Kuepuka lawama situmii tena WhatsApp

Hii comment umetuma na kitochi mkuu? 😛
 
Shida yake sms haziingii on-time, hadi uilaunch app ndio sms zinaingia
Inategemeana kuna settings nyingine wanakuambia kbsa sms will delay hasa ukiondoa blue ticks
 
Hili chambo nishamaliza kabisa ..my WhatsApp ina contact 7 tyu za muhimu .. niliwai kuwa na contact 190 hazina faida ..huwasiliani nao ata mwezi kumalizana mb na status ,,chagua uamuzi sahihi chagua watu wakukuzunguka
 
nina nokia yangu n73 naitumia kuingia jf kama kawa, tangu waliponipiga samsung yangu A7 ya 2017 sina hamu kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…