Kufa kiume kunauma sana 😀😀

Kufa kiume kunauma sana 😀😀

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Yaani nyie nyuma kuna mwiko mlijua mtamtoa mtoto wa raisi kirahisi hivyo, mcheza kwao hutuzwa, nyie bado ni wadogo sana kupewa lile goli 😀

Safi sana refa umetuondolea makelele hapa town.

272E300E-08EF-476D-8667-57DBF2DDFC75.jpeg
 
Yanga wamekufa kiume
Hapana mwaka jana Simba walikufa kiume uwanjani wakati mwaka huu Yanga ilidhulumiwa mchana kweupe.

Kwa mwaka halina ubishi Simba wamelishwa chuma safi: ilikuwa ni haki yao kwani ndiyo timu pekee iliyoingia robo fainali bila kuwa bingwa wa nchi yoyote.
 
Hapana mwaka jana Simba walikufa kiume uwanjani wakati mwaka huu Yanga ilidhulumiwa mchana kweupe.

Kwa mwaka halina ubishi Simba wamelishwa chuma safi: ilikuwa ni haki yao kwani ndiyo timu pekee iliyoingia robo fainali bila kuwa bingwa wa nchi yoyote.
Udhulumiwe mchana au gizani haibadilishi kuwa umetolewa hatua ya robo fainali nyingne ni mbwembwe tu ila record zinabaki kuwa uliishia robo huo ndio mpira
Yanga wamepambana na wamekufa kiume
 
Back
Top Bottom