Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mwaka nalipa milioni 30 Kodi ila sijaridhika Kodi yangu kununulia waunga juhudi kina makarai na waitara, kurudia chaguzi za kuifurahisha ccm, kukandamizia demokrasia ikiwemo kuwashughulikia wapinzani, kujenga majengo yasiyo tija ( makao makuu Dom na ikulu mpya why?),kuwafadhili wasiojulikana waumize walipa kodi.Kununulia ndege ili zije zipakiUlikwepa kodi nyingi mnoo na wewe, hebu lipalipa kidogo japo ufidie😁😁
Pangua hoja au lalamiko hilo kwa mantiki mkuu.Utawala huu hakuna janja janja,mpe tu lissu kura yako atakufufulia Richmond,hakuna tatizo
Kwa awamu ya uzulumati labda zingine zililipa watu hela zaoUsianzishe kampuni kwa kutegemea kufanya kazi na serikali utakwama hahaha
Kuna viwanja vya makazi na vya uwekezaji chato kwa mtanzania anayehitaji5 yrs tu mahoteli na uwanja wa ndege kijijini kwake akipewa another 5 yrs si hazina yetu itaishia kwao
Hoja zako ni dhaifu sana. Mengi ni mambo ya kusikiasikia na hilo la makao makuu dodoma hujui faida yakeKwa mwaka nalipa milioni 30 Kodi ila sijaridhika Kodi yangu kununulia waunga juhudi kina makarai na waitara, kurudia chaguzi za kuifurahisha ccm, kukandamizia demokrasia ikiwemo kuwashughulikia wapinzani, kujenga majengo yasiyo tija ( makao makuu Dom na ikulu mpya why?),kuwafadhili wasiojulikana waumize walipa kodi.Kununulia ndege ili zije zipaki
Ukishauwa mzunguko wa pesa lzm biashara zife,Yale maduka ya kariakoo yaliyofungwa yalifanya biashara gani na serikali.Kampuni zinakufa sio kwa sababu zilikuwa zinakwepa kodi, ni kwa sababu hakuna Tenda kutoka serikalini, serikali inatoa tenda kwa serikali na serikali inailipa serikali, hata ukiendelea kukwepa kodi, kama biashara yako ilitegemea zaidi kufanya kazi na serikali lazima kampuni itajifia natural death. Ndio kitu kilichofanywa na awamu hii
Hapo ni sawa na kujenga 5star hotel kijijiniKuna viwanja vya makazi na vya uwekezaji chato kwa mtanzania anayehitaji
Faida ipi zaidi ya kumuenzi mtu aliyepita kwa utashi wa mtu mmoja.Hoja zako ni dhaifu sana. Mengi ni mambo ya kusikiasikia na hilo la makao makuu dodoma hujui faida yake
Acha kudanganywa watu wewe hospitali zilikuwa vzr siyo Sasa ni majengo tu hakuna madaktari,manesi wanalalamika kila siku hawapumziki,watu wamebaki hoi hawana kitu.vijana wako kitaa hawana pa kwenda.wakienda benki masharti kibao ya mkopo,uwe na hati ya nyumba,riba ziko juu mkopo mil 30 kila mwezi unarejesha 1,479,000/= kwa biashara gani.hali ni mbayaaaa.Muwe mnatumia akili kufikiri.unaposema uchumi umekufa unamaanisha nini wakati huo huo nchi imeingia uchumi wa kati? Na makampuni gani una maanisha ? Maana makampuni hayo yalikuwa hayalipi kodi,hayalipi NSSF, PSSF .leo wamekabwa yalipe mnasema eti sector binafsi imekufa!!
Mfano mmoja ni mwambie.kuna hospital moja ywnye ngazi ya wilaya ilikuwa na manesi wa nne since 1995
wengine ni medical attendants. Na hawa alikuwa wanasaini mikataba miwili mkataba wa wazi na mkataba wa siri ili kikwepa kodi.sector binafsi isiyowajibika Ifage tu.
Mliiba sana yaani ndio maana mkajilemaza sababu ya magumashi sasa mmekutana na awamu inayotaka uhalisia ndio mjiweke kiuhalisia na kiushindani sasa. Suala la mtu analipwa hata kazi hajaanza haipo awamu hiiKwa awamu ya uzulumati labda zingine zililipa watu hela zao
Hio dawa chungu tunywe sisi walipa kodi kadri tunavyozidi kukaza mikanda wao wanazidi kuilegeza.Kwann dawa chungu na watawala wasinyweAsante sana kwa elimu nzuri mkuu Gerald .M Magembe
Tanzania kama nchi tulipotea vibaya na ninadhani tungeendelea na ile mipango tuliokua nao isingechukua uchumi ungecollapse kabisa na nchi ingekua kwenye hali mbaya sana. Uchumi wa makaratasi bila kuwa na miundombinu ya kutumia rasilimali zetu kuzalisha mali sio kabisa.
Kuboresha uchumi ni kama kupata tiba, dawa inaweza kuwa chungu lakini hakuna namna, wote tnapitia maumivu ya mabadiliko ya uchumi kwa manufaa ya nchi yetu na vizazi vijavyo
Siku watanzania tutaamka na kuelewa hili tutaacha kuinyooshea serikali vidole na kuanza kuona fursa mpya kupitia miundo mbinu iliyowekwa au kuboreshwa tunaweza kujikuta sehemu bora zaidi kama nchi na hata mtu binafsi, na tutakuja shukuru kwamba mabadiliko yametuingiza kwenye uchumi halisi na uchumi endelevu.
Huelewi bado kumbe, hakuna anayeenziwa ila makao makuu ya nchi kuwa dodoma ni sahihi kabisa kwa ustawi wa taifa letu. Siku ukielewa ninachomaanisha unitagFaida ipi zaidi ya kumuenzi mtu aliyepita kwa utashi wa mtu mmoja.
Walihalalisha haramu kuwa halali wakazoea vya kunyonga sasa vya kuchinja vinawashinda🤣Mliiba sana yaani ndio maana mkajilemaza sababu ya magumashi sasa mmekutana na awamu inayotaka uhalisia ndio mjiweke kiuhalisia na kiushindani sasa. Suala la mtu analipwa hata kazi hajaanza haipo awamu hii
Acha kudanganywa watu wewe hospitali zilikuwa vzr siyo Sasa ni majengo tu hakuna madaktari,manesi wanalalamika kila siku hawapumziki,watu wamebaki hoi hawana kitu.vijana wako kitaa hawana pa kwenda.wakienda benki masharti kibao ya mkopo,uwe na hati ya nyumba,riba ziko juu mkopo mil 30 kila mwezi unarejesha 1,479,000/= kwa biashara gani.hali ni mbayaaaa.
Ungekua ulianza biashara zako ukilipa kodi Leo usingekua hapa ukilialia. Usikate tamaa, fanya ku restructure biashara yako uweze kuongeza faida bila kukwepa ya kaisari... kinachofanyika sasa ulitakiwa kukifanya bila shurti siku nyingiiHio dawa chungu tunywe sisi walipa kodi kadri tunavyozidi kukaza mikanda wao wanazidi kuilegeza.Kwann dawa chungu na watawala wasinywe
1.Ni udhaifu wa watu hao hao wa CCMMuwe mnatumia akili kufikiri.unaposema uchumi umekufa unamaanisha nini wakati huo huo nchi imeingia uchumi wa kati? Na makampuni gani una maanisha ? Maana makampuni hayo yalikuwa hayalipi kodi,hayalipi NSSF, PSSF .leo wamekabwa yalipe mnasema eti sector binafsi imekufa!!
Mfano mmoja ni mwambie.kuna hospital moja ywnye ngazi ya wilaya ilikuwa na manesi wa nne since 1995
wengine ni medical attendants. Na hawa alikuwa wanasaini mikataba miwili mkataba wa wazi na mkataba wa siri ili kikwepa kodi.sector binafsi isiyowajibika Ifage tu.
Risala😎😎😎1.Ni udhaifu wa watu hao hao wa CCM
2.Hapo umeambiwa kuhusu hali ya private sector
3.Mfano wako ni very minor, mtoa mada kaongelea aspect ya macro economics kimsingi akilenga suala la unemployment.
4.Kuingia uchumi wa kati bila maisha ya raia kubadilika haina tija, sana sana itatuongezea hali ya kuonekana tunajiweza na tutakosa baadhi ya manufaa..Lakini pia ilikuwa imebaki portion ndogo sana.Uzuri takwimu zipo, katafute uone je Mkapa na Magufuli ni yupi aliongeza per capita kwa kiasi kikubwa, kwa kifupi ni kwamba ni kama mbio za vijiti watu wa mwanzo waliakimbia vizuri kiasi chao, halafu alimalizia kuelekea mwisho wa mbio kwenda uchumi wa kati, alikimbia bila changamoto nzito.
"Mitano tena" ikija tutaona tashuhudia hali ngumu kiuchumi katika yafuatayo:-
1.Ukosefu wa ajira kuongezeka(Unemployment rate will rise), kutakakotokana na kusinyaa zaidi kwa private sector.
2.Umasikini wa kipato, kutokana na kutoongezeka kwa mishahara inayozingatia hali halisi ya ugumu wa maisha.
3.Ufinyu wa shughuli za kidemokrasia na hatimae kutozingatiwa kwa haki za kikatiba.
4.Mahusiano mabovu na jumuia ya kimataifa, tumerudi nyuma katika hili, bad thing ni endapo katika uchaguzi huu tutakiuka misingi then itokee bahati mbaya tuwekewe vikwazo.
Sasa nyie endeleeni kuwashangilia wakina OCD wenye kiswahili kibovu mpaka wanazeeka wanapowaambia wakina Mbowe "hauMmUshiNDI" "Hauumuwezsii". Na wengine wakicheza nyimbo za CCM(Haya yote ni matukio ya hovyo na yanayotia kinyaa)
Huu wakati ukifika,je utakuwa na ubavu wa kuilinda familia yako?Wenye hela watasogea hata Msumbiji, kama wasomali walivyosogea bongo.Wewe utabeba box la hela ukanunue maandazi, wakati jamaa atakuwa anache Hhhiiiiiiiiinh, waNNAumeh wameamua.