Kufa kiume kunauma sana πŸ˜€πŸ˜€

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🐸🐸🐸🐸🐸
 
Yanga wamekufa kiume
Hapana mwaka jana Simba walikufa kiume uwanjani wakati mwaka huu Yanga ilidhulumiwa mchana kweupe.

Kwa mwaka halina ubishi Simba wamelishwa chuma safi: ilikuwa ni haki yao kwani ndiyo timu pekee iliyoingia robo fainali bila kuwa bingwa wa nchi yoyote.
 
Udhulumiwe mchana au gizani haibadilishi kuwa umetolewa hatua ya robo fainali nyingne ni mbwembwe tu ila record zinabaki kuwa uliishia robo huo ndio mpira
Yanga wamepambana na wamekufa kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…