugumizi.
Halafu ndiyo urudi hapa.Kama hautalia huku mdomo umekupanuka hadi unagusana na masikio.
Hakuna uwezekano wa kuifikisha hali hii kwa mhusika mkuu. Ingependeza
Utawashauri nini wagombea wakati mazingira na sheria za uchaguzi si rafiki kwao?Wewe acha kuzunguuukaaa na kuona wanaJF ni mbugilautini.Ungeandika tu,mnamshauri nini............ anayetarajiwa kuwa mgombea wa chama fulani/pinzani?Na ninajua umemlenga nani anayekutesa na kukuacha na uoga utadhani unatazama filamu ya kutisha peke yako gizani/horror movie.nazungumzia ushauri kwa wagombea mahususi wa urais upinzani gentleman, hayo mengine ni story for other day, right π€£
Umebobea katika Ujinga.mie sio mtoa mada tu, bali pia ni mkufunzi mbobevu mwandamizi,
na kwahivyo siwezi kutamani kua mshirikina kama ulivyo na mwenye Imani potofu kama yako π
nadhani ni muhimu kupendana,Utawashauri nini wagombea wakati mazingira na sheria za uchaguzi si rafiki kwao?Wewe acha kuzunguuukaaa na kuona wanaJF ni mbugilautini.Ungeandika tu,mnamshauri nini............ anayetarajiwa kuwa mgombea wa chama fulani/pinzani?Na ninajua umemlenga nani anayekutesa na kukuacha na uoga utadhani unatazama filamu ya kutisha peke yako gizani/horror movie.
relax tuliza mihemko,Umebobea katika Ujinga.
Kiongozi anayefukuza raia wake Ngorongoro agombee Ili iweje?
Kama uliweka mkono wako shavuni kama stendi ya bodaboda unamuwaza mtu fulani ni dhaifu akigombea dhidi ya umtakae,hauoni ni faraja kubwa sana kwako?Wenye akili wangekushauri utulie ili ashindwe ufurahi.Kwani umekaa na akina nani hapo jirani yako hadi wanakwama kukushauri?nadhani ni muhimu kupendana,
sasa kwa mfano unamuona kabisa mtu fulani haiwezi kufua dafu kwa namna yoyote hata kufanya kampeni mikoa miwili tu nchini, unampamba eti anakubalika na anaweza kua mshindi wa Urais kweli?π€£
tuwe wangwana, tushauriane mambo ya maana katika muda na wakati muafaka ndrugu zango,
tuambiane tu ukweli π
Kazi imekuwa ngumu sana hii unayo fanya humu JF. Sasa inakuonyesha kuwa juha tu aliye changanyikiwa!mie sio mtoa mada tu, bali pia ni mkufunzi mbobevu mwandamizi,
na kwahivyo siwezi kutamani kua mshirikina kama ulivyo na mwenye Imani potofu kama yako π
If you can't fight them, join them!relax tuliza mihemko,
if you can't fight them join them ni kanuni muhimu mno ya mapambano na kuepusha matatizo ya kiafya hususani kiakili, jitafakari π
hata gari jipya akitaka nadhani CCM wako tayari kumpatia,If you can't fight them, join them!
Kumbe ndio sababu kuu ya CCM Kutoa pesa kwenye chama kumchangia Lissu Kwakuwa mnamwogopa sio!!