Kuepuka Radi kwa kufuga Kondoo

Status
Not open for further replies.
hahaha hahaha zis iz real xtreemly unfair tena kwa mnyama hasiye na hatia kama kondo, kulala chini nyuma yake...!!!!!? ever seen such kind ov "sayansi pori"
 

Kukaa chini au kulala chini inaweza ikasaidia kiasi chake kama radi inapiga karibu na maeneo ambayo wewe upo.
Charge za radi zinaposhuka chini huwa zinatafuta better conductor than air,na zinatumia hizo conductor kuingia ardhini. Sasa kama wewe ukiwa ndie mrefu kupita vitu vyote vinavyokuzunguka jua hizo chaji zitakutumia wewe kuingia ardhini, na zinapopitia kwenye mwili wako zikiwa nyingi zinaweza kukukausha.
Ndio maana unaambiwa ni hatari kuwa kwenye jangwa wakati wa radi.

unaweza kukadiria umbali kutoka kwenye source ya radi na ulipo kwa kuhesabu tofauti ya sekunde kuanzia pale unapoona mwanga wa radi hadi pale unaposikia mlio. ukiona almost mwanga na mlio vinakufikia kwa pamoja na almost hakuna gape la muda, ujue source ya radi ipo karibu na wewe. haswa ukizingatia mwanga unasafiri haraka mno kuliko sauti.
Ukiona kuna interval kubwa ya sekunde kati ya mwanga na mlio ujue kuwa source ya radi ipo mbali.
 

Fools!
 
!
!
sie radi alikuwa yule mnyama wa agip mwenye miguu sita na anatoka moto mdomoni, sas@ kondoo ndio walikuwa wanapambana nae japo sie kwa macho ya kawaida huwa hatumwoni
 


thanks,

UNAJUA YESU HAKUKOSEA ALIPOSEMA

Everyone will be salted in fire Mark 9:49


Hapo hakujitoa yeye mwenyewe kwa sababu aliwaambia mtu yeyote anayemwita mwenzake Fool huyo atakuwa guilty to go in hell Mathew 5:22


Halafu Yeye mwenyewe anawaita watu FOOLS

Jesus even said the Pharisees and scribes were fools in Matthew 23:17

Na huyo Boss Paulo ndiye kinara wa kuwaita wagalatia fools

Paul told the Galatians they were foolish (Galatians 3:1)


KUMBE NYOTE NI MOTO NA HUYO UNAYEMUABUDU ATAJIMALIZA KWA KUJIPAKA MACHUMVI NA KUJIWEKA MOTONI ,

TERMINATOR 2
 

Teh teh teh teh!
Maalim Gavana mi sitii neno hapa.
Wagalatia hawa hakuna haja ya kuwa na mwingine wa kuwakumbusha.
Peke yako unawatosha.

Walichobakiza ni matusi tu! Hoja zote zimeisha!
Teh teh teh teh!

Huyo kibaka aliyesema KAONA radi kama jogoo alikuwa kaisha vuta zile bangi za kisukuma!
Sasa kaona jogoo wanapigana bangi ikamtuma kuwa mmoja ni kondoo na mmoja ni RADI!

kwi kwi kwi kwi kwi!

Mchumbawane Nyenyere yale mabange makoye gete!!
Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Zilikuwa ni myth za utotoni..nahisi kuna kitu walikuwa wana avoid
 

I was wrong to say a thunder can not be a Cockerell? ?
Wewe na huyo mnafiki Nyenyere kaaeni na hizo elimu zenu za kishirikina!

Lkn usije kudanganya watu hapa kuwa radi huwa inageuka jogoo!

Metaphysics my foot!
Basi toka uliskia kuna kitu inaitwa metaphysics.! Unaambua kuandika utumbo tu ili wale wakulima kama wewe wakuone msomi.

Utawadanganya hao wa kijijini kwako.
Hapa kuna wasomi wa.kweli!
 
Last edited by a moderator:

Mkuu punguza jazba, kwani ukiandika kwa ustarabu kuna shida gani? Kwani wewe unajua elimu zote za hapa duniani? Watch out ur words, haihitaji hasira ama kutunisha misuli mkuu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu punguza jazba, kwani ukiandika kwa ustarabu kuna shida gani? Kwani wewe unajua elimu zote za hapa duniani? Watch out ur words, haihitaji hasira ama kutunisha misuli mkuu

Nadhani kama wewe ungeonyesha huo ustaarabu kwanza. Ungekuwa na haki zote za kuyasema hayo hapo juu!
Who are you to tell me that "I have only <10% of world knowledge? ?

You know NOTHING about me!

So if you cant take it! Dont bring it!
 
So kuambiwa 10% ndio shida? Loh pole sana ikiwa umejiskia vby. Huenda nilikosea kusema hulo(ambalo huenda wengi hatujijui) so una haki ya kuwa upset.
Back to the matter kwa kuanzia tu nimetumia mfano wa metaphysics ambayo iko defined kama
"a traditional branch of philosophy concerned with explaining the fundamental nature of being and the world that encompasses it," although the term is not easily defined.
 

What is metaphysics got to do with a "Cockerell thunder? ?"

R u on that" Christmas drinking competition"??
 
kuna wa2 hawawez kuchangia bila ya kuleta udini. kahtaan akiongoza na jazba zake
 
hadithi hadithi, hadithi njooooo, uwongo njooo utamu koleaaaa.:iamwithstupid:

nina hakikamumezaliwa pembeni yako kuna fesibuku, twiter, instagram na hujui hata kondoo ana sura gani. I can't real can't say how anapambana lakini i have seen it by my naked eyes kondoo anapambana sana na radi. Utamuona anaanza kurudi kinyumenyume kama anapigana na mwenzake na baadae utaona bonge la radi.mijini hamna radi na ndiko kwenye jf lakini kijijini kuna mambo ya ajabu na kushangaza.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…