Kuepuka lawama situmii tena WhatsApp

Kuepuka lawama situmii tena WhatsApp

ukinirahisishia wewe utapungukiwa nini
mimi nilishaachana na mambo ya smartphone mkuu,old way is my way,natumia tu kitochi...nilichoka kuwa mtumwa wa teknolojia isiyo na tija maishani mwangu...but now nipo huru na kitochi changu cha nokia...nafurahia,siwazi chaji wala mambando tunayoibiwa kila kukicha..
 
mimi nilishaachana na mambo ya smartphone mkuu,old way is my way,natumia tu kitochi...nilichoka kuwa mtumwa wa teknolojia isiyo na tija maishani mwangu...but now nipo huru na kitochi changu cha nokia...nafurahia,siwazi chaji wala mambando tunayoibiwa kila kukicha..
Very true mkuu.
 
Gbwhatsap ina future tele mpaka unaweza kutoa blue tick au second tick mtu anajua text haijasomwa au kufika kumbe umeshaisoma na kumvungia
 
32321872_944377365744128_7503388478353178624_n.jpg
 
Simu yako mwenyewe,line yako,bando lako iweje ujikalifishe nafsi,kwani lazima kumjibu,mi nikiamua sikujibu text wala calls na huniambii chochote na tukikutana mtaani nakuwekea tinted vilevile,hata kama unanidai,ukitaka nikujibu nininulie simu na uniwekee kifurishi,lakini sio unletee utawala wako kwenye mali yangu.
Wewe upo kama mimi
 
Gbwhatsap ina future tele mpaka unaweza kutoa blue tick au second tick mtu anajua text haijasomwa au kufika kumbe umeshaisoma na kumvungia
Mi natak wale ambao sijasave namba zao wasione stastus zangu ipo hiyo owenye Gb
 
Hamna kitu kinanikera kama

“nakuona online”,
“[emoji848] blue tick no reply”,
“mzee baba unasoma meseji zangu hujibu”

Ninaudhika sana hivyo nimeamua sitaki tena whatsapp tuma meseji ya kawaida kama ina umuhimu nitajibu kama haina hutakuwa na uhakika hata kama nimeona
Kuna option ya kuonekana dormant kumbe uko online
 
Hamna kitu kinanikera kama

“nakuona online”,
“[emoji848] blue tick no reply”,
“mzee baba unasoma meseji zangu hujibu”

Ninaudhika sana hivyo nimeamua sitaki tena whatsapp tuma meseji ya kawaida kama ina umuhimu nitajibu kama haina hutakuwa na uhakika hata kama nimeona
Ukitaka unaseti usionekane online wala hizo ticks asizione mtu, ila ujue na wewe hutoona za mtu mwingine yoyote!
 
Polee sana Mkuu,ukiona hivyo unajiongeza tu,kwamba huyoo mtu hataki umtumie msg ndio maana anakukazia na wewe unakausha!

Kwahiyo mtu mmoja anakufanya uache kutumia WhatsApp?
Akikujibu nitag Mkuu!
 
Tumia sanduku la Posta. Hakuna hata atayekuwa na uhakika kuwa barua yako imefika...
 
Polee sana Mkuu,ukiona hivyo unajiongeza tu,kwamba huyoo mtu hataki umtumie msg ndio maana anakukazia na wewe unakausha!

Kwahiyo mtu mmoja anakufanya uache kutumia WhatsApp?

Mimi ndiye sitaki kuwajibu maana mimi nikiona hujibu text nakupandia hewani tumalizane, au inatokea mtu unakuwa busy lakini kisa anakuona online, au blue tick wanakuwa na lawama
 
Back
Top Bottom