Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
- Thread starter
-
- #61
Mkuu, kuna watu ambao wanapaswa kulazimishiwa kufanya mambo ya msingi. Usipowalazimisha huwa hawafanyi. Mfano kuna mahali usipoweka matuta wenye magari wanagonga watembea kwa miguuu, so tuache atakaye asimame asiye taka atembee?Saidia wewe kama wewe kuepuka hiyo laana!
Msaada haulazimishwi. Unafikiri Baraka itatoka wapi Kwa hao so called wahitaji. Kama watoaji wana manung'uniko na malalamiko na mahangaiko mioyoni mwao!??
Umejaliwa toa wewe na jamaa zako. Watanzania niwaache kwanza, tumeshatoa vya kutosha, nimetoa laki 6 wamenikata ,elfu nane na ushee! Tozo my foot!
Tatizo ni kwamba kuna vitu hata kama ni vizuri, ukivifanya peke yako havitatatua tatizo la msingi, ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mkono, masuala ya namna hiyo yanahitaji maamuzi ya kisera na kila mtu awajibike kufuata sera.