Halafu mtu kama wewe unajisifu umeenda shule!?
Teh teh teh teh!
Afadhali nimedaka hapa unaandika utumbo! Ntauhifadhi huu utumbo siku nyingine ukileta yale majigambo yako ya kusema wewe msomi!
Radi ya jogoo my foot!
Usitake kuthibitisha ujinga wako hapa. Mara zote -------- huzunguka akitafuta neno moja ang'ang'ane nalo hilo. Logic kwake ni sifuri.
Nimeandika kuthibitisha kwamba alichosikia mleta mada hata mimi nimekishuhudia huko Shinyanga. Halafu taahira mmoja ambaye kazi yake ni kuchafua hoja za watu jamvini anajaribi kuleta spinning. Hicho kichwa umeshikiwa na jeshi lililo nyuma yako. You need Jesus Christ.
Thanks kwa ufafanuzi mzuri na wa wengine wote walionielewa nililotaka kufahamu.Wanyama wana uwezo mkubwa wa ku-sense natural disasters.Kukiwa na radi inataka kupiga eneo kondoo huanza kubadilika tabia akienda huko na huko kwa hasira ya mapigano mara ingine kugonga miti.ukiona yuko hivyo radi inataka kupiga eneo hilo usikae chini ya mti wowote kukokoa maisha yako na kama uko karibu na daraja kaa mbali nalo. Wachungaji wa mifugo kondoo kawasaidia mara nyingi kujua ujio wa radi na namna ya kujiokoa.
Wakati wa Elnino kabla haijatua kule Asia wanyama kama nyoka,mbwa na paka na wanyama wa mwituni walianza safari ya kutoroka kutoka maeneo tambarare na na kuanza kuhamia milimani ilikuwa ni mass exodus ya wanyama ambayo watu waliona tu kama kituko cha wanyama wakieelekea kwenye miinuko lakini watu hawakujali kuwa ni kwa nini wamekuwa hivyo.Elnino iliposhuka watu wengi walikufa .Watu wangewahi kufuatana na wanyama pengine vifo vingepungua.
Kukiwa na nyoka mfano hatari mahali mbwa ana uwezo wa ku-sense na kubadilisha tabia na mlio na wanyama kama ng`ombe kukiwa na kitu fulani hatari jirani kikubwa hunyanyua mikia juu na kuruka kwa nguvu kwa hasira.Ukiona hivyo mwenye mifugo unatoka na silaha tayari kwa mapambano.
Kondoo ni mnyama atumikaye kwa matambiko na makafara kwa dini zote na washirikina pia.Kwa sababu za miiko kuna mambo siwezi kueleza uwezo mwingine kondoo alionao na anavyotumika ila ninachoweza kusema ni kuwa radi haiwezi piga kondoo milele.Kondoo hapigwi na radi hata siku moja.Radi ni mtoto mdogo kwenye kichwa cha kondoo.
Nami nichangie kama huyu bwana aliyetoa ufafanuzi wa viumbe namna vinvyoweza kutambua yaliyopo mbele katika mazingira yake(natural setting) nikiwa mdogo enzi za kuchunga nilielekezwa na babu kuwa ikianza mvua ukaona kondoo anapiga vichwa miti na hataki kuondoka wewe mwache hapo hapo swaga ng'ombe ondoka! Sasa kuna matukio kama mawili hivi nayakumbuka, nikiwa machungoni, kulianza dalili za mvua na muungurumo wa radi, kukawa kunatokea ile hali ya kondoo kubadilika na kuwa mbishi na mara anajikunyata then anajirusha kwa staili ya kushambulia. Baadaye kidogo nilipoondoka mazingira hayo kwa mbali zilitokea sauti kuubwa zilizoambatana na miale ya radi Ambapo mti uliokuwepo eneo karibu na kondoo yule ulichanwachanwa vipande vipande lakini kondoo hakupata jeraha na alirejea mwenyewe baada ya muda mrefu tangu mvua kwisha.Thanks kwa ufafanuzi mzuri na wa wengine wote walionielewa nililotaka kufahamu.
Nimekupata vizuri sana Mlendamboga nazidi kupata upeo.Nami nichangie kama huyu bwana aliyetoa ufafanuzi wa viumbe namna vinvyoweza kutambua yaliyopo mbele katika mazingira yake(natural setting) nikiwa mdogo enzi za kuchunga nilielekezwa na babu kuwa ikianza mvua ukaona kondoo anapiga vichwa miti na hataki kuondoka wewe mwache hapo hapo swaga ng'ombe ondoka! Sasa kuna matukio kama mawili hivi nayakumbuka, nikiwa machungoni, kulianza dalili za mvua na muungurumo wa radi, kukawa kunatokea ile hali ya kondoo kubadilika na kuwa mbishi na mara anajikunyata then anajirusha kwa staili ya kushambulia. Baadaye kidogo nilipoondoka mazingira hayo kwa mbali zilitokea sauti kuubwa zilizoambatana na miale ya radi Ambapo mti uliokuwepo eneo karibu na kondoo yule ulichanwachanwa vipande vipande lakini kondoo hakupata jeraha na alirejea mwenyewe baada ya muda mrefu tangu mvua kwisha.
Inaelezwa kuwa kichwa cha kondoo ukikipasua ambayo pia nimeshuhudia kuna wadudu wawili kwa lugha ya kawaida vijijini tunaita mafilifili ambao hawa wanamwezesha kuona mambo yaliyobeyond sayansi zetu za chemistry is a branch of...... Na kwa maelezo ya mchangiaji nikiunganisha na yale matukio naipata ile picha ya namna kondoo yule alivyokuwa akikusanya nguvu na kujitupa kwa kugonga kichwa kwenye mti, tukio la pili wakati anafanya hivyo kujitupatupa, ng'ombe dume alijipendekeza baaasi alipigwa kichwa kimoja akalala kifo cha mende hadi kifo! Kilichoendelea ni kwensa kutoa taarifa nyumbani! Hapo ni mkoa wa Iringa nayakumbuka haya!
Thanks you've put it more scintifically CYBERTEQ,nimeipenda.Ni imani tu ya wafugaji kwa sababu ni mara chache sana kondoo kuuwawa kwa radi!
"A horse can get zapped by less than 2,000 volts and will almost never try the fence again, whether its turned on or not. 2,500 volts will easily turn a cow but you better have a good 4,500 volts to even get a sheeps attention"
sidhani kama ni kweli , unajua kondoo huwa hapendi mvua impige usoni na ndiyo maana anaainamisha kichwa chini , na pindi anaposikia kitu cha kumshtua aidha mwanga au mlio huwa ana mtindo wa ku react na kusogea mbele , sasa in local belief wanadai ame fight na radi kumbe hamna lolote zaidi ya mawenge tu ya kondooHonestly,hata mm nmewah kuckia hlo inaweza ikawa kweli ni kweli radi inavyokuwa inapiga wale kondoo wanarudi kinyumenyume
inaweza ikawa
Badala ya kutumia Lightning Conductor kuna umuhimu wa kutumia kondooo sasa
Makanyaga huyo Nyenyere anaonekana anatumia yale majani yalioharamishwa.
Sasa akishakula ile maneno anaona vitu vya ajabu ajabu. Juzi hapa alisema kaenda kumpoke yesu! Nikamuuliza je kaja kwa basi au treni. Akaanza matusi!
Huyu jamaa wazee wake wameshapata hasara kubwa sana!.
Faida hakuna kazi kujaza choo tu.
Mkuu bona nashukuru kuwa na wewe umemsoma huyo mwana JF mwenzetu alivyo na kashfa za kishamba!hata we ni bingwa wa matusi ulisema mungu wako sijui anaitwa allah vile kama sikosei eti akishaaamua upate ajali lazima upate nikakuuliza mungu wako hakupendi au vipi hadi anataka kukuumiza tu utake ustake ukaanza matusi how dare uku una waacuse watu kua ni wavuta bangi kwa kuongea matusi ina maana na wewe unapotukanaga unakua umevuta bangi???
sidhani kama ni kweli , unajua kondoo huwa hapendi mvua impige usoni na ndiyo maana anaainamisha kichwa chini , na pindi anaposikia kitu cha kumshtua aidha mwanga au mlio huwa ana mtindo wa ku react na kusogea mbele , sasa in local belief wanadai ame fight na radi kumbe hamna lolote zaidi ya mawenge tu ya kondoo
yes mkuu, ni vigumu pia kwa great thinker kuamini kwamba mtu anaweza kupigwa radi wakati wa jua kali bila wingu hata moja.kweli jf ni ya great thinkers!
hata we ni bingwa wa matusi ulisema mungu wako sijui anaitwa allah vile kama sikosei eti akishaaamua upate ajali lazima upate nikakuuliza mungu wako hakupendi au vipi hadi anataka kukuumiza tu utake ustake ukaanza matusi how dare uku una waacuse watu kua ni wavuta bangi kwa kuongea matusi ina maana na wewe unapotukanaga unakua umevuta bangi???