mbona kwenye setting ya Whatsaap hiyo hiyo mkuu " unapata...ila ukitoa blue tick "" hata wewe unakuwa hauoni blue tick toka kwa mwenzio...pia waweza "" kuamua ..unataka watu wangapi ambao watakuwa wanaiona dp yko...""Hiyo option iko wapi mkuu?au ndio kwenye GB whatsapp?
Ipo boss mpaka picha pia hawaoniMi natak wale ambao sijasave namba zao wasione stastus zangu ipo hiyo owenye Gb
Sasa Gb unatoa watu wasione tick zako ila ww unaona zaombona kwenye setting ya Whatsaap hiyo hiyo mkuu " unapata...ila ukitoa blue tick "" hata wewe unakuwa hauoni blue tick toka kwa mwenzio...pia waweza "" kuamua ..unataka watu wangapi ambao watakuwa wanaiona dp yko...""
praystore. Ndio utumbo gani huumkuu Gb whatspp ipo praystore?
hiyo ..nyoko" ngoja niitafute ..."Sasa Gb unatoa watu wasione tick zako ila ww unaona zao
mkuu nimakosa madogodogopraystore. Ndio utumbo gani huu
sawa hongeramimi nilishaachana na mambo ya smartphone mkuu,old way is my way,natumia tu kitochi...nilichoka kuwa mtumwa wa teknolojia isiyo na tija maishani mwangu...but now nipo huru na kitochi changu cha nokia...nafurahia,siwazi chaji wala mambando tunayoibiwa kila kukicha..
Haipo Google ina privacy kubwa sana tofauti na WhatsApp ya kawaidamkuu Gb whatspp ipo praystore?
Shida yake sms haziingii on-time, hadi uilaunch app ndio sms zinaingiaTafuta Gb whatsapp itatatua shida yako ina privacy nyingi sana
Kwangu ni kiarabuHio Gb WhatsApp kama sio mtaalamu itakusumbua sana wakati wa kui update maana inatumia kichina
Na Jamii forum umecoment na kitochi chako cha Nokia mkuu..mimi nilishaachana na mambo ya smartphone mkuu,old way is my way,natumia tu kitochi...nilichoka kuwa mtumwa wa teknolojia isiyo na tija maishani mwangu...but now nipo huru na kitochi changu cha nokia...nafurahia,siwazi chaji wala mambando tunayoibiwa kila kukicha..