Uchaguzi 2020 Kufa kwa Sekta Binafsi na Makampuni ya Ujenzi ya ndani ndio kunanifanya nimpe kura Lissu

Uchaguzi 2020 Kufa kwa Sekta Binafsi na Makampuni ya Ujenzi ya ndani ndio kunanifanya nimpe kura Lissu

Magufuli anachojua ni kutumia vyombo vya dola kutisha wawekezaji ambao anaona hawapo katika mrengo wake .
Alimtisha Manji akaondoa huduma zake za Kibiashara.
Zakaria wa Tarime na mke wake wote wapo ndani.
Alipoingia akamtisha Bakheresa akalipa kodi bilioni 1...mzee akakubali tu alipe wakati hadaiwi kodi.
Akamtishia Diallo rafiki yake Lowasa akamfungia kituo chake cha utangazaji cha Sahara media.
Akampiga mkwara Mo Dewji ,akamteka kijana wa watu akatoa mkopo wa mabilioni watu walipe korosho.
Bado haitoshi aka dili na Mzee Shamte hadi mzee wa watu akaaga dunia akiwa jela.
Orodha ni ndefu ila huyu mrundi hafai hata kidogo.

Hongera sana kwa kutunga uwongo, na nadhani unapaswa kupewa kikombe.
 
Mpaka 2015 private sectors zilikuwa zinashamiri. Jakaya aliacha mazingira mazuri na bora kabisa kwa sekta binafsi kukua na kuboreka. Ila tokea 2016 makampuni ambayo idadi yake haijulikani yamefungwa katika nchi hii, na bado yanaendelea kufungwa. Vijana lukuki wamepoteza ajira katika makampuni hayo.... na wale ambao walijiajiri kwa kufungua makampuni kwa sasa wanalia kilio cha kusaga meno, baada ya kuwindup makampuni yao....

Nilikuwa naongea na Mwanasheria moja jana anasema kazi nyingi anazopata kwa sasa ni kuwindup makampuni. Kwa mwezi anawindup makampuni 46-50 na kwa upande mwingine anafungua 2-3 tu. Sasa cheki hiyo ratio mwenyewe uone.. The private sector is tottaly dead!. Na ndio sector ambayo ingechukua vijana wengi hasa wahitimu wa vyuo. UD inamwaga kila mwaka, UDOM inamwaga kila mwaka, Mzumbe, Tumaini, Muhimbili, TIA na wengine wengi. zaidi ya vyuo 40.... Sasa vijana hao wote hawawezi kuajiriwa sijui na SUMA JKT, TBA,NHC ambao kwa sasa ndio wanafanya kazi zote mpaka za kufagia barabara wakati hizo zilikuwa ni kazi za vikundi vya wanawake na vijana katika mitaa chini ya usimamizi wa Halmashauri.

Jakaya kipindi anatoka aliacha makampuni ya ujenzi ya ndani yalioweza kushindana na Wachina kibao. But look now they are all dead. Kivipi, TRA Kuwabambikizia kesi za madeni, kazi kubwa zote wamechukua makampuni ya nje, kazi za ndani zote za serikali anafanya SUMA JKT, TBA, NHC, mpaka na Magereza. Is simpe local contractors can not survive in that circumstance. Ok!.. Mpaka yale maujenzi ya Halmashauri wameleta mfumo wa Force Account ambao ni ulaji wa watu wa manunuzi bila kujua wanauwa private sekta... Tuliona enzi za Jakaya akipambana kuweka mazingira bora, ndio maana tukaona wazawa wakiflourish kama vile SKOL (now is dead), DELEMONTE (now is dead), MILEMBE (now is dead), MECCO (now id dead), CASPIAN (is almost dead kabaki na kazi za Barrik tu)... the list is endless..

Sasa kwa hali kama hiyo how can You dare to vote for this man again!. No, way unless atuambie kuwa atabadilika na kubadili mfumo wake wa kuuwa makampuni ya ndani. Wahenge wanasema kuuwa uchumi ni suala la siku 2 au tatu ila kuujemga ni miaka 10 t0 20... Hii miaka 5 uchumi umekufa kabisa, mpaka kuja kusimamisha uchumi is not now and haitatokkea kama hatobadilika au kama wananchi tusipoamua kumpa kura Lisu
Mpe vyiote.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Angalia kiwanda cha tumbaku morogoro kilikua kinazalisha ajira nyingi tu lakin sasa kipo wap sio labda tumbaku hailimwi tabora hapna wamiliki wa kiwanda wamefunga maana utitili wa kodi umeshinda
 
Taja miradi mitatu yenyeviwango vya ubora iliyojengwa na makampuni ya ndani enzi za JK?
 
Mpaka 2015 private sectors zilikuwa zinashamiri. Jakaya aliacha mazingira mazuri na bora kabisa kwa sekta binafsi kukua na kuboreka. Ila tokea 2016 makampuni ambayo idadi yake haijulikani yamefungwa katika nchi hii, na bado yanaendelea kufungwa. Vijana lukuki wamepoteza ajira katika makampuni hayo.... na wale ambao walijiajiri kwa kufungua makampuni kwa sasa wanalia kilio cha kusaga meno, baada ya kuwindup makampuni yao....

Nilikuwa naongea na Mwanasheria moja jana anasema kazi nyingi anazopata kwa sasa ni kuwindup makampuni. Kwa mwezi anawindup makampuni 46-50 na kwa upande mwingine anafungua 2-3 tu. Sasa cheki hiyo ratio mwenyewe uone.. The private sector is tottaly dead!. Na ndio sector ambayo ingechukua vijana wengi hasa wahitimu wa vyuo. UD inamwaga kila mwaka, UDOM inamwaga kila mwaka, Mzumbe, Tumaini, Muhimbili, TIA na wengine wengi. zaidi ya vyuo 40.... Sasa vijana hao wote hawawezi kuajiriwa sijui na SUMA JKT, TBA,NHC ambao kwa sasa ndio wanafanya kazi zote mpaka za kufagia barabara wakati hizo zilikuwa ni kazi za vikundi vya wanawake na vijana katika mitaa chini ya usimamizi wa Halmashauri.

Jakaya kipindi anatoka aliacha makampuni ya ujenzi ya ndani yalioweza kushindana na Wachina kibao. But look now they are all dead. Kivipi, TRA Kuwabambikizia kesi za madeni, kazi kubwa zote wamechukua makampuni ya nje, kazi za ndani zote za serikali anafanya SUMA JKT, TBA, NHC, mpaka na Magereza. Is simpe local contractors can not survive in that circumstance. Ok!.. Mpaka yale maujenzi ya Halmashauri wameleta mfumo wa Force Account ambao ni ulaji wa watu wa manunuzi bila kujua wanauwa private sekta... Tuliona enzi za Jakaya akipambana kuweka mazingira bora, ndio maana tukaona wazawa wakiflourish kama vile SKOL (now is dead), DELEMONTE (now is dead), MILEMBE (now is dead), MECCO (now id dead), CASPIAN (is almost dead kabaki na kazi za Barrik tu)... the list is endless..

Sasa kwa hali kama hiyo how can You dare to vote for this man again!. No, way unless atuambie kuwa atabadilika na kubadili mfumo wake wa kuuwa makampuni ya ndani. Wahenge wanasema kuuwa uchumi ni suala la siku 2 au tatu ila kuujemga ni miaka 10 t0 20... Hii miaka 5 uchumi umekufa kabisa, mpaka kuja kusimamisha uchumi is not now and haitatokkea kama hatobadilika au kama wananchi tusipoamua kumpa kura Lisu
Hivi huyu Mayanga constructors wanaopigiwa kelele humu mtandaoni ni kampuni ya Urusi?

Kuna wale singasinga wa Moshi nadhani wanaitwa Hari Singhs & sons ambao wanajenga barabara kibao kumbe nao ni wakorea kaskazini
 
Kuvuka hapa kwenda wapi?
Sasa ndio tunaishi maisha yetu halisi, tukifanikiwa kuvuka hapa tutapaa zaidi kiuchumi.

Hali ya kiusalama ya nchi ilikuwa inaelekea kuwa mbaya sana kama tungeendelea kwa aina ile ya maisha kwa miaka mingine 5 au 10 bila shaka tungeshuhudia vita ya kwanza ya wenyewe kwa wenyewe na ingekuwa baina ya matajiri na maskini. Yaani maskini wangevamia tu nyumba ya tajiri, kuichoma na kujitwalia wanavyoona vitawanufaisha.

Ilifika mahali matajiri walikuwa na fedha nyingi kwa dili chafu na maskini wakizidi kuwa maskini zaidi, hali ilikuwa mbaya mno, aliyemuweka Magufuli hakukosea.

Aendelee for the next five years. I support him.
 
Mpaka 2015 private sectors zilikuwa zinashamiri. Jakaya aliacha mazingira mazuri na bora kabisa kwa sekta binafsi kukua na kuboreka. Ila tokea 2016 makampuni ambayo idadi yake haijulikani yamefungwa katika nchi hii, na bado yanaendelea kufungwa. Vijana lukuki wamepoteza ajira katika makampuni hayo.... na wale ambao walijiajiri kwa kufungua makampuni kwa sasa wanalia kilio cha kusaga meno, baada ya kuwindup makampuni yao....

Nilikuwa naongea na Mwanasheria moja jana anasema kazi nyingi anazopata kwa sasa ni kuwindup makampuni. Kwa mwezi anawindup makampuni 46-50 na kwa upande mwingine anafungua 2-3 tu. Sasa cheki hiyo ratio mwenyewe uone.. The private sector is tottaly dead!. Na ndio sector ambayo ingechukua vijana wengi hasa wahitimu wa vyuo. UD inamwaga kila mwaka, UDOM inamwaga kila mwaka, Mzumbe, Tumaini, Muhimbili, TIA na wengine wengi. zaidi ya vyuo 40.... Sasa vijana hao wote hawawezi kuajiriwa sijui na SUMA JKT, TBA,NHC ambao kwa sasa ndio wanafanya kazi zote mpaka za kufagia barabara wakati hizo zilikuwa ni kazi za vikundi vya wanawake na vijana katika mitaa chini ya usimamizi wa Halmashauri.

Jakaya kipindi anatoka aliacha makampuni ya ujenzi ya ndani yalioweza kushindana na Wachina kibao. But look now they are all dead. Kivipi, TRA Kuwabambikizia kesi za madeni, kazi kubwa zote wamechukua makampuni ya nje, kazi za ndani zote za serikali anafanya SUMA JKT, TBA, NHC, mpaka na Magereza. Is simpe local contractors can not survive in that circumstance. Ok!.. Mpaka yale maujenzi ya Halmashauri wameleta mfumo wa Force Account ambao ni ulaji wa watu wa manunuzi bila kujua wanauwa private sekta... Tuliona enzi za Jakaya akipambana kuweka mazingira bora, ndio maana tukaona wazawa wakiflourish kama vile SKOL (now is dead), DELEMONTE (now is dead), MILEMBE (now is dead), MECCO (now id dead), CASPIAN (is almost dead kabaki na kazi za Barrik tu)... the list is endless..

Sasa kwa hali kama hiyo how can You dare to vote for this man again!. No, way unless atuambie kuwa atabadilika na kubadili mfumo wake wa kuuwa makampuni ya ndani. Wahenge wanasema kuuwa uchumi ni suala la siku 2 au tatu ila kuujemga ni miaka 10 t0 20... Hii miaka 5 uchumi umekufa kabisa, mpaka kuja kusimamisha uchumi is not now and haitatokkea kama hatobadilika au kama wananchi tusipoamua kumpa kura Lisu
Sekta binafsi ya njia za mkato mkato zitokanazo na miradi binafsi ya viongozi ni tofauti kabisa na sekta bianasfi inayoshindana popote. Kampuni nyingi za ujenzi zilizokufa ni zile zilizikuwa zinabeba miradi inayotoka kwa viongozi waliokuwapo kuwajengea majumba, wakati zile zinazoshamiri ni zile zinazoshindania miradi ya miundombinu serikalini; kwa mfano jamaa hawa wa Advanced Engineering Solutions Ltd Tanzania hapa:


Halafu hata wajenzi wa nyumba za wenye hela pia bado hawajafa kama unavyodai; kune sehemu nyingi sana ujenzi unaendelea kama jana.
 
Biashara nyingi zimekufa. Lakini serikali inasema inaboresha mazingira ndio maana wafanya biashara wakwepa kodi wamekufa na biashara zao.
Lakini zinapokufa biashara kuna umuhimu wa kuziinua biashara zinazoenda sawa sawa ili ziweze kutoa ajira na kodi kwa serikali
Tatizo lililopo ni kuwa biashara nyingi zinakufa na mazingira ya uwekezaji ukiwa mzawa ni magumu sana kumudu kuendelea angalia

1. Riba kubwa kwa mabenki
2. Mlolongo wa taratibu nyingi unapotaka anzisha uwekezaji
3. Mlolongo wa taasisi nyingi zinazo simamia kazi ya aina moja
4. Utitiri wa kodi kutoka taasisi tofauti tofauti
5. Upatikanaji wa mitaji ni wa shida sana kwa kampuni changa
6. Kampuni za wazawa hazipewi kipaumbele nk
 
Biashara nyingi zimekufa. Lakini serikali inasema inaboresha mazingira ndio maana wafanya biashara wakwepa kodi wamekufa na biashara zao.
Lakini zinapokufa biashara kuna umuhimu wa kuziinua biashara zinazoenda sawa sawa ili ziweze kutoa ajira na kodi kwa serikali
Tatizo lililopo ni kuwa biashara nyingi zinakufa na mazingira ya uwekezaji ukiwa mzawa ni magumu sana kumudu kuendelea angalia

1. Riba kubwa kwa mabenki
2. Mlolongo wa taratibu nyingi unapotaka anzisha uwekezaji
3. Mlolongo wa taasisi nyingi zinazo simamia kazi ya aina moja
4. Utitiri wa kodi kutoka taasisi tofauti tofauti
5. Upatikanaji wa mitaji ni wa shida sana kwa kampuni changa
6. Kampuni za wazawa hazipewi kipaumbele nk

Kama uko serious na kuanzisha mradi na mtaji ni shida contact me through my inbox. Thanks.
 
pia kumbuka makampuni mengi yalikuwa feki na hata kazi zilizokuwa zinafanywa zilikuwa chini ya kiwango sana na value for money haikuwepo .Temea uone hata miradi ya maji nchi hii mingi pesa zilipigwa na wakandarasi wetu wakishirikiana na viongozi wezi ndani ya serikali.Ijapo kiukweli pesa nyingi za miradi zinaenda nje ila ni kwa sababu ya maisha tuliosihi watanzania kikorakora vile.
 
Hivi mkuu na akili unaamini jamaa akikwambia atabadili sera utamuamini kuwa atazibadili?

Jamaa sio kiongozi kabisa, haijarishi anakuja na ngonjera gani, ni kumkataa tu.
 
pia kumbuka makampuni mengi yalikuwa feki na hata kazi zilizokuwa zinafanywa zilikuwa chini ya kiwango sana na value for money haikuwepo .Temea uone hata miradi ya maji nchi hii mingi pesa zilipigwa na wakandarasi wetu wakishirikiana na viongozi wezi ndani ya serikali.Ijapo kiukweli pesa nyingi za miradi zinaenda nje ila ni kwa sababu ya maisha tuliosihi watanzania kikorakora vile.
Expansion joint za UDSM nazo?
 
kuna jamaa yangu akisoma huu uzi atadhani mleta mada ni mimi. Nilikuwa nampa elimu ya hiki magufuli alichokileta jinsi anavyoua sekta binafsi na soko la ajira
 
Back
Top Bottom