Mkuu, katiba mpya kwenye jamii corrupt haiwezi kusaidia sana. Kwa mfano una jamii inayoamini kuwa wizi ni ujanja, katiba mpya itasaidiaje?
Katiba mpya itasaidia kwa kuwaadhibu wezi bila upendeleo kama ilivyo sasa!! Athabu zitakazotolewa kama ile Katiba ya wananchi ikipitishwa ni kwamba haitajali kama ni matoto wa Kikwete au wa Masanja wakikamatwa na NGADA wote wataadhibiwa kufuatana na sheria.