hahaha hahaha zis iz real xtreemly unfair tena kwa mnyama hasiye na hatia kama kondo, kulala chini nyuma yake...!!!!!? ever seen such kind ov "sayansi pori"Kondoo hana uwezo wa kuzuia radi ila amepewa kipawa cha ku sense uelekeo/ujio wa radi na coverage area ya eneo litakaloathiriwa! hivyo anachofanya ni ku hedge/kujkianga na madhara ya radi yasimdhuru.
ndio maana kwa sisi wafugaji wazee wetu walitushauri kuwa wepesi wa kuangalia uelekeo wa kondoo pindi vua inaponyesha i.e unashauliwa kulala chini nyuma ya kondoo ktk tukio la radi.
Wakati naishi kijijini tulikuwa tunaambiwa radi huja kwa kupitia maskioni na puani.
Kujikinga na radi mvua ikianza tu, tunaambiwa kukaa chini na kuziba maskio, hadi leo nimeathirika, haijalishi najua vingapi ila mvua ikinyesha ya radi sipendi kusimama simama, nataka nikae chini au kulala.
173 sheep killed by lightning|Society|chinadaily.com.cnWana JF wenzangu, kuna kipindi nilipokuwa likizo nilitembelea mikoa ya Dodoma,Singida,Manyara na Arusha,nilichokigundua ni kuwa wafugaji karibu wote wa Ng'ombe wanakuwa na kundi la Kondoo, nilipouliza niliambiwa kuwa Kondoo wanasaidia kuzuia Radi,mwenye ufahamu wa kina naomba anifafanulie utaalamu uliopo nyuma ya hii kitu.
Teh teh teh teh!
Deedat !
We mtu mbaya sana!
Unataka huyu anty apigwe na mumewe!
(Matthew 5:22) - "But I say to you that everyone who is angry with his brother shall be guilty before the court; and whoever says to his brother, 'You good-for-nothing,' shall be guilty before the supreme court; and whoever says, 'You fool,' shall be guilty enough to go into the fiery hell.
Fools!
thanks,
UNAJUA YESU HAKUKOSEA ALIPOSEMA
Everyone will salted in fire Mark 9:49
Hapo hakujitoa yeye mwenyewe kwa sababu aliwaambia mtu yeyote anayemwita mwenzake Fool huyo atakuwa guilty to go in hell Mathew 5:22
Halafu Yeye mwenyewe anawaita watu FOOLS
Jesus even said the Pharisees and scribes were fools in Matthew 23:17
Na huyo Boss Paulo ndiye kinara wa kuwaita wagalatia fools
Paul told the Galatians they were foolish (Galatians 3:1)
KUMBE NYOTE NI MOTO NA HUYO UNAYEMUABUDU ATAJIMALIZA KWA KUJIBAKA MACHUMVI NA KUJIWEKA MOTONI ,
TERMINATOR 2
We jamaa nawe..uwe unascan maneno yako kabla hujaandika. Hivi unajua kuna elimu ambayo ipo ila haifundishwi? Am sure hata wewe huijui, just have a look on metaphysics which in phylosophy is a bit explained.
Usiwe kama sisimizi anaejua dunia ni kama tembo, vitu unavyosoma class is <10% of knowledge on Earth bro, nimetoa mf wa metaphys ila ziko nyingi sana sana, usilimit mawazo yako kiasi hicho u are wrong
I was wrong to say a thunder can not be a Cockerell? ?
Wewe na huyo mnafiki Nyenyere kaaeni na hizo elimu zenu za kishirikina!
Lkn usije kudanganya watu hapa kuwa radi huwa inageuka jogoo!
Metaphysics my foot!
Basi toka uliskia kuna kitu inaitwa metaphysics.! Unaambua kuandika utumbo tu ili wale wakulima kama wewe wakuone msomi.
Utawadanganya hao wa kijijini kwako.
Hapa kuna wasomi wa.kweli!
Mkuu punguza jazba, kwani ukiandika kwa ustarabu kuna shida gani? Kwani wewe unajua elimu zote za hapa duniani? Watch out ur words, haihitaji hasira ama kutunisha misuli mkuu
So kuambiwa 10% ndio shida? Loh pole sana ikiwa umejiskia vby. Huenda nilikosea kusema hulo(ambalo huenda wengi hatujijui) so una haki ya kuwa upset.
Back to the matter kwa kuanzia tu nimetumia mfano wa metaphysics ambayo iko defined kama
"a traditional branch of philosophy concerned with explaining the fundamental nature of being and the world that encompasses it," although the term is not easily defined.
What is metaphysics got to do with a "Cockerell thunder? ?"
R u on that" Christmas drinking competition"??
Wewe ni tatizo!
hadithi hadithi, hadithi njooooo, uwongo njooo utamu koleaaaa.:iamwithstupid: