Kuepusha majengo kuanguka hivyo; Itungwe Sheria ya nyumba na kanuni za ujenzi

Tatizo sio Sheria mkuu,lakin wanaosimamia hzo Sheria mfano mtu anataka kujenga kaenda kuchukua hyo permit siku ya mwanzo kapewa lakn hao wanao mpa hyo permit wako ofisin na hata wakija site wanakuja cku moja2 hawanawez kurud tena Kufatilia huyu hilo jengo kuwa limejengwa kulingana na makubaliano au vigezo vilivyowekwa.hvo nn kifaynike n kila mtu anae husika kuwajibika Kwa upande wake kulingana na taaluma yake
 
Kuanzia Bunju Mianzini hadi daraja la Mapinga linalotenganisha mkoa wa Dar es Salaam na Pwani ni kilometres 6, lakini kuna vituo 9 au 10 vya mafuta. This is terrible
 
Sheria ipo. Soma humu nimeiattach sheria na kuchambua

 
Kabla ya kujenga nyumba, (gororora), udongo hupimwa wa eneo husika na kuchunguza uhimilivu wa jengo kwa mahesabu ya mchoro wa jengo, zoezi linatakiwa lifanywe na wataalamu waliosomea kwa muda mrefu
 
Kabla ya kujenga nyumba, (gororora), udongo hupimwa wa eneo husika na kuchunguza uhimilivu wa jengo kwa mahesabu ya mchoro wa jengo, zoezi linatakiwa lifanywe na wataalamu waliosomea kwa muda mrefu
Absolutely
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…