Hoja nzuri ila watakao pewa dhamana yakuratibu Jambo hili akina mwigulu jamuari na nape nadhan zile toza za miamala zimenunua DTB FC
HIZ za masikini zitanunua marefa na tff
CCM tuitoe Kwanza madarakani halafu leta hoja hii
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app